Asante CCM
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 346
- 1,301
Ungetarajia mwana kijiji kama huyo kuhoji hilo la bandari?
Inafikirisha!
Mkazi wa Kata ya Ruaha katika Manispaa ya Iringa, mkoani Iringa Joseph Mkazi akiuliza swali kwa Mbunge wa Iringa mjini, Dk. Jesca Msambatavangu (hayupo pichani) kuhusu Bandari ya Dar es Salaam kama imeuuzwa au la, ambapo alijibiwa kwamba bandari hiyo haijauzwa, bali imekodishwa kwa mwekezaji mpya ambaye ni Kampuni ya DP World ya Dubai wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika Jumamosi Julai 01, 2023. (Picha na Friday Simbaya).
Nipashe
Inafikirisha!
Nipashe