2/12/2011
Kitanda hakizai haramu ndugu yangu, mchukuwe tu mwanao
Nenda POLISI.
kazi kweli kweli.
Haya maamuzi hufanywa ukiwa na viroba 8, akili iko mahali pake na husemi uongo.
mh! mambo haya bwn, umesema alipokuuliza kuhusu kumwoa hukuwa tayari kwa madai kuwa ulikuwa bado masomoni, na uliporudi likizo bado ukamvunjia heshima mmewe kiasi hicho, na leo unatueleza wazi huo upuuzi, napinga usemi wa mchuma janga hula na kwao, kwa hili kula tu mwenyewe na ujue tu mla kuku wa mwenzie miguu humwelekea, na pia mla hulliwa
ni dhahili ulikuwa humpendi huyu dada ulozaa naye ndo maana baada ya kuwa ameolewa na wewe ukaoa, tena kumbuka huyo mmewe anakufahamu sana tu kwani yaonesha ni jirani kabisa.
pole zako!
Siku zote kila mla cha mwenzie na chake huliwa!
Ww jiandae na ww kulea watoto wasio kuwa wako!
Sipendi wanaume wazinzi,na waizi wa wake za watu.
wewe unachohitaji kutoka kwetu nii hasa???
kazi kweli kweli.
Haya maamuzi hufanywa ukiwa na viroba 8, akili iko mahali pake na husemi uongo.