Mke na mme nani zaidi?

Mke na mme nani zaidi?

Moo Click

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2015
Posts
3,495
Reaction score
3,253
Mume mvivu ameambiwa na mke wake mume wangu si unisaidie kazi za bustani

MUME: Kwani mi ni houseboy?

MKE: Basi nisaidie kutengeza mlango.

MUME: Kwani mi ni carpenter?

MKE: Basi nisaidie kutupa taka taka.

MUME: Kwani mi ni munisper? (mume aliporudi jioni)mke wangu nani amesafisha bustani,
akatengeza mlango na kutupa taka?

MKE: Ni jirani yetu Swaleh lakini alinipa options mbili nimpe wali ama nilale nae.

MUME: Hahahaha(kwa kujimini),najua ulimpa wali.

MKE: Nyooooooooo Kwani mi ni Hoteli? Nililala nae kwa taarifa yako.
 
Mume mvivu ameambiwa na mke wake mume wangu si unisaidie kazi za bustani

MUME: Kwani mi ni houseboy?

MKE: Basi nisaidie kutengeza mlango.

MUME: Kwani mi ni carpenter?

MKE: Basi nisaidie kutupa taka taka.

MUME: Kwani mi ni munisper? (mume aliporudi jioni)mke wangu nani amesafisha bustani,
akatengeza mlango na kutupa taka?

MKE: Ni jirani yetu Swaleh lakini alinipa options mbili nimpe wali ama nilale nae.

MUME: Hahahaha(kwa kujimini),najua ulimpa wali.

MKE: Nyooooooooo Kwani mi ni Hoteli? Nililala nae kwa taarifa yako.

Ngoma droo apo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom