Mkataba wa kuuza Kongo huu

Mkataba wa kuuza Kongo huu

kabila mtutsi, museven mtutsi, kagame mtutsi, wa burundi mtutsi ambao ukifuatilia wamma historia moja na wasomali ambao kinana amepewa chama cha kuiba kura. Unategemea eac tutasalimika?

...naona hakuna seriousness yeyote in this discussion,i'm out!!
 
Mkuu acha kutukana watu toa facts. Alichokisema mwandishi wa Makala ndicho kinaimaliza Kongo. Ni Bahima Empire na madini ya Congo basi. Kama si Bahima Laurent Nkunda yupo wapi? Huyu si alikamatwa Rwanda ameishia wapi? Hukubali pia kwamba Rwanda iliingia Kongo wakati wa Kabila kwa makubaliano Maalum? Hujui pia kwamba baada ya Kabila kushtuka akiwa Ikulu aliwafukuza Wanyarwanda na kuomba msaada wa watanzania? Huamini kwamba akina Bizima Karaha na Kabarebe walikuwa wakiitumikia Kigali?

Toa facts tuone Kongo inamalizwa na nini kama siyo Bahima iliyotawanyika kuanzia Ethiopia, Uganda, Kongo, Rwanda, Urundi na viunga vya Tanzania?

....thinking kama hizi ndio zinafanya vitu kama genocide,terrorism etc vitokee...you need education!
 
Kuna mgonga wa mkubwa wa kimaslahi katika nchi hizi za maziwa makuu hapa ni huhimiza nchi husika kusaini mikataba ya kutoivamia ardhi ya nchi nyingine na kuheshimu mipaka husika ..hata kwenye jumuiya yetu ya africa mashariki hili ni la msingi sana .tuliona uganda na kenya wakinyang,anyana kisiwa cha migingo.
 
