Naona wadau wametoa mapovu ya kutosha utafkili nimeleta uzi wa kumtaka jirani,dirisha lake liko kwa chini ambako ndo huko huko jikoni,bafuni,chooni,stoo n.k so kwa yeyote anaepita lazma aone kama ni kijitanua chumbani kwako c unashusha pazia kwani kuna anaekuzuia.
Mapovu ya kutosha mwatoa tu kwani chumbani kwako ndo unajitanua na uku umeacha mlango wazi heshima kuheshimina