pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,245
- 3,731
Mkuu umeolewa?
Mimi bado nawashangaa wanaume wenzangu ambao wanang'ang'ania kuoa...
Siku hizi hakuna mwanamke wa kuoa hata mmoja....kula papuchi then chapa lapa....haina kuangalia nyuma...
Siku hizi mahaba hamna....
Yaani ni mwendo hit and run...
Hawaigan tu...wanaiga uzungu....hisia zina kipindi katka maisha ya ndoa inafiki kipndi mnachokana kabisaa...so inahitaj jitahada za makusud kufufua penz,lazima mmoja ajishushe...sie ni binadamu mkuu kuna muda tutazenguana tu....na wanaume tulio weng si wepesi kujishusha hata kama tumekosa ni asili hii tumeumbwa hivyo...so inahitajika busara ya kike ili mambo yaende....
Nimeolewa sana tena mkuu
Mwanaume huu ni ushauri wangu na uzoefu wangu maana niliwahi kuishi na mwanamke mwenye degree tena ya ualimu ni shida.
Kwanza graduates wengi wakati wowote akitokea mtu mwenye pesa nyingi kukuzidi ni rahisi sana kukuacha, wana tamaa sana. Pili wengi wao wametumika sana tena sana. Tatu hawataki uwakosoe na akikosea ukamkemea basi jua hatokubali zaidi ataanza kuleta porojo za kutetea alichofanya.
Nne wanajisikia sana hasa kama akiwa anafanya kaza na yeye anataka awe mwanaume ukimgusa tu atakwambia muachane maana anajua ana uwezo wa kulipa kodi. Tano wana marafk wengi sana wa kiume kuliko wa kike na kujidai kuishi kzungu yaan haoni hatari kula denda na mfanyakazi mwenzie au kukumbatiana au kupigiana na kuandikiana sms za usiku mwema hasa nyakati za usiku.
Sita hawana mapenzi ya kweli, anakuenda ukiwa nazo tu siku zikitoweka ujue ndo mmeachana.
Ushauri: Usikimbilie kuoa mwanamke graduate wakati wapo kibao form 4, na certificate kwani huenda utajipunguzia siku za kuishi kwa mawazo, maana mwanamke graduate omba asipate kazi, akipata ujue na yeye anaota ndevu, humwambii kitu.
Objection..
Mwanaume huu ni ushauri wangu na uzoefu wangu maana niliwahi kuishi na mwanamke mwenye degree tena ya ualimu ni shida.
Kwanza graduates wengi wakati wowote akitokea mtu mwenye pesa nyingi kukuzidi ni rahisi sana kukuacha, wana tamaa sana. Pili wengi wao wametumika sana tena sana. Tatu hawataki uwakosoe na akikosea ukamkemea basi jua hatokubali zaidi ataanza kuleta porojo za kutetea alichofanya.
Nne wanajisikia sana hasa kama akiwa anafanya kaza na yeye anataka awe mwanaume ukimgusa tu atakwambia muachane maana anajua ana uwezo wa kulipa kodi. Tano wana marafk wengi sana wa kiume kuliko wa kike na kujidai kuishi kzungu yaan haoni hatari kula denda na mfanyakazi mwenzie au kukumbatiana au kupigiana na kuandikiana sms za usiku mwema hasa nyakati za usiku.
Sita hawana mapenzi ya kweli, anakuenda ukiwa nazo tu siku zikitoweka ujue ndo mmeachana.
Ushauri: Usikimbilie kuoa mwanamke graduate wakati wapo kibao form 4, na certificate kwani huenda utajipunguzia siku za kuishi kwa mawazo, maana mwanamke graduate omba asipate kazi, akipata ujue na yeye anaota ndevu, humwambii kitu.
Mwanaume huu ni ushauri wangu na uzoefu wangu maana niliwahi kuishi na mwanamke mwenye degree tena ya ualimu ni shida.
Kwanza graduates wengi wakati wowote akitokea mtu mwenye pesa nyingi kukuzidi ni rahisi sana kukuacha, wana tamaa sana. Pili wengi wao wametumika sana tena sana. Tatu hawataki uwakosoe na akikosea ukamkemea basi jua hatokubali zaidi ataanza kuleta porojo za kutetea alichofanya.
Nne wanajisikia sana hasa kama akiwa anafanya kaza na yeye anataka awe mwanaume ukimgusa tu atakwambia muachane maana anajua ana uwezo wa kulipa kodi. Tano wana marafk wengi sana wa kiume kuliko wa kike na kujidai kuishi kzungu yaan haoni hatari kula denda na mfanyakazi mwenzie au kukumbatiana au kupigiana na kuandikiana sms za usiku mwema hasa nyakati za usiku.
Sita hawana mapenzi ya kweli, anakuenda ukiwa nazo tu siku zikitoweka ujue ndo mmeachana.
Ushauri: Usikimbilie kuoa mwanamke graduate wakati wapo kibao form 4, na certificate kwani huenda utajipunguzia siku za kuishi kwa mawazo, maana mwanamke graduate omba asipate kazi, akipata ujue na yeye anaota ndevu, humwambii kitu.
nimesema "aoe mjinga au mwenye elimu ndogo". Elimu ni "scalar". Neno mjinga hapo limetumika kumaanisha asiyeenda shule. Na nijuavyo mimi mwanamke akijiweza kiuchumi huhitaji mwanaume kwa ajili ya ulinzi wa kihisia. Sasa asipoupata huwa hana sababu ya kukaa na mwanaume kwa ajili ya "itifaki". Mwanamke asiye na elimu au fedha humtegemea mwanaume kwa ulinzi wa kifedha na kihisia. Asipopata ulinzi wa kihisia huendelea kubaki kwa ajili ya ulinzi wa kifedha. Akipata ulinzi wa kihisia akakosa wa kifedha uwezekano wa kuvumilia shida za kiuchumi ni mkubwa. Elimu na kipato vina athari chanya au hasi kwenye mahusiano. Na wasomi hawawezi kufanana mienendo na maamuzi. Kila mmoja anaathirika kipekee hivyo sidhani kama ni sahihi kusema wanaigana.
Ha ha ah KUMBE NAWE GRADUATE
Anakumbatiana anapigana denda na wafanyakazi wenzie....ulikuwa unaishi na changudoa wewe usituletee generalization zako za kishamba hapa