Do we understand Museveni's real mission?Museveni's real mission is to restore the dominance of pastoralists or Batutsi (generically used to include Bahima, Batutsi, Bahororo and Banyamulenge in the Great Lakes region) through the creation of a Tutsi Empire. He has made and modified alliances at home and abroad with the sole purpose of getting a Tutsi empire. The Great Lakes geopolitics and Uganda's chaotic conditions during Amin's regime created a favorable environment for Museveni to gain access to Uganda politics.
With external media, financial and diplomatic guidance and support, Museveni mastered the art of presenting himself as the redeemer of frustrated Ugandans. He realized that all Baganda were frustrated with UPC and Obote especially because of the lost counties issue and abolition of kingdoms. He also realized that Catholics throughout the country and DP supporters were frustrated with UPC and Obote having lost to it the 1962 and 1980 elections. At an early stage, Museveni abandoned UPC and Obote although they are Nilotic cousins, Protestants and Obote had given Museveni a job in the president's office. He did all these things to be acceptable to Baganda and Catholics.
Museveni then needed agents within Baganda and Catholics in the rest of Uganda to use in advancing his dream. He turned to Batutsi who are also Catholics and scattered in all parts of Uganda especially in Buganda. As we have already said, Batutsi men don't marry non-Batutsi women and when Batutsi women marry non-Batutsi men they do so largely for political purposes. The husbands of Batutsi women join the club of Batutsi and work for them. Museveni's initial support came largely from Buganda, Eastern and Northern regions. Because of Ankole territorial rivalries between Bahororo and Bahima (Bahororo wanted a separate district carved out of Ankole but Bahima refused), Museveni isn't as close to Bahima as he is to Batutsi or more specifically Bahororo, explaining in part why Ankole kingdom was not restored.
So, most of so-called Banyankole supporting Museveni are Batutsi but mostly Bahororo. Bairu who form the majority in Ankole have been impoverished and marginalized. They are dying of poverty and related diseases. They are voiceless and powerless. What Batutsi did in southwest Uganda to impoverish Bairu is being extended to other groups in Uganda including in Buganda. I have written extensively on this subject and posted articles at www.kashambuzi.com.
For military and intelligence purposes, Museveni has relied more on Batutsi (or Bahororo?) refugees. There are stories subject to confirmation that the so-called Batutsi close to Museveni are actually Bahororo who returned to Rwanda after Mpororo kingdom disintegrated. In this regard, Ehret (2002) has recorded that with the collapse of Mpororo kingdom, "the pastoralist groups lost their special political position, and many of them shifted their support southwards to the then expanding kingdom of Rwanda, where a special higher status for pastoralists was part of an already emerging caste system [of Batutsi and Bahutu]". Karugire has added that wherever they settled Bahororo tenaciously clung together, implying that some day they would regroup and restore and expand their Mpororo kingdom.
In Rwanda Batutsi are located in south and central regions, the northern part is home to Bahutu or Bakiga, a hostile territory for Batutsi. However, following the 1959 Social Revolution in Rwanda a sizeable group of Batutsi travelled through hostile northern Rwanda to seek refuge in Uganda. It has been argued that this is a group of Bahororo who returned to Uganda to be with their Bahororo kith and kin in Ankole and Kigezi. Although there was already human and animal population pressure in Ankole and Kabale areas of Kigezi, the refugees and their cattle were enthusiastically received. Kangaho from Ankole and member of Legislative Council (LEGCO) made a compelling case that "the cattle and refugees can be accommodated in Ankole" (B. L. Jacobs 1965) against the advice of others. Batutsi refugees pleaded not to be settled somewhere else but in Ankole and Kigezi because "they have their kinsmen in Ankole and Kigezi". By the end of 1963 some 35,000 refugees with 15,000 head of cattle were received in Uganda. "One-third of these refugees appear to have settled with relatives [who must be Bahororo who stayed in Ankole and Kigezi when Mpororo kingdom collapsed] in Uganda. … Those refugees who had ‘settled permanently' with relatives or friends near the border were allowed to stay"(B. L. Jacobs 1965). From southwest Uganda refugees and their cattle moved to other parts of Uganda with a heavy concentration in parts of Buganda adjacent to Ankole.
From this analysis one can deduce that it is these Batutsi/Bahororo refugees that have formed the core of Museveni's movement. The two groups of Bahororo (those who stayed in Ankole and Kabale when Mpororo kingdom collapsed and those who rejoined them after 1959 social revolution in Rwanda) in southwest Uganda have worked together under Museveni leadership with the ultimate goal of restoring and expanding Mpororo kingdom in the Great Lakes region under the new name of Tutsi Empire.
Because of Bahima and Bahororo rivalry in Ankole, Museveni didn't have support in DP which supported Kutesa during the 1980 elections. And because Museveni had quit UPC it was impossible for him to go back. In desperation he formed his own political party UPM which lost badly (one candidate won a seat in parliament and Museveni lost to Kutesa, a DP candidate). Therefore Museveni had no support in Ankole and Kigezi when he launched his guerrilla war in 1981 with 27 people. Baganda and Catholics who disliked UPC and Obote hesitated to use force to unseat UPC.
Because some western governments and corporations didn't trust Obote despite conversion to capitalism, they backed Museveni and his guerrilla war. NRA/NRM received media, financial and diplomatic cover. In return, upon capturing power, Museveni accepted structural adjustment program and abandoned the ten-point program (a popular document that won him considerable support of Ugandans). Museveni also agreed to bring Asians back against strong objections. Because Museveni became a trusted agent of western interests, he was allowed to delay elections for ten years and in the process crippled UPC and DP to near extinction and they haven't recovered. External supporters have also turned a blind eye to rigging elections since 1996, eliminating presidential term limits, a non-independent electoral commission and rampant corruption, sectarianism, cronyism, mismanagement of public funds, abuse of human rights and impoverishing the majority of Ugandans because they are using him to advance their national interests in international organizations and especially geopolitical interests in the Horn of Africa and the Great Lakes region.
