SI Unit samahani kama nitakukwaza ila naomba acha unafiki.... Mwanaume yeyote yule hata ambae hana interest ya kuenda popote na huyo mdada/mama lazima angejibu hio text.... Na kama asingejibu wala asingemtafuta huyo mwanamke for the simple reason kua alikua hajavutiwa nae na wala si type yake. Hivo hicho kitendo cha kusema ulimkaushia then wewe mwenyewe ndio ukamtafuta hali alikuandia message ya wazi ya kukutongoza ili muingie katika maongezi na ushawishi wa kudo inatiia walakini kwa kweli....
..simple, mbona sms yenyewe c swali? mwambie not all dreams come true(especially hii coz ni ya mchana). Ushauri kwa ww, hata kama utamic company yake-not all friendships are profitable for you...Yatakutokea makubwa na utajuta kumfahamu huyo mdada.
Have a nice lunch
Mambo ya kulana denda ni uchafu uliopitwa na wakati, unakula kitumbuwa na yeye anakula ndizi. Mwambie aka ote tena.
Hebu nambie ningemjibu vp manake mm nilikosa starting point na hii inatokana na heshima yangu kwake na kwa mumewe, pia nature ya stori tunazopiga au kuchat nae..
Kati ya denda na chumv*ni wap pachafu..
Ni wanawake wachache saana wapo that vulgar hasa kama hivo umeniambia ni mke wa mtu... Hadi alikutext kua alikuoata mwala denda ina maana siku zoote za nyuma mshazoeana to the extent you are comfy with one another na aweza tuma hio text. Wasema uliishiwa pose sababu ya heshima ka mumewe..... hio ni hatari kama it is the only reason (heshima kwa mumewe) ndio cha kukwamisha to go further you are bound to sleep with her kama kweli ataka. For ungeniambia kua reason ni heshima ulio nayo juu yake.... Ningejua lazima utamkwepa.... Hapa ina maana si ajabu ushawahi mvua ngua na kufanya nae mapenzi katika fikra na ndoto zako... and if you do that about a woman, I belive wewe kama mwanaume itapotokea tu chance hamasishi na ya kuwezesha you are ready to love your fantasy which in this case is sleeping with her... to quench you thirst.
mke wa mtu sumu
ADI nielewe, nimesema heshima kwake na kwa mumewe, hujasoma vizuri..
ADI nielewe, nimesema heshima kwake na kwa mumewe, hujasoma vizuri..
Denda chafu sana. na ukisikia testi ya chumvi ujuwe huyo akienda haja ndogo hatumii maji ya kutosha, chumvi kule hakunaga kabisa, ukisikia chumvi ujuwe kojo hilo limebaki.