Mke/ Mme wa kwanza ni wa Majaribio

Mke/ Mme wa kwanza ni wa Majaribio

Acha kufanya generalization.
Siyo mpango wa mungu kuwa na ndoa zisizo na furaha. Hivyo lengo langu hapa ni kuwapa moyo wale wote walio kwenye ndoa zisizo na furaha kufanya maamuzi magumu. Wake kwa waume. Na ninaposema ndoa zisizo na furaha sina maana ya vi ugomvi vidogo vidogo. I mean serious problems ambazo juhudi za kuzitatua zimeshindikana.

Hii tabia inatokana na maadili ya kabila lako
mm nipo huku Kanda ya kati Wanyambwa/Wagogo akishamalinza Jando na unyago wanaruhusiwa sasa kutaste na Binti yeyote na hazuiwi kubadili au kubadilishana huku wakijitambua uhawara (Mnyaso) sasa hapo mimba utasema ni ya nani?
Na huyo Hawara anaolewa jirani lakini hamuachi hawara yake wa zamani na hata km walizaa naye wataendelea tu. Huo ndio utamaduni wao wewe huwezi kuwapinga ukaleta mapya

Usimuhusishe MUNGU na hizo zinaa kwani mnaambiwa usimuache Mke wa ujana wako kwa hiyo funga Ndoa inayotambulika na watu wakashihudia hamtakaa muachane bila ya vikao

siku hiz vijana wakipata kazi tu hata ya kuppiga debe daladala anapanga chumba na mkeka anvuta demu watu wanamuhesabia kuwa ana mke, tabia hajuani mwezi mbimba na jamaa Daladala kafukuzwa kweli hiyo ni Ndoa?
Tofautisha uzinzi na Ndoa km Wazazi mkiwa wakali watoto hawatachezea maisha wawe na Mpango salama wa Uzazi 'Nyota ya Kijani' na muongazane Kliniki km hutaki unaacha
 
Ndoa iheshimiwe na watu wote....uzinzi tu ndio utatenganisha hawa wawili,tuishi kwa kuchukuliana mizigo
 
Utafiti niliofanya katika sehemu yangu ya kazi unaonyesha kuwa Wanaume 27 sawa na 86% ya wanaume wote ambao wako above 45 wanaishi na wake zao wa pili. Wameachana au wametelekeza wake zao wa kwanza.

Hii maana yake ni kwamba ndoa ya kwanza huwa ni ya majaribio. Baada ya uzoefu then mwanaume hutafuta mke wa maisha yake.

Bahati mbaya ukweli ambao watu hawapendi kuukubali ni kuwa binadamu tuna kosea. Tuna kosea kwenye mambo mengi ikiwemo kuchagua wenza. Je kama nimekosea kwa nini nisifanye uchaguzi wa pili?

Kumekuwa na propaganda zisizo za kweli kuwa ukisha oa au kuolewa ndo basi tena, eti huo ni msalaba wako. Say NO to unhappy marriages.

Usipotoshe watu wewe.
 
My dear yaani huwezi kuamini hizi tuu nilitoka Ku discuss hii issue kibiblia na Pastor Fulani. Katika kuongea na yeye na kuchambua vizuri neno la Mungu .Watu wengi sana huwa tunatafakari neno la Mungu vibaya. Sisemi hivi eti mlioolewa muanze kuabuse ndoa zenu hapana . Kitu ninachotaka kusema ni kuwa Mungu hakuaahidi kuwa hatutapitia majaribuni, la hasha. Ila alitiuahidi ni kuwa na furaha ya milele kwa wale wamtegemeao. Honestly biblia au Quaraan haikusema kuwa ukae na mateso kwenye ndoa yako. Nimetaja Biblia na,Quraan kwa sababu ya nilikuwa Muislam so naelewa na now Niko mkristo naelewa pia ingawaje Bado najifunza , okay.
Neno la Mungu siku zote linazungumzia kuishi maisha ya furaha ya ndoa. Na hii ni kwa sababu Mungu aliiweka ndoa kuwa kitu takatifu na faraja kubwa kwetu sisi . Katika ups and downs za ndoa Hakuna neno au mstari unasema kuwa kwenda kusaliti ndoa yako ni sawa, au kumpiga mkeo au mumeo ni sawa . Kuvumilana katika ndoa mpaka kifo kitutenganishe ni kwenye shida na Raha. Hii ina maanisha kwenye maradhi mmoja wapo anaumwa umuuguze na kumvumilia. Na kwenye ki financial imetokea mmoja wapo ameanguka , mvumiliane kwa hilo.Na mambo mengine , plus ya kiundani zaidi.
Utakuta MTU anapigwa kila siku kan ngoma, na kuteswa kihisia , kuletewa mpaka wanawake au wanaume na ameshaongea na mwenzie kuhusu Haya majanga lakini Bado mwenzie anaendelea. Badala ya kusingizia ooh ni Ndoa mpaka kifo kikutenganishe, no no no. Wewe ni Mtoto Wa Mungu hebu piga goti chini mueleze Baba yako aliye juu, akuonyeshe mlango Wa kutokea ili utoke . Hebu jiulize kwa wale waliokaa na hayo na maumivu wako wapi Leo hii, kama si waathirika Wa Ukimwi , au kama hawajauliwa , na kadhalika. Mungu na yeye anataka sisi maamuzi kwa Imani haswa pale baada ya kumuomba . Tumekuwa tunajibweteka kwa kila kitu na kusingizia Mungu amependa iwe hivi No hiyo si sahihi kama alipenda kwa nini alikupa uwezo ubongo au uwezo Wa kufikiri. Mungu hapendi tuteseke especially kama tuwaaminifu kwake. Kuna matatizo mengine tinajitakia wenyewe halafu tunamsingizia Mungu . Kumbuka hata Yesu alifundisha , na baada ya hapo alisema mwenye masikio na asikie. Alifundisha si kwa hukumu bali kwa authority . Sisemi usifuate maandiko tafadhali usinichukulie, hivyo . Jua maandiko na kuyatafakari kwa undani zaidi . Hakuna kwenye Biblia inasema uwe na MTU mzinzi au anayekufanya ngoma kila siku. Na tunafikiri IPO jiulize kwa nini Yesu alikuwa anazungumzia kuhusu hukumu za wale wanaoweka Uzinzi mbele, na wale wayafanyao kinyume cha maandiko. Kwa Kweli tuwaombee tuu Wanaopitia Haya kwa kuwa wengi wao wana woga na kuona aibu kutoka katika hali kama hizi. Mungu atusaidie. Mtoa maada Mimi nimekulewa na Asante kwa maada hii ya kutukumbusha . Thanks.

Kumbe tuna wainjilist humu ndani! Ss mbona kila cku tunackia mara wanawake wamefanya hv mara wanaume wamefanya hv, kikubwa watu wote wakiwa na hofu na mungu wao, hakutakua na mada za kulaumiana humu
 
Back
Top Bottom