When he formed the government, Museveni put Batutsi in key and strategic positions in all branches of government – in parliament, executive and judiciary branches without Ugandans noticing (Ugandans got a shock when Batutsi we had all along thought were Ugandans and occupied key positions in government, security forces and business left for Rwanda in 1994. Many are still in Uganda and being used to advance Museveni interests). Using these agents in parliament, the constitution was drawn up according to Museveni wishes especially provisions allowing Ugandans to settle anywhere in Uganda and speak their local languages. These provisions cleared the way for Batutsi to grab land from indigenous people, an exercise that is gathering speed. Indigenous people are losing land at a frightening speed in Toro and other places. Land in Buganda is reported to be changing ownership very fast. Refugees mostly Batutsi from DRC are settling in many parts instead of confining them to a few places and are causing tensions with indigenous people as currently in Toro.
After he settled down as president, Museveni began to talk about Pan-Africanism and economic disadvantages of small states with limited market opportunities that limit increased productivity. He placed agents in relevant ministries to hammer this point home in various conferences. He then turned to the political situation in the Great Lakes region. There are stories of Museveni interference in Burundi politics. Although originally denied, Museveni eventually came out that Uganda supported Batutsi to return to power in Rwanda. Museveni and Kagame overthrew Mobutu Sese Seko government hoping to open the door for Tutsi Empire. It didn't work. They tried again. Unfortunately for Museveni and Kagame, leaders in the region especially in Angola, Zimbabwe, Namibia, Zambia and others began to understand their real motive of creating a Tutsi Empire and decided to support Kabila. Museveni and Kagame were abandoned by Angola that had supported them during the fight against Mobutu because of alleged association with UNITA. Leaders from these countries feared that after capturing DRC, Museveni and Kagame would then invade and conquer their countries all the way to Namibia.
Parallel with military strategy, Museveni developed an interest in the East African Community and pushed the admission of Rwanda and Burundi which are dominated by Batutsi especially in Rwanda. Initially, the community was to concentrate on economic integration. But with the military avenue to gain control of the Great Lakes region closed (perhaps temporarily), Museveni began to push for East African political federation over economic integration so that he becomes the first president of the federation and uses that position to finalize his Tutsi Empire project. He has hired experts who are now arguing that East Africa needs a political federation ahead of integration. This advice is like putting the cart before the horse. East African community negotiators need to fully understand the background to this line of argument which is to facilitate Museveni becoming the first president of the federation.
Realizing that the federation may not be achieved by 2016, he has launched campaign for another term hoping that before 2021 his dream of a federation will have materialized and he becomes the first federation president. Once president and with his external and internal friends Museveni will eliminate presidential term limits as he did with the Uganda constitution and use his agents drawn from all parts of East Africa to consolidate his position and ultimately declare his Tutsi Empire or its equivalent.
I have studied Museveni carefully from our Ntare School days and I know exactly what he is up to which is not in the interest of Uganda and that is why I am risking to say all these things because I care about our country, present and future generations who may be stateless if we are not careful. The recent announcement of eliminating national borders in the East African community is very scary. This is an indirect way of implementing Tutsi Empire incrementally. It will begin by dismantling the border between Uganda and Rwanda; then the border between Rwanda and Eastern DRC; then the border between Rwanda and Burundi; then the borders with Tanzania and finally the borders with Kenya. Creating a federation does not mean dismantling national or state borders. In fact the nation-state has remained and will remain an essential building block in East African federation and international political order.
As a first step in thwarting Museveni's grand design, Ugandans in or out of government need to identify these agents working for Museveni and isolate them. This is not discrimination or sectarianism. This is a matter of national and security interest and there is nothing to feel sorry about. However, identifying all Banyankole as agents of Museveni is not only wrong it is counterproductive and is going to frustrate efforts to build a solid and national resistance to Museveni. This categorization needs to be recast.
The opposition needs to have leadership that understands Museveni, his motive and how he is implementing it using agents in Uganda and outside. It is reported that Museveni boasted recently that he has agents in opposition parties. Museveni can't be unseated with his agents still in our midst. Museveni can't be defeated when aspiring leaders prefer to keep quiet or talk in vague terms to buy popularity with every stakeholder. Future leaders must speak up and spell out their policies and strategies should they have the opportunity to play a role in Uganda's future. UDU already has a Recovery Plan and a core of seasoned leadership inside and outside Uganda, some of it not yet disclosed. United we stand, divided we fall.
Eric Kashambuzi
Secretary General & Chief Administrator, UDU
 
