Endelea kukataa, akiendelea kukusumbua mwambie mumewe na mpange nae jinsi ya kumfumania ukiwa naye....ila kuwa mwangalifu isije ikabackfire...vinginevyo mwambie una kifua kikuu na uko kwenye dozi....ila kama una nia ya dhati ya kumwacha hutashindwa...au na wewe ndio wale sitaki nataka????? Angalia Mke wa mtu sumu!
Endelea kukataa, akiendelea kukusumbua mwambie mumewe na mpange nae jinsi ya kumfumania ukiwa naye....ila kuwa mwangalifu isije ikabackfire...vinginevyo mwambie una kifua kikuu na uko kwenye dozi....ila kama una nia ya dhati ya kumwacha hutashindwa...au na wewe ndio wale sitaki nataka????? Angalia Mke wa mtu sumu!
Kwahiyo alivyokwambia uongope kuwa wewe ni kaka yake ulikubari?
Kama ni kweli umemjua..isiwe kama ulivosema"ama lwako ama lwangu". Watu wengi wanakoseaga kuamua hapo! Aliyepotea ni mkeo ndo wa kudeal naye...muelewe na uendane naye. Maana kam ni wachunga kondoo, maana yake Yesu kawekwa kapuni.
Kwa mtoa mada, huyo mama ukimpotezea hutapata hasara, ila mpe matumaini kuwa one day yes...xo awe mvumilivu lkn ucjetenda naye icho akitakacho.
Nia yangu..kam ndo tabia yakee, basi ukimpa matumaini tu na mkawa mnaongea kawwidaa, utakuwa umemfunga asiendelee kuwachek vidume wengne. Na akikaa kwa muda fulani hiv bila kuipata yako na ya mwengneeee...huenda akawa amepata experiece ya UVUMILIVU. Hivyo utakuwa umemsaidia yey na mumewe.
Wewe ulikuwa unamtaka huyo mmama. Alivokuambia udanganye kuwa we kakake kwanini ulikubali kama una akili timamu?
mahir uwe msikiv kidogo mana huenda ninakusaidia kama ningetaka ningeshangonga siku nyingi mana ananisikiliza mim ninacho sema
Mtego huo kaka,mke wa mtu sumu,siku hizi kuna smart phones ukidakwa tu watu wanachukua picha na siku hiyohiyo tunakuona kwenye vyombo vya habari na tutakujua kuwa kumbe maganjwa mwnenyewe ndio huyu!!!!!!!!
Umeweka heading ya kukoleza story! Kabla hajawa mke wa mchungaji ni mtu mliyefahamiana miaka mingi nyuma na mkawa kwenye mchakato wa kuwa wapenzi kwahiyo hujatenda haki kumsema hivyo
Amina baba! Haya maisha ndio hivyo tena. Niliposoma mwanzoni nilipata hasira ya kibinadamu ila unavyosema ni vyema zaidi.
nifanyaje yey ameolewa na mtu kabila lingine ndio mana anasema niseme mimi ni kaka yake story ni ndefu ila nimefupisha wana kanisa nzur sana kwenda nyumban niligoma kabisa kwa sabab hiyo. tusaidiane hali tete.
Kusema kuwa anakusiliza wewe unachosema si sawa tambua huyu ni mke wa mtu na huwa wanakaa faragha na Mkwe kuzungumza mambo ya msingi yahusuyo familia yao na mumewe humsiliziza pia kwani hiyo kauli unapelekea kuondoa imani dhidi ya mkewe kabisa
Kubwa hapa jiepushe kabisa kuwa karibu na huyu mama na ikiwezekana mjenge kisaikolojia awe na mapenzi ya dhati kwa mumewe maana kinachokaoneka hapa ni tamaa za mwili zinamsumbua hasa ukizingatia anakujua tangu utoto