Mke na mchepuko wawa marafiki bila kujua

Mke na mchepuko wawa marafiki bila kujua

Kuna kibomu nakiona kitaripuka hapa siku za karibuni.

Kitu kinachonitia wasi wasi nikwamba kabla sijaoa nilikuwa na mwanamke flani hivi (japo amenizidi umri kidogo)

Lakini baada ya kuoa nikawa bado namega siku moja moja. Sasa tangu mwaka huu umeanza naona mama watoto amekua karibu na Yule mdada ambaye ni mchepuko wangu. Maana ni majirani

Wamekuqa marafiki kiasi kwamba sasa mke wangu huwa ana mmisi Dada yake na kumtembelea kwake siku moja moja.

Mchepuko yeye anajua ukweli ulivo lakini mke hajui.

Sasa hapa ni mguu pande mguu Sawa... Huyu mke akija akijua MOTO UTAWAKA.


Njia ipi nyepesi ya kuliepuka hili?

Sent using Jamii Forums mobile app
ni kukaaa kimya tuu kusubiri kibomu kiripuke tuu.
 
Wanawake watu wabaya sana naadui wamwanamke nimwanamke mwenyewe.

Nakumbuka mwanamke wangu alibamba mawasiliano ya mchepuko wangu wakachambana sana kwenye simu ila badae mchepuko ukawa mpole nakuomba samahan nakusema kuwa niliudanganya kuwa mimi nipo single...... Kwahiyo lawama zote zikahamia kwangu..... Wakawa marafiki mchepuko ukanipiga chini. Chaajabu baada yamasiku kupita nilikutana na mchepuko nikaupoza machungu nauchi ukanipa na mpaka leo nikihitaji napata ila nimarafiki namwanamke wangu mpaka kesho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Du

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kibomu nakiona kitaripuka hapa siku za karibuni.

Kitu kinachonitia wasi wasi nikwamba kabla sijaoa nilikuwa na mwanamke flani hivi (japo amenizidi umri kidogo)

Lakini baada ya kuoa nikawa bado namega siku moja moja. Sasa tangu mwaka huu umeanza naona mama watoto amekua karibu na Yule mdada ambaye ni mchepuko wangu. Maana ni majirani

Wamekuqa marafiki kiasi kwamba sasa mke wangu huwa ana mmisi Dada yake na kumtembelea kwake siku moja moja.

Mchepuko yeye anajua ukweli ulivo lakini mke hajui.

Sasa hapa ni mguu pande mguu Sawa... Huyu mke akija akijua MOTO UTAWAKA.


Njia ipi nyepesi ya kuliepuka hili?

Sent using Jamii Forums mobile app
Muombe mkeo akuunganishie huyo mchepuko!😅😛😛
 
Wakienda mbali zaidi na zaidi nao watakuwa na michepuko yao.

Baada ya miezi kadhaa utakuja na uzi kuwa tukushauri ufanye nini kuhusu mkeo unaona kama ana kiburi?

Au tukusome kuwa umekatakata mkeo na panga,kupiga risasi au kujinyonga..kuwekewa sumu..mara mtoto si wako unahisi wa mwanaume mwingine.

Mkienda mbali zaidi baada ya uchunguzi wa mkeo kukamilika.Mtaanza kusumbua walezi wa ndoa..ooh mara tunalala ki COVD-19....mimi naonewa unyumba hanipi.Oooh! Mtoto hafanani na bibi yake..mara mwanamke jeuri kisa ana kazi.

Huo ndio mwanzo wa kuanza kusumbua wazee..shangazi ...wajomba..mama wadogo..Baba wakubwa.Na pande zote za mke na mume zianze kuonana wachawi mana kila mtu atavutia kwa upande wa Mtoto wake.


Tatizo lako limeanzia kwenye uzi wako na akili yako.Hapo nimekupa summary tu ya kinachokuja.Havitokeagi tu kama Corona ilivyokuja no no no..tunaanzisha wenye kwa kuamini ni Ushababi.
What the f*ck tuliza mb** yako kuepuka matatizo ya kis*nge* seng*e na kuja kutusumbua baadae polisi ..mara mahakamani.

Kuja kusumbua watumishi wa Mungu muombewe mna mapepo sijui mikosi..umelogwa sijui ufukizwe(kama KiJiwe)

Shetani anakuoneshe usenge wako mapema sana kupitia mkeo.Shangilia huo urafiki.
 
Anza kununua nunua vitu unapeleka kwa mchepuko,. Vitu kama sukari, mboga na vyakula vyakula ila hakikisha mkeo anajua umenunua hivyo vitu na umepeleka Kule. Urafiki wao utaisha siku hiyohiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kibomu nakiona kitaripuka hapa siku za karibuni.

Kitu kinachonitia wasi wasi nikwamba kabla sijaoa nilikuwa na mwanamke flani hivi (japo amenizidi umri kidogo)

Lakini baada ya kuoa nikawa bado namega siku moja moja. Sasa tangu mwaka huu umeanza naona mama watoto amekua karibu na Yule mdada ambaye ni mchepuko wangu. Maana ni majirani

Wamekuqa marafiki kiasi kwamba sasa mke wangu huwa ana mmisi Dada yake na kumtembelea kwake siku moja moja.

Mchepuko yeye anajua ukweli ulivo lakini mke hajui.

Sasa hapa ni mguu pande mguu Sawa... Huyu mke akija akijua MOTO UTAWAKA.


Njia ipi nyepesi ya kuliepuka hili?

Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kula kimasihara...yaani ukimtosa tu huyo mchepuko atafanya vituko mpaka mkeo ajue
 
Back
Top Bottom