SAWA MZEE NIMEKUSIKIA! huyu raisi Kagame , analilia ardhi ya wakongo utadhania vile mtoto mchanga aliliavyo ziwa la mama kunyonya.

South africa, Tanzania, Kenya na Uganda zote zimo katika dili la kutaka kongo igawiwe mtutsi. Ndio maana unaona mgogoro huo hauna mwisho wala hautatuliki. Hao no watutsi ndugu yangu. ni watu wakorofi saaaaaanah saaaanah.Leo wameshika Uganda, Rwanda na Burundi na sasa wanataka kuiteka kongo. Je kwa nini Kenya na Tanzania zinataka kuungana nao kuunda jumuia ya africa mashariki pampja na watu wahuni kama hao?

Watutsi wanataka kuunda the so called ''Kilimanjaro Kingdom'' yaani waitawale Afrika mashariki.Wakikamata kongo inakuwa imebaki Kenya na Tanzania,lakini hizi pia zitakuwa zimekamatwa na kutawaliwa kwa sababu katika maamuzi ya Jumuia ya afrika Mashariki zitakuwa hazina sauti. Nchi mbili(Tanzania&Kenya) kupingana na Rwanda, Uganda,Congo na Burundi,Obvious maamuzi yata-favor huo umoja wa nchi nne.
 
Hivi hizi garbage mnatoaga wapi? pls fanyeni research muelewe hii Congo crisis nawashauri achaneni na hizi street talk, propaganda/fake politics...hivi mnajua hata kuna factions ngapi zinapigana kule Congo and why?Congolese wakiamua hii vita iishe itaisha bila msaada wa mtu yeyote kutoka nje ila selfish/greed and stupidity ndio inawamaliza,hii vita has nothing to do na hizo garbage zenu za Hima empire or Kigali...ningekuwa kagame ningefunga mpaka na kuwaambia hao UN waje wakae hapo mpakani then uone kama vita itakwisha na amani kupatikana.

thats why you aint kagame
 
Hivi na huyu anko NKUNDA yeye anasimama upande gani katk huu Mchezo? Alipotelea wapi baada ya kukamatwa.

Tanzania inabidi tuwe makini na hawa jamaa maana ni hatari kwa usalama wa EA kwa ujumla.
 
Hivi hizi garbage mnatoaga wapi? pls fanyeni research muelewe hii Congo crisis nawashauri achaneni na hizi street talk, propaganda/fake politics...hivi mnajua hata kuna factions ngapi zinapigana kule Congo and why?Congolese wakiamua hii vita iishe itaisha bila msaada wa mtu yeyote kutoka nje ila selfish/greed and stupidity ndio inawamaliza,hii vita has nothing to do na hizo garbage zenu za Hima empire or Kigali...ningekuwa kagame ningefunga mpaka na kuwaambia hao UN waje wakae hapo mpakani then uone kama vita itakwisha na amani kupatikana.

Koba kuanzia leo wewe ni Hima empire taka usitake maana kila tunapozungumzia masuala nyeti yanayohusu Watusi wewe unakuja juu kama kifuu cha nazi kuwatetea hao wauaji, wewe na Lonestriker, Jasusi najua kinawauma sana lakini ukweli ndo huo.Kumbuka ulivooona eti kila mchango wa mtu aliechangia kwenye thread yangu ya Who will bring Kagame to justace ulivosema eti ni gabbage, sasa nakuambia you can go to hell but the truth is tutsi are murderer and time will tell maana hamuwezi kuwa juu kila siku tu https://www.jamiiforums.com/international-forum/329645-who-will-bring-kagame-to-justice-3.html
 
Wewe Mtutsi unataptapa kweli,mbona unachonga ngenga tu lakini hutaki kuleta facts zako kuhusu kiini cha machafuko yasiyokwisha ndani ya DRC?
Acha kumaliza muda wako kubishana na huyo f.la Koba, anafikili kila mtu ni f.la kama yeye.Kila linapokuja suala la kudiscuss issue za Rwanda, Uganda na DRC zinazohusiana na watusi basi anakosa raha the fact is huyu jamaa ni mtusi ndo maana anashadadia ushenzi wa akina Kagame
 
Hivi na huyu anko NKUNDA yeye anasimama upande gani katk huu Mchezo? Alipotelea wapi baada ya kukamatwa.

