MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,082
Hizi kesi mbona zimekuwa nyingi hivi?? Tatizo liko wapi?? Tamaa???
hamhudumii ipasavyo!
Hizi kesi mbona zimekuwa nyingi hivi?? Tatizo liko wapi?? Tamaa???
Na wewe ndio zako eeeh??? Usipohudumiwa ipasavyo unachepuka?? (Joke)hamhudumii ipasavyo!
Na wewe ndio zako eeeh??? Usipohudumiwa ipasavyo unachepuka?? (Joke)
Mwanaume mashine inatakiwa utimize majukumu.
Habari wadau,
Nina mke na mtoto mmoja na hivi karibuni nimekamata mawasiliano yaliyoonesha kuwa wife ananisaliti na jamaa mmoja hivi nikafatilia vizuri ikawa ni kweli na alikwishatembea nae mara moja.
Nikawa nimemuuliza kama anampenda sana tuachane aende zake wakaishi pamoja lakini akasema kuwa alipitiwa tu na nimsamehe.
Hii sijamshirikisha mtu yeyote kwa familia zetu na nikawa nimemuangalia tu tunaendelea kuishi ila simuamini tena kama nilivyomuamini awali.
Naomba ushauri kwenu wadau nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Uamuzi uko juu yako..Pole sana kwa masahibu hayo, inauma ila ndi Ndoa mkuu...Habari wadau,
Nina mke na mtoto mmoja na hivi karibuni nimekamata mawasiliano yaliyoonesha kuwa wife ananisaliti na jamaa mmoja hivi nikafatilia vizuri ikawa ni kweli na alikwishatembea nae mara moja.
Nikawa nimemuuliza kama anampenda sana tuachane aende zake wakaishi pamoja lakini akasema kuwa alipitiwa tu na nimsamehe.
Hii sijamshirikisha mtu yeyote kwa familia zetu na nikawa nimemuangalia tu tunaendelea kuishi ila simuamini tena kama nilivyomuamini awali.
Naomba ushauri kwenu wadau nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe vipi unahudumiwa ipasavyo??.......................................................................................
Wewe vipi unahudumiwa ipasavyo??
Mimi tena kama dume la Nyati vile, ushauri kwenu wanawake kama unaona uhudumiwi ipasavyo ni bora kufunguka kuliko kwenda kuonja vya nje mwisho wa siki ndio haya sasa unajihaibisha wewe mwenyewe na mumeo kama sio kusomba na magonjwa kabisa.to the fullest had sheitwan ananuonea donge! vip na ww unatoa huduma ipasavyo
Mimi tena kama dume la Nyati vile, ushauri kwenu wanawake kama unaona uhudumiwi ipasavyo ni bora kufunguka kuliko kwenda kuonja vya nje mwisho wa siki ndio haya sasa unajihaibisha wewe mwenyewe na mumeo kama sio kusomba na magonjwa kabisa.
au amwambie mkewe kama hataki kuoga naye aoge na simu yake ili ndoa yao idumuKosa lako ni kumchunguza, ona sasa unavyohangaika.... Ushauri wangu maana umeshafanya kosa.... Achana na simu ya mkeo
Hayajakukuta Emmadogo weka akiba ya maneno wewe ndiyo utamwambia mkeo kama shetani alikupitia naomba ubadilishe njia ya kupita ili akikupitia Tena asikukute.Hivi haya majibu mtu unayapokeaje
1.NILIPITIWA TU
2.SHETANI ALINIPITIA
....
.NI MAJIBU YA KIHUNI SANA....Unapitiwa ukigongwa kwenye sherehe huko but unatongozwa na mnapanga mkutane mnakutana then unaniambia ULIPITIWA......???
Hakuna jibu nitakalolipokea zaidi ya kukupa chako na usepe.
Sent using Jamii Forums mobile app