Mke graduate

Mkuu huyo siyo elimu inamsumbua,itakuwa lazima ni amezaliwa kijijin kaingia mjini kwa miguu miwili,kwa hiyo anasumbuliwa na ushamba,ulimbukeni,umaskini na dhambi..wanawake wengi kama siyo wote waliozaliwa mjini na wakasoma hadi level hizo hawana tabia hizo..
 
Mimi bado nawashangaa wanaume wenzangu ambao wanang'ang'ania kuoa...
Siku hizi hakuna mwanamke wa kuoa hata mmoja....kula papuchi then chapa lapa....haina kuangalia nyuma...
Siku hizi mahaba hamna....
Yaani ni mwendo hit and run...

Acha kupotosha watu ww..wakati wako bado.
 

unadhani wazungu wanafanya wayafanyayo kwa sababu ni weupe? ni kwa sababu ya mfumo wa uchumi ambao huathiri mifumo mingine ya kitaasisi ikiwemo taasisi ya ndoa. Hata hapa kwetu sijafanya utafiti lakini ndoa za wamasai na wamang'ati walioko maeneo yao ya asili zitakuwa zinadumu zaidi kuliko za wakazi wa dar.

Hilo la mwanaume kutokuomba msamaha siamini kama ni tatizo la kuzaliwa bali la kimalezi maana nawajua wanaume wanaoomba samahani, wanaotoa pole na kusifia mambo mema. Hawa ni wale wanaoamini kuomba kwao msamaha au kuwapa pole wake zao hakuwapunguzii uanaume bali huongeza heshima na kudumisha mahusiano. Katika malezi kitu cha kwanza tunachosisistiza kwa watoto ni jinsi ya kuishi na watu. Hivyo tunajitahidi kuwafundisha kusema asante, kuomba samahani, kushea n.k. Na ukimletea mwanao kitu akipokea na asiseme asante unaweza kumuadhibu. Ukimfanyia mtu mzima mwenzio jambo na asikushukuru kinakuuma unaenda kumwambia mtu mwingine kuwa flani hana shukrani, au unaamua kutokumsaidia siku nyingine. Sasa kama tunawasalimia watu tusiowajua, tunaomba samahani kwa mabosi na wafanyakazi wenzetu, tunawasifia watu wa nje kwa kazi nzuri au kwa kupendeza, tunawapongeza na kuwahurumia ili kudumisha umoja na amani, iweje inapofika kwenye uhusiano wa mume na mke lishindikane?? Hayo maumbile ni maumbile gani yanabadilika kulingana na sehemu? Maneno ya asante, samahani, hongera, pole, nakupenda ni mafupi ila yana uwezo mkubwa wa kuyeyusha hasira, vinyongo, uchoyo n.k. Ni tabia tu, na tabia unaweza kuipata kwa kujifunza. Kusema busara ya kike inatakiwa ili mambo yaende ni sawa, ila kama ambavyo mwanaume hajaumbiwa kujishusha, mwanamke pia hajaumbiwa busara kiasili. Busara ya kiume pia inahitajika kujua una mke wa aina gani, ili ujue unaishi nae kwa akili ipi.
 
Afrika bado una safari ndefu sana! Wanauume wanazidi kupungua kila kukicha tumesomesha vijana wetu ili waliletee taifa maendeleo matokeo yake wanaogopa hata wanawake! Ndio tunasubiri walete technolojia na uvumbuzi wa kisayansi yaani tutangoja sana maana hawawezi any challenges kwa dunia ya sasa!
Kuoa mwanamke yoyote ile inahitajika akili na busara kumuelewa . Wanawake ujiwajulia hawatakusumbua hata kama ni profesakwa jinsi comments zilivyo hapa naona hata mkioa panya mtasumbuka sana.
Vijana mjiamini nyie ni wanaume na ni kichwa cha familia na hakuna mtu yoyote atakaye chukua au kupunguza uanaume wako ila fanya yale wanaume wanaotakiwa kufanya.
 
Hawa viumbe dawa yao pekee ni hela, watakuheshimu sana. Baada ya hivyo vyote uwatimizie na haja zao za kimwili
 

Tuko pamoko!
 

----...
 

Dah, mkuu hope1985 umegusa mulemule aisee me nilikuwa nae wangu wote ni graduates ila yeye kapata kazi kabla yangu tumekaa miaka sita ila baada yy kupata kazi kanivumilia mwaka mmoja tu kaanza kunifanyia vituko nikimuuliza anakuja halafu yy yupo mbali na mm. Juzi kati ameamua kunichana live hataki kuwa na mm na kigeo kikubwa ni kazi hakuna sababu nyingine. Kweli inabidi tukatafute form 4 au certificate kidogo stress zinaweza kupungua.
 
kazi kweli kweli......darasa la saba shida,form four shida,form six shida,graduate shida,masters shida...PHD hao ndo kabsa...ss jema liko wapi....hata ambae hajasoma kbsa shida...mnaaka wa wapi sasa???/..kila siku kuwasema heee
 

Sijaelewa vizur ulinzi wa kihisia ni upi mkuu
 
muulize profesa J, akwambie vizuri kilichomtuma kuoa sitimbi
 
hakuna uhusiano was elim name Tania ya MTU tusuishi kwa kukariri..
 
Vile ufikiriavyo ndivyo akili zako zilivyo. Pole sana una mtazamo finyu kupindukia!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…