Mke/ Mme wa kwanza ni wa Majaribio

Mke/ Mme wa kwanza ni wa Majaribio

iMind

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
3,158
Reaction score
5,275
Utafiti niliofanya katika sehemu yangu ya kazi unaonyesha kuwa Wanaume 27 sawa na 86% ya wanaume wote ambao wako above 45 wanaishi na wake zao wa pili. Wameachana au wametelekeza wake zao wa kwanza.

Hii maana yake ni kwamba ndoa ya kwanza huwa ni ya majaribio. Baada ya uzoefu then mwanaume hutafuta mke wa maisha yake.

Bahati mbaya ukweli ambao watu hawapendi kuukubali ni kuwa binadamu tuna kosea. Tuna kosea kwenye mambo mengi ikiwemo kuchagua wenza. Je kama nimekosea kwa nini nisifanye uchaguzi wa pili?

Kumekuwa na propaganda zisizo za kweli kuwa ukisha oa au kuolewa ndo basi tena, eti huo ni msalaba wako. Say NO to unhappy marriages.
 
Tofautisha kwanza kati ya mke na hawara/kimada na tofauti ya ndoa na mahusiano mengine yakibatili...walio ndani ya ndoa wanafurahia ndoa zao kila wakat,walio ndani ya harusi hawawez kufurahi...ukiona ndoa yako ina matatizo na hali yakusalitiana ujue hamjitambui kila mtu kwa nafasi yake..
 
Haa Haa.
kalia hayo hayo wakati Wenzako wanafanya maadhimisho ya miaka 5

Miaka 5!!? Hii ni kidogo sana. Utafiti wangu ulilenga watu wenye umri kuanzia miaka 45. Hii ni kusema kama walioa wako zao wa kwanza wakiwa 30 basi tunazumgumzia miaka 15 baada ya kuoa wake za kwanza.
 
Tofautisha kwanza kati ya mke na hawara/kimada na tofauti ya ndoa na mahusiano mengine yakibatili...walio ndani ya ndoa wanafurahia ndoa zao kila wakat,walio ndani ya harusi hawawez kufurahi...ukiona ndoa yako ina matatizo na hali yakusalitiana ujue hamjitambui kila mtu kwa nafasi yake..
Acha kufanya generalization. Ndo maana mimi nimeamua kuja na takwimu. By the way walio happy na ndoa zao mungu aendelee kuwa bariki.

Mara nyingi waathirika wengi wa manyanyaso ya ndoa ni wanawake. Ambao wanaendelea kunyanyasika kwa sababu mbalimbali kama watoto n.k.

Siyo mpango wa mungu kuwa na ndoa zisizo na furaha. Hivyo lengo langu hapa ni kuwapa moyo wale wote walio kwenye ndoa zisizo na furaha kufanya maamuzi magumu. Wake kwa waume. Na ninaposema ndoa zisizo na furaha sina maana ya vi ugomvi vidogo vidogo. I mean serious problems ambazo juhudi za kuzitatua zimeshindikana.
 
Acha kufanya generalization. Ndo maana mimi nimeamua kuja na takwimu. By the way walio happy na ndoa zao mungu aendelee kuwa bariki.

Mara nyingi waathirika wengi wa manyanyaso ya ndoa ni wanawake. Ambao wanaendelea kunyanyasika kwa sababu mbalimbali kama watoto n.k.

Siyo mpango wa mungu kuwa na ndoa zisizo na furaha. Hivyo lengo langu hapa ni kuwapa moyo wale wote walio kwenye ndoa zisizo na furaha kufanya maamuzi magumu. Wake kwa waume. Na ninaposema ndoa zisizo na furaha sina maana ya vi ugomvi vidogo vidogo. I mean serious problems ambazo juhudi za kuzitatua zimeshindikana.

Wanaume wanapata sana manyanyaso ndani ya ndoa ila tofauti na wanawake ni kuwa huwa wanakufa kiume...
Hata wewe umetoa majibu ya jumla jumla...sample yako ni ndogo sana ndio maana kuna ongezeko kubwa la wanaofunga ndoa nakuendelea kuishi ndani ya ndoa kuliko hao unaowapigia chepuo...ndio maana nkasema ukiona mahusiano yako yana ugomvi na harufu yakusalitiana hamjitambui kila mtu kwa nafasi yake,kwa sababu hata kama lije tatizo kubwa kiasi gan ila kama mnajitambua kila mtu kwa nafasi yake,hayo ya unhappy nakufikia kuachana yatatokea wapi?
 
