Jaman leo ni mara yangu ya kwanza kujitokeza hapa jukwaani, jaman naomba kuuliza hivi kuna ubaya/uzuri gan kwa msichana kumzid mvulana wake umri. Imentokea nina umri wa miaka 22 na girlfriend wangu ana 24, cha msingi tunapendana nae sana na kuheshimiana kila m1 wetu. Hatujawah kukutana kimwili toka kpnd chote cha uchumba wetu (1yr sasa) naomba mchango wenu kwa hili jamani.
]
nafurah kwa michango yenu ya mawazo mazuri. NAPENDA KUONGEZA TENA MAADA. Kielimu yeye yupo 4m 2 ( ni kutokana na mambo kadahaa yalimpata huko nyuma akasimama shule kwa muda ) na anajitahd sana shulen maranying yupo kwenye tano bora, na mimi nimehitimu kidato cha 6. Mwaka 2012 nkashndwa kutuma maombi ya chuo (nilikuwa na den shulen vyeti vilizuiliwa) mwaka huu nimechaguliwa kujiunga na chuo kimoja wapo hapa Tz (MWUCE) sikujiingiza ktk mapenz hapo kabla na nimejikuta nipo ktk penzi lake zito, kiukwel ana umbo dogo kimwil unaweza kusema ana miaka 20 ukimuangalia ghafla! Kiukwel nafarijika kuwa nae na ananipenda hivo tunatarajia kuwa mke & mume hapo baadae. ILA NAPENDA KUSIKIA MENG KWENU KUHUSU UTOFAUTI WA MIAKA ila jaman SI KUMUACHA! Teh teh teh Ahsanteni
]
nafurah kwa michango yenu ya mawazo mazuri. NAPENDA KUONGEZA TENA MAADA. Kielimu yeye yupo 4m 2 ( ni kutokana na mambo kadahaa yalimpata huko nyuma akasimama shule kwa muda ) na anajitahd sana shulen maranying yupo kwenye tano bora, na mimi nimehitimu kidato cha 6. Mwaka 2012 nkashndwa kutuma maombi ya chuo (nilikuwa na den shulen vyeti vilizuiliwa) mwaka huu nimechaguliwa kujiunga na chuo kimoja wapo hapa Tz (MWUCE) sikujiingiza ktk mapenz hapo kabla na nimejikuta nipo ktk penzi lake zito, kiukwel ana umbo dogo kimwil unaweza kusema ana miaka 20 ukimuangalia ghafla! Kiukwel nafarijika kuwa nae na ananipenda hivo tunatarajia kuwa mke & mume hapo baadae. ILA NAPENDA KUSIKIA MENG KWENU KUHUSU UTOFAUTI WA MIAKA ila jaman SI KUMUACHA! Teh teh teh Ahsanteni