Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,726
- 19,874
Tutasalimiana baadae ngoja ni jump mpaka kwenye mada yenyewe.
Mimi nimeoa mke ambae mtumishi(anatumikia vyeti vyake) ambapo inapelekea mke wangu kupata ma safari ya kikazi ambayo muda mwingine anapangiwa na li mwanaume analofanya nalo kazi(sometime ni yale ma mwanaume makwale sijui yana kizizi). Anyway kuna mida anarudi kachoka mpaka analala na mi nguo ya kazi kiasi kwamba hata nikiwa na upwiru naweza mshika maeneo fulani ya mwili wake naona kabisa nam-boa,Kuna siku naanza kujilaumu kuwa na mawazo ya kimario ya kusema eti nioe mwenye kazi ili tusaidiane ilihali hadi viwembe vya kunyolea manywele ya kwapa lake anaomba hela kwangu ya viwembe in short sioni huo unafuu wa utumishi wake.
Nikiangalia jirani ana mke wake goli kipa ambae kampa mtaji wa kuuza ice cream(balafu tamu) shuleni na home kiasi kwamba yule shem anaplay part kama wife wa kiafrika i mean anaweza kuihudumia famialia kwa kuipikia, kumuandalia mume hata maji ya kuoga, chakula huku nikiangalia kwangu naona mke wangu anakuja kachoka utafikili katoka kucheza movie la ex yaani imefika muda mke wangu hawezi hata kufua nguo zangu labda boxer zangu yaani kazi za malezi ya watoto na za nyumbani kamuachia dada wa kazi na mbaya zaidi huyo dada wa kazi anamchagua yeye (mbaya ki muonekano/mweusi pia mshamba kichizi yaani) ina maana anajua kabisa mi sitoweza kumtongoza wala kumuomba mbunye kwa sababu napenda mademu weupe kama mke wangu white.
Yaani kuna mida unaplan nae mkainjoi huko duniani linapigwa li simu kutoka ofisini mwake linaharibu out yenu kwa kweli ni kero kuna mida naanza kujiona kama vile nimeoa MWANAUME mwenzangu kwa sababu ukimtisha kumuacha nae anakuchimba beat tofauti na mke wa jirani yangu(goli kipa) ambae akipandishiwa kibesi na mmewe ananyenyekea na kuomba mishamaha.
Sasa kubwa kuliko usiombe ahamishwe(iwe kafanya vizuri kazini makao makuu yao yaweza kumtaka aende kuwaboost mkoa mwingine bila kujali boss wake mkuu upo mkoa huo) na hata akiboronga kazini anahamishwa kama adhambu ya utumbo aliofanya huko kazini kwake tena unaanza kuingia kwenye mtihani wa kupiganisha ahamie mkoa wa karibu yaani kwa kweli enyi wake zetu watumishi mnatufanya tuwe na watoto wa nje ya ndoa kwa sababu ya utumishi wenu.
kwa vile nili ahidi kuwasalimu baadae ngoja niseme MAMBO VIPI ila tu mwenzenu natamani movie lirudiwe nioe goli kipa. Hebu tupeane maujuzi nyie wake watumishi mnaishi nao vipi mpaka mkafika point ya kuzeeka nao kwenye ndoa.
KARIBUNI SANA WANANDOA ILA KAMA UNAJIONA WE BADO MTOTO TAFADHALI USIJE KWENYE HII MADA NENDA chitchat kuna mada zako.
Mimi nimeoa mke ambae mtumishi(anatumikia vyeti vyake) ambapo inapelekea mke wangu kupata ma safari ya kikazi ambayo muda mwingine anapangiwa na li mwanaume analofanya nalo kazi(sometime ni yale ma mwanaume makwale sijui yana kizizi). Anyway kuna mida anarudi kachoka mpaka analala na mi nguo ya kazi kiasi kwamba hata nikiwa na upwiru naweza mshika maeneo fulani ya mwili wake naona kabisa nam-boa,Kuna siku naanza kujilaumu kuwa na mawazo ya kimario ya kusema eti nioe mwenye kazi ili tusaidiane ilihali hadi viwembe vya kunyolea manywele ya kwapa lake anaomba hela kwangu ya viwembe in short sioni huo unafuu wa utumishi wake.
Nikiangalia jirani ana mke wake goli kipa ambae kampa mtaji wa kuuza ice cream(balafu tamu) shuleni na home kiasi kwamba yule shem anaplay part kama wife wa kiafrika i mean anaweza kuihudumia famialia kwa kuipikia, kumuandalia mume hata maji ya kuoga, chakula huku nikiangalia kwangu naona mke wangu anakuja kachoka utafikili katoka kucheza movie la ex yaani imefika muda mke wangu hawezi hata kufua nguo zangu labda boxer zangu yaani kazi za malezi ya watoto na za nyumbani kamuachia dada wa kazi na mbaya zaidi huyo dada wa kazi anamchagua yeye (mbaya ki muonekano/mweusi pia mshamba kichizi yaani) ina maana anajua kabisa mi sitoweza kumtongoza wala kumuomba mbunye kwa sababu napenda mademu weupe kama mke wangu white.
Yaani kuna mida unaplan nae mkainjoi huko duniani linapigwa li simu kutoka ofisini mwake linaharibu out yenu kwa kweli ni kero kuna mida naanza kujiona kama vile nimeoa MWANAUME mwenzangu kwa sababu ukimtisha kumuacha nae anakuchimba beat tofauti na mke wa jirani yangu(goli kipa) ambae akipandishiwa kibesi na mmewe ananyenyekea na kuomba mishamaha.
Sasa kubwa kuliko usiombe ahamishwe(iwe kafanya vizuri kazini makao makuu yao yaweza kumtaka aende kuwaboost mkoa mwingine bila kujali boss wake mkuu upo mkoa huo) na hata akiboronga kazini anahamishwa kama adhambu ya utumbo aliofanya huko kazini kwake tena unaanza kuingia kwenye mtihani wa kupiganisha ahamie mkoa wa karibu yaani kwa kweli enyi wake zetu watumishi mnatufanya tuwe na watoto wa nje ya ndoa kwa sababu ya utumishi wenu.
kwa vile nili ahidi kuwasalimu baadae ngoja niseme MAMBO VIPI ila tu mwenzenu natamani movie lirudiwe nioe goli kipa. Hebu tupeane maujuzi nyie wake watumishi mnaishi nao vipi mpaka mkafika point ya kuzeeka nao kwenye ndoa.
KARIBUNI SANA WANANDOA ILA KAMA UNAJIONA WE BADO MTOTO TAFADHALI USIJE KWENYE HII MADA NENDA chitchat kuna mada zako.