Moo Click
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,495
- 3,253
Mume mvivu ameambiwa na mke wake mume wangu si unisaidie kazi za bustani
MUME: Kwani mi ni houseboy?
MKE: Basi nisaidie kutengeza mlango.
MUME: Kwani mi ni carpenter?
MKE: Basi nisaidie kutupa taka taka.
MUME: Kwani mi ni munisper? (mume aliporudi jioni)mke wangu nani amesafisha bustani,
akatengeza mlango na kutupa taka?
MKE: Ni jirani yetu Swaleh lakini alinipa options mbili nimpe wali ama nilale nae.
MUME: Hahahaha(kwa kujimini),najua ulimpa wali.
MKE: Nyooooooooo Kwani mi ni Hoteli? Nililala nae kwa taarifa yako.
MUME: Kwani mi ni houseboy?
MKE: Basi nisaidie kutengeza mlango.
MUME: Kwani mi ni carpenter?
MKE: Basi nisaidie kutupa taka taka.
MUME: Kwani mi ni munisper? (mume aliporudi jioni)mke wangu nani amesafisha bustani,
akatengeza mlango na kutupa taka?
MKE: Ni jirani yetu Swaleh lakini alinipa options mbili nimpe wali ama nilale nae.
MUME: Hahahaha(kwa kujimini),najua ulimpa wali.
MKE: Nyooooooooo Kwani mi ni Hoteli? Nililala nae kwa taarifa yako.