Mke graduate

khaaa!
 
Acha udanganyifu mi wife wangu tumesoma darasa moja chuo kikuu kozi moja tuna miaka 4 kwenye ndoa na mtoto hakuna mushkeri adabu juu ya adabu labda huyo wako alilelewa na mama wa kambo
 
Mkuu umetisha embu nipe siri ya mautundu yako...!


 
Haiko hivyo kwa graduates wengi, hiyo ni tabia ya wachache wasojielewa kama huyo ulowahi kuishi naye ambaye elimu yake haikumkomboa kutoka kwenye ujinga wa kutojithamini.
 
mmmh jamani, msituponde sana. tutaolewa na nan sasa?
 
huyo mmoja asifanye uchanganye na wengine...........tafuta mchumba kwa kufuatilia chanzo chake hususani makuzi na malezi yake, aidha na we pia ujiangalie kwani hakuna binaadamu mkamilifu.
 
"Enyi waume ishini na wake zenu kwa akili" haijalishi ana elimu kubwa kiasi gani ilimradi ni mke mwema uliyepangiwa na Muumba,still atatambua kuwa mumewe ni kichwa cha nyumba na atakuheshimu tu na mtaishi maisha mazuri mnoooo mpk watu waone wivu

Kumbuka: Pia kuoa mwanamke mwny elimu ndogo kwa dunia ya leo ni changamoto kubwa zaidi.

Ushauri: Mwombe Mungu mke mwema tena mwny elimu,atakupa tu kwa6 uaminifu ILA nawewe utulie na kuwa mvumilivu la sivyo utapata ambaye hajatulia pia. Barikiwa!!!
 
Mwanaume makini atajibidiisha katika idara zote,kuanzia uchumi hadi elimu, angalau hiyo italeta tafsiri halisi ya mwanaume ni kichwa cha nyumba. kinyume na hapo utaishia kulialia tu. After all hujafungwa nae huyo msomi, kama unaona elimu ni kikwazo basi, kaoe ngumbaru mwenzio. Umeniangusha sana kuja na hasty gereralization ya namna hii.
 
Kuna ukweli ndani ya mada wanawake wengi waliosoma ndoa zao zina matatizo sana, wajuaji mno
 
we sio bure itakua yamekukuta yakukuta. nyie wanaume si mnasemaga wanawake waalimu ndio the best wives sasa leo imekuaje?? pole sana ila hauna point kabisa katika hiyo thread yako.
 
mwanamke ni tabia bhana syo elimu yake, umegeneralize sana, umalaya wa mwanamke syo elimu yake wengine ni four na std 7 lakini pasua kichwa . sijakubaliana Na mtoa maada
 
Oa huyo wako unayemtaka ili na waendesha bodaboda na wafyatua matofali nao wapate pa kujituliza;
kwani ni lazima uwashauri na wenzio?

Malaya ni Malaya tu regardless anawatuliza watu gani, acheni dharau Na ajira za watu, wewe tajiri/mwenye masters ungejenga nyumba yako bila mfyatua tofali? tunaishi kwa kutegemeana sana elimu au hali zetu zisitufanye tubaguane kihivyo. ni hayo
 
Very interesting thread.
This is the corner where Youths meet n discuss
 
Kwa mtazamo wangu boys ones u need any serious relation zingatia vitu viwil HARDWORKING and DISCIPLINE mengine ni ziada pia hayawez change kama real kakupenda....i

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mi mbona nimeoa graduate wawili; wote nimeoa na nawa-manage bila shida yoyote? Labda wewe mwenyewe umeshindwa tu - tena umemshindwa mmoja!!!!!
 
inategemea malezi ya kwao,malezi ya kwenu,nidhamu ,upendo(anakupenda au mnapendana au unampenda)
baada ya hapo ndo mambo ya pesa na elimu yanakuja na yanategemea zaidi vigezo vya juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…