Nelly Willy
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 583
- 1,197
ila nyie wanawake nyie!!! sijui mna vimelea gani kwenye medula zenu
niliishi na mwanamke tukapata mtoto mmoja ikatokea cku moja nipo kazini kasomba vitu vyote katoroka siku hizi anabembeleza eti nimsamehe shoga yake ndo alimwambia atoroke karudi na mwanangu kwangu nikimfukuza ataondoka na mtoto anadai sitakuja kumpata huyo mtoto tena .kwa upande wa sheria bado anaharali ya kubaki na mtoto yaani mtt yk chini ya miaka saba naombeni ushauri nimtimue mtoto atakuja baadaye kunitafuta au nimsikilizie wakati namlea mtoto wangu? ushauri tafadha
niliishi na mwanamke tukapata mtoto mmoja ikatokea cku moja nipo kazini kasomba vitu vyote katoroka siku hizi anabembeleza eti nimsamehe.....
naombeni ushauri nimtimue mtoto atakuja baadaye kunitafuta au nimsikilizie wakati namlea mtoto wangu? ushauri tafadha
Mwache tuangalie kama ataiba tena
hiyo kawaida mbona, we kama unampenda kubali yote, m namjua dada mmoja alkua anakaa na mwanaume bila kuoana wakagombana akasomba kila kitu ndani, badae akarud na mume kamuoa, na hawana hata motto, sembuse wew ulyezaa nae, mapenzi upofu babu eeh ukisema uangalie makosa yake hamtofika...
pole sana kwa hlo.we kabla hamjafanya makubaliano kuwa arud nymbn inabdi umshawish mkapme kwanza huwezjua alpoondoka alfanya mambo gan huko nyuma alafu ukijua nimzma msamehe ulee mtoto wako
Kumbuka watu wanavumilia mengi kwenye ndoa kwa SBB ya watoto!!watu wanasalitiwa lkn wanasamehe kwa faida ya watoto!cha msingi kama aliondoka kitambo hakikisha mnapima VVU!
hiyo kawaida mbona, we kama unampenda kubali yote, m namjua dada mmoja alkua anakaa na mwanaume bila kuoana wakagombana akasomba kila kitu ndani, badae akarud na mume kamuoa, na hawana hata motto, sembuse wew ulyezaa nae, mapenzi upofu babu eeh ukisema uangalie makosa yake hamtofika...
Duh haya mambo magumu kushauri, nishawahi kumshauri mtu duh kaishia kwenda kunipakazia ubaya kwa mpenzie
duuuhh! mama zetu kazi wanazo!!! watalea wangapi jamani!?? watulee sisi na mizigo yetu tuwape tena?? watapumzika lini sasa!!!
tatozo mama mzazi alifariki borabangekuwa hai ningempelekea mwanangu ndugu siwezipa mzigo wa kumlea mwanangu
Acha u---- wewe , huyo ameshajua madhaifu yako.
Ingiza mwanamke mwingine ndani wapambane.