Tanzania inabidi tuwe makini na hawa jamaa maana ni hatari kwa usalama wa EA kwa ujumla.
Alikamatwa ama alienda kupumzika Kigali, waliokamatwa na makosa ya uhalifu wa kivita si unawajua wapo the Heague yeye yupo Kigali kwa Kagame kupongezwa kwa kuifanya DRC kuwa nchi isiyitawalika, hata Bosco Ntaganda akishamaliza ataendazake kupumzika Kigali kwa ndugu yake Kagame
 
kuna vitu vinakasirisha...kama kikwete asemavyo...hawavijidumtu watusi ni trable hawafai kila mtu awe na nchi yake hata huku wakija wanataka kudominate kingdom ...tusiungane nao kabisaaaa
 
Acha kumaliza muda wako kubishana na huyo f.la Koba, anafikili kila mtu ni f.la kama yeye.Kila linapokuja suala la kudiscuss issue za Rwanda, Uganda na DRC zinazohusiana na watusi basi anakosa raha the fact is huyu jamaa ni mtusi ndo maana anashadadia ushenzi wa akina Kagame

...wewe na marofa wenzako humu mnaokuja na Hima empire conspiracy ni wapuuzi wa hali ya juu and you have no idea what the hell u talkin about,the only thing you can do just open up,get some education,do some research sio kuja na story zenu zisizo na kichwa wala miguu,nyie watu hamna tofauti na wafuasi wa sheikh Ponda wanaoenda kuchoma makanisa ya watu/kukataa sensa,same shit waliyoambiwa interahamwe waka commit genocide nahisi is the case here....soma utakavyo Kagame is better and Rwanda is doing fine na wananchi wake appreciate that sio hao mafala wenzenu waliojicha misituni Congo and FYI watachapwa mpaka wasalimu amri
 
Tusije Kufunga Banda wakati farasi Keshatoka.....
Kuna tetesi nyingi sinasema kuwa nia ya Watutsi ni Kutawala Afrika Mashariki....
Hapa Tanzania wanawake wao wanaolewa kwa kasi ya Ajabu.....
Pamoja ni TETESI si jambo la kupuuza...na inasemekana wameshaanza kujipenyeza katika mashirika mbalimbali makubwa hapa nchini....

Kwa ujumla hawa watu ajenda yao si nzuri

SAY NO TO EAST AFRICAN UNION...IT FAILED ONCE AND IT WILL FAIL AGAIN..AND WE WILL HAVE START OVER AGAIN
 
Nikiangalia yanayotokea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakati huu, nashawishika kuamini kwamba yaliyoandikwa kwenye Makal hii ( Mwanahalisi, February 9, 2009) yana ukweli mkubwa tu! Tuilinde Tanzania yetu, I hope viongozi wetu hawaingii mikataba kama huu wa Laurent Desire Kabisa.

Mkataba wa kuuza Kongo huu
Na Mwandishi Maalum - Imechapwa 11 February 2009

Ni ule wa Laurent Kabila na Rwanda
KINACHOITWA vita vya sasa nchini Kongo ni utekelezaji wa “Makubaliano ya Lemera” ya mwaka 1996 yenye shabaha ya kuigawa nchi hiyo kubwa kuliko yoyote ile Afrika Mashariki na Kati.
Makubaliano yalifanywa kati ya Laurent Desire Kabila, akiwa kiongozi wa chama cha “kuikomboa Kongo” kutoka utawala wa dikteta Mobutu Sese Seko, kwa upande mmoja; na wapiganaji wa Kinyarwanda kutoka Rwanda na Mashariki mwa Kongo.
Makubaliano ambayo yalifanyika kwenye vilima vya Lemera vilivyoko Kivu ya Kusini na kujulikana kwa jina hilo, yalitaka Kabila, baada ya kