Mke anahitajika haraka

Huwezi kuoa wa dini yeyote, labda muwe kwenye mkataba wa kiserikali
 
Poor Brain NJOO nisaidie u jobless na kula Bure na kulala Bure kunanikosesha mume 😭😭😥😥😥
😂😂😂😂😂😂😂 Wee nilikuambia nitafutie mshangazi huko dasalamu..
Then
Mi nakupa kazi hapa kwa kitongoji chap uandikishe wapiga kula...
Huyo mume utampatia huku huku 😂😂😂😂

Na ulivo cute hivo an ndo kabisa..
Kuhusu hofu ya Mungu wee ni 100%
We ukifika huku nkuhungu mbona mke wa mtu tayari 😂😂😂😂
 
😁😁😁🤣🤣🤣
 
Hapo vigezo ni kuwa ilimradi mke awe anapumua tu maana hata wewe hujasema kama unakazi ya kufanya
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…