Kama mnanyanyaswa niwapi mlisema mkachukuliwa hatua asee,huyo mke ana kwao sitaki kuamini kama umemtoa juu y a mti umemtoa kwao kwa wazazi wake nenda kashtaki unayofanyiwa na mkeo ili wazaz wajue nini wafanye kuweka halis awa kwenye ndoa yako ila huku kulalama tu kua mnanyanyaswa hamtopata msaada.
dah!sitaki ku imagine nimeenda kwa wakwe nalalamika eti wife hanipi ''mchele''!! hii ngumu sana aisee!
Weeeeh......alinishitukiza na booooonge ya gumi la mgongo nikapepesuka, kabla akili haijarudi vizur....ghafla huyu hapa mbele yangu (maza alikuwaga kama komando vile) alinipa kipigo mchanganyiko, maana hakuwa amejiandaa kuja na fimbo kwa hiyo alikuwa ananipiga vichwa vya kushtukiza , ngumi, vipepsi huku akichombeza kwa mitama ya hapa na pale...... Joto ya jiwe niliipata cku hiyo
Kama ww huwez kuna wenzio wanaweza
kweli, tunatofautiana dada angu...!
akinishinda kwa mbinu zoote nizijuazo kama mwanaume then there is always a plan B,C and even D!
Hapana kupiga puli au nyeto ni tamu kuliko k, cku moja wekeni mada mezani ijadiliwe mtapata majibuKuna kasoro kwenye papuchi ya mdada!
hahahahahaha.............nimevuta taswira na hasira aliokua nayo sasa!
kama bi mkubwa wangu,ye hadi mateke nilichezea aisee!!..alikua bandidu ile ile!afu leo ndio yuko mstari wa mbele eti '' msipige watoto nyie''..mi namtazama tu nachekea pembeni!