Mke kasaliti ndoa, nifanyeje?

Mke kasaliti ndoa, nifanyeje?

hahahahha hili sitalijibu kwakwli! sipo fresh kihisia kwasasa!
sasa aibu gan tena we nawe! msituchoshe
Eeeh kwa nin haupo fresh kihisia tena??? aibu si kama hivyo kwa mfano mumeo amejua umechepuka unadhani kinachokupata nini kama sio aibu tuu??
 
Eeeh kwa nin haupo fresh kihisia tena??? aibu si kama hivyo kwa mfano mumeo amejua umechepuka unadhani kinachokupata nini kama sio aibu tuu??


inategemea umechpukaje!nimechoka akili tu
 
inategemea umechpukaje!nimechoka akili tu
Pole sana, me nazungumzia kwa case kama ya mtoa mada unachepuka hadi mumeo anajua bwana, bora uchepuke kimya kimya na pia kuna wanawake wengine huwa hawaridhiki na mwanaume mmoja.
 
Back
Top Bottom