Wanaume wanapata sana manyanyaso ndani ya ndoa ila tofauti na wanawake ni kuwa huwa wanakufa kiume...
Hata wewe umetoa majibu ya jumla jumla...sample yako ni ndogo sana ndio maana kuna ongezeko kubwa la wanaofunga ndoa nakuendelea kuishi ndani ya ndoa kuliko hao unaowapigia chepuo...ndio maana nkasema ukiona mahusiano yako yana ugomvi na harufu yakusalitiana hamjitambui kila mtu kwa nafasi yake,kwa sababu hata kama lije tatizo kubwa kiasi gan ila kama mnajitambua kila mtu kwa nafasi yake,hayo ya unhappy nakufikia kuachana yatatokea wapi?
Kwa hiyo kama hamjitambui mnafanya nini next?
 
......hakunaga eti till death do us part, ni kwamba kama love imekwisha btn wana ndoa.... bora kila mtu awe kivyake.
 
Ndoa ni muunganiko wenye kifurahisha kama ukimpata mwenza sahihi.....
Vile vile ndoa hugeuka kama gereza lenye mateso makali kama endapo utampata mwenza asiye sahihi.....
Mara nyingi huwa tunaruhusu mioyo yetu ituchagilie wenza bila kujua kuwa wakati mwingine mioyo yetu huongozwa na tamaa.....
Uzuri wa sura ya mwanamke haimpi sifa ya kuwa mke bora bali tabia njema na stara....
Vile vile uwezo wa kifedha wa mwanaume haumfanyi kuwa mume bora.....bali mume hupimwa kwa uwezo wake wa kukabiliana na changamoto za mbali mbali za kimaisha na kutekeleza majukumu yake ipasavyo........
Nasisitiza tena sifa kubwa ya mwanamke ni TABIA njema...
 
Mkuu uko right ila kwa nchi yetu hii ni dillema,hasa kwa wamama wengi....unakuta wengi ni wamama wa nyumbani,manesi na walimu....kwao kipato ni kidogo......labda kinachoweza kufanya ni kujinunulia mahitaji muhimu....mambo kama ada za watoto mara nyingi yanafanywa na baba......sasa huyu ingawa yuko unhappy na ndoa yake anaona bora abaki tu.....na wengi sio wote mkishaoa wake za pili mnasahau kabisa familia zenu za kwanza....uchumi uki improve kila mwanamke akapata education.....na kazi nzuri zenye kipato....utashangaa jinsi wanawake nao watakavyokuwa huru kufanya maamuzi magumu ya kusepa.
 
kiukweli mna mawazo mema nenda katafiti pia umri sahihi wa kuoa na kuolewa pia huenda ukawa msaada kwa wanandoa
 
So ata babako nae alifanya hivyo uwazavyo?how about your mama too?
hizo ni fikra za kijinga sana.
 
Utafiti niliofanya katika sehemu yangu ya kazi unaonyesha kuwa Wanaume 27 sawa na 86% ya wanaume wote ambao wako above 45 wanaishi na wake zao wa pili. Wameachana au wametelekeza wake zao wa kwanza.

Hii maana yake ni kwamba ndoa ya kwanza huwa ni ya majaribio. Baada ya uzoefu then mwanaume hutafuta mke wa maisha yake.

Bahati mbaya ukweli ambao watu hawapendi kuukubali ni kuwa binadamu tuna kosea. Tuna kosea kwenye mambo mengi ikiwemo kuchagua wenza. Je kama nimekosea kwa nini nisifanye uchaguzi wa pili?

Kumekuwa na propaganda zisizo za kweli kuwa ukisha oa au kuolewa ndo basi tena, eti huo ni msalaba wako. Say NO to unhappy marriages.

My dear yaani huwezi kuamini hizi tuu nilitoka Ku discuss hii issue kibiblia na Pastor Fulani. Katika kuongea na yeye na kuchambua vizuri neno la Mungu .Watu wengi sana huwa tunatafakari neno la Mungu vibaya. Sisemi hivi eti mlioolewa muanze kuabuse ndoa zenu hapana . Kitu ninachotaka kusema ni kuwa Mungu hakuaahidi kuwa hatutapitia majaribuni, la hasha. Ila alitiuahidi ni kuwa na furaha ya milele kwa wale wamtegemeao. Honestly biblia au Quaraan haikusema kuwa ukae na mateso kwenye ndoa yako. Nimetaja Biblia na,Quraan kwa sababu ya nilikuwa Muislam so naelewa na now Niko mkristo naelewa pia ingawaje Bado najifunza , okay.
Neno la Mungu siku zote linazungumzia kuishi maisha ya furaha ya ndoa. Na hii ni kwa sababu Mungu aliiweka ndoa kuwa kitu takatifu na faraja kubwa kwetu sisi . Katika ups and downs za ndoa Hakuna neno au mstari unasema kuwa kwenda kusaliti ndoa yako ni sawa, au kumpiga mkeo au mumeo ni sawa . Kuvumilana katika ndoa mpaka kifo kitutenganishe ni kwenye shida na Raha. Hii ina maanisha kwenye maradhi mmoja wapo anaumwa umuuguze na kumvumilia. Na kwenye ki financial imetokea mmoja wapo ameanguka , mvumiliane kwa hilo.Na mambo mengine , plus ya kiundani zaidi.
Utakuta MTU anapigwa kila siku kan ngoma, na kuteswa kihisia , kuletewa mpaka wanawake au wanaume na ameshaongea na mwenzie kuhusu Haya majanga lakini Bado mwenzie anaendelea. Badala ya kusingizia ooh ni Ndoa mpaka kifo kikutenganishe, no no no. Wewe ni Mtoto Wa Mungu hebu piga goti chini mueleze Baba yako aliye juu, akuonyeshe mlango Wa kutokea ili utoke . Hebu jiulize kwa wale waliokaa na hayo na maumivu wako wapi Leo hii, kama si waathirika Wa Ukimwi , au kama hawajauliwa , na kadhalika. Mungu na yeye anataka sisi maamuzi kwa Imani haswa pale baada ya kumuomba . Tumekuwa tunajibweteka kwa kila kitu na kusingizia Mungu amependa iwe hivi No hiyo si sahihi kama alipenda kwa nini alikupa uwezo ubongo au uwezo Wa kufikiri. Mungu hapendi tuteseke especially kama tuwaaminifu kwake. Kuna matatizo mengine tinajitakia wenyewe halafu tunamsingizia Mungu . Kumbuka hata Yesu alifundisha , na baada ya hapo alisema mwenye masikio na asikie. Alifundisha si kwa hukumu bali kwa authority . Sisemi usifuate maandiko tafadhali usinichukulie, hivyo . Jua maandiko na kuyatafakari kwa undani zaidi . Hakuna kwenye Biblia inasema uwe na MTU mzinzi au anayekufanya ngoma kila siku. Na tunafikiri IPO jiulize kwa nini Yesu alikuwa anazungumzia kuhusu hukumu za wale wanaoweka Uzinzi mbele, na wale wayafanyao kinyume cha maandiko. Kwa Kweli tuwaombee tuu Wanaopitia Haya kwa kuwa wengi wao wana woga na kuona aibu kutoka katika hali kama hizi. Mungu atusaidie. Mtoa maada Mimi nimekulewa na Asante kwa maada hii ya kutukumbusha . Thanks.
 
Kweli kabisa, ndoa na iheshimiwe na watu wote. Kama mmojawapo anashindwa kuheshimu ndoa sio ndoa tena ni ndoano.ndoa za kikristo hazikumaanisha watu waishi kwa mateso, kama inashindikana unafuata taratibu unatoka.
 
Tofautisha kwanza kati ya mke na hawara/kimada na tofauti ya ndoa na mahusiano mengine yakibatili...walio ndani ya ndoa wanafurahia ndoa zao kila wakat,walio ndani ya harusi hawawez kufurahi...ukiona ndoa yako ina matatizo na hali yakusalitiana ujue hamjitambui kila mtu kwa nafasi yake..
u made sense kabisa.. wako wanaoishi kwenye harus na wapo wanaoishi kwenye ndoa.
 
