Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,686
Aaah!sure wanawake wa ck hz (sio wote) wamezidi,wanakula kula hovyo hovyo kila kitu,hawajali afya ya miili yao mwisho wa siku wananenepeana tu,hawaeleweki nyuma wap wala mbele,wapo tu kama ugali.
Wanawake wanatakiwa kujali miili yao ili wavutie,kwa wenzetu unene unapgwa vita,wanawake wa tz ndo wanaona sifa.
Mkuu huyo mwanamke unamdekeza,mwambie hupend unene,akiwa mbish mpge chn,nilikua na bnt mmoja akajinenepea hovyo,nikamtishia kummwaga,mbona miez 3 tu alirudi hali yake ya zaman.mjulishe kua hupende UTIPWA TIPWA.
OMG!!! Ndio nasikia hivyo leo.
nikuulize mdau,tuseme uko kazini muda huu umemuacha mkeo nyumbani,unarudi jioni unakuta mkeo kazeeka leoleo kawa kama bi kizee wa miaka 80 utaona sawa tu?kama hautaona sawa kwani hujui kuwa atazeeka kwanini usione sawa?sababu ni kuwa UNATARAJIA ATAZEEKA baada ya muda huo kupita na sio leoleo!kwa hiyo hapa kwa mtoa mada shida sio kubadilika kwa mkewe,shida hakutarajia kaoa juzi tu leo kitu tinginya. Matarajio yetu ndio yanayoleta usumbufu ktk maisha
wakati mwingine kunenepa si kula bali ni kuridhika tu, me mwenyewe mme wangu sikuhizi ananipigia kelele sana nipungue maana mwili unakuja kwa kasi, na wala si mlaji sana asubhi chai nakunywa na sambusa mbili au vibagia tu, mchana sili chochote zaidi ya mtunda na usiku nakula kidogo, na nakunywa sana maji ya moto lakini mwili ndo unakazana hata sijui nifanyaje na hapo sijazaa wala mimba sina
hajaweka time frame ya kutoka wembamba hadi kuwa mnene , labda kama alitumia mizizi ya kichina ya kunenepa wiki moja! ila cku zote tutarajie physical changes za miili yetu na wenza wetu with time!
jombaa,hapo pekundu unajua umetukana bila kutumia matusi,mimi nimecheka kwa vile ni mwanaume,lakini nilipojiweka ktk nafasi ya mwanamke nikaweza kuhisi maumivu utakayowapatia kwa maneno yako haya,siku nyingine usiseme kweli inayouma au sema kweli ktk namna isiyouma
Gosh :nono::nono: ndo tatizo hilo...unampendea mtu umbo?hujui kama umbo linabadilika....kesho mtu huna miguu,..akishazaa tumbo lakongoroka...Fanya mazoezi na umshirikishe na yeye...Jaribu kuwa mfano kwake baadala ya kuja kulalamika hapa na kumsimanga we mume wa aina gani usojua hata thamani ya mkeo!Na weekend jaribu mpikie vyakula healthy...mnunulie matunda na mbogamboga nyingi....
Ulimuoa kwaajili ya ngono tu au? ??
Mungu naomba aniepushie mwanaume kama huyu mtoa post hii.