My dear yaani huwezi kuamini hizi tuu nilitoka Ku discuss hii issue kibiblia na Pastor Fulani. Katika kuongea na yeye na kuchambua vizuri neno la Mungu .Watu wengi sana huwa tunatafakari neno la Mungu vibaya. Sisemi hivi eti mlioolewa muanze kuabuse ndoa zenu hapana . Kitu ninachotaka kusema ni kuwa Mungu hakuaahidi kuwa hatutapitia majaribuni, la hasha. Ila alitiuahidi ni kuwa na furaha ya milele kwa wale wamtegemeao. Honestly biblia au Quaraan haikusema kuwa ukae na mateso kwenye ndoa yako. Nimetaja Biblia na,Quraan kwa sababu ya nilikuwa Muislam so naelewa na now Niko mkristo naelewa pia ingawaje Bado najifunza , okay.
Neno la Mungu siku zote linazungumzia kuishi maisha ya furaha ya ndoa. Na hii ni kwa sababu Mungu aliiweka ndoa kuwa kitu takatifu na faraja kubwa kwetu sisi . Katika ups and downs za ndoa Hakuna neno au mstari unasema kuwa kwenda kusaliti ndoa yako ni sawa, au kumpiga mkeo au mumeo ni sawa . Kuvumilana katika ndoa mpaka kifo kitutenganishe ni kwenye shida na Raha. Hii ina maanisha kwenye maradhi mmoja wapo anaumwa umuuguze na kumvumilia. Na kwenye ki financial imetokea mmoja wapo ameanguka , mvumiliane kwa hilo.Na mambo mengine , plus ya kiundani zaidi.
Utakuta MTU anapigwa kila siku kan ngoma, na kuteswa kihisia , kuletewa mpaka wanawake au wanaume na ameshaongea na mwenzie kuhusu Haya majanga lakini Bado mwenzie anaendelea. Badala ya kusingizia ooh ni Ndoa mpaka kifo kikutenganishe, no no no. Wewe ni Mtoto Wa Mungu hebu piga goti chini mueleze Baba yako aliye juu, akuonyeshe mlango Wa kutokea ili utoke . Hebu jiulize kwa wale waliokaa na hayo na maumivu wako wapi Leo hii, kama si waathirika Wa Ukimwi , au kama hawajauliwa , na kadhalika. Mungu na yeye anataka sisi maamuzi kwa Imani haswa pale baada ya kumuomba . Tumekuwa tunajibweteka kwa kila kitu na kusingizia Mungu amependa iwe hivi No hiyo si sahihi kama alipenda kwa nini alikupa uwezo ubongo au uwezo Wa kufikiri. Mungu hapendi tuteseke especially kama tuwaaminifu kwake. Kuna matatizo mengine tinajitakia wenyewe halafu tunamsingizia Mungu . Kumbuka hata Yesu alifundisha , na baada ya hapo alisema mwenye masikio na asikie. Alifundisha si kwa hukumu bali kwa authority . Sisemi usifuate maandiko tafadhali usinichukulie, hivyo . Jua maandiko na kuyatafakari kwa undani zaidi . Hakuna kwenye Biblia inasema uwe na MTU mzinzi au anayekufanya ngoma kila siku. Na tunafikiri IPO jiulize kwa nini Yesu alikuwa anazungumzia kuhusu hukumu za wale wanaoweka Uzinzi mbele, na wale wayafanyao kinyume cha maandiko. Kwa Kweli tuwaombee tuu Wanaopitia Haya kwa kuwa wengi wao wana woga na kuona aibu kutoka katika hali kama hizi. Mungu atusaidie. Mtoa maada Mimi nimekulewa na Asante kwa maada hii ya kutukumbusha . Thanks.


asante sana kwa hii logic uliyoiweka hapa... ubarikiwe sana
 
Ndoa ni muunganiko wenye kifurahisha kama ukimpata mwenza sahihi.....
Vile vile ndoa hugeuka kama gereza lenye mateso makali kama endapo utampata mwenza asiye sahihi.....
Mara nyingi huwa tunaruhusu mioyo yetu ituchagilie wenza bila kujua kuwa wakati mwingine mioyo yetu huongozwa na tamaa.....
Uzuri wa sura ya mwanamke haimpi sifa ya kuwa mke bora bali tabia njema na stara....
Vile vile uwezo wa kifedha wa mwanaume haumfanyi kuwa mume bora.....bali mume hupimwa kwa uwezo wake wa kukabiliana na changamoto za mbali mbali za kimaisha na kutekeleza majukumu yake ipasavyo........
Nasisitiza tena sifa kubwa ya mwanamke ni TABIA njema...

nimekusoma sana.. asante.
 
Utafiti niliofanya katika sehemu yangu ya kazi unaonyesha kuwa Wanaume 27 sawa na 86% ya wanaume wote ambao wako above 45 wanaishi na wake zao wa pili. Wameachana au wametelekeza wake zao wa kwanza.

Hii maana yake ni kwamba ndoa ya kwanza huwa ni ya majaribio. Baada ya uzoefu then mwanaume hutafuta mke wa maisha yake.

Bahati mbaya ukweli ambao watu hawapendi kuukubali ni kuwa binadamu tuna kosea. Tuna kosea kwenye mambo mengi ikiwemo kuchagua wenza. Je kama nimekosea kwa nini nisifanye uchaguzi wa pili?

Kumekuwa na propaganda zisizo za kweli kuwa ukisha oa au kuolewa ndo basi tena, eti huo ni msalaba wako. Say NO to unhappy marriages.

Aisee km ww huna furaha na ndoa yako, ni ww. Usilete research za uongo humu, cheating znatokana na baadh ya watu kutokuwa waaminifu. Ss km ww ulikosea wengine wanafuraha na hawajuti
 
Back
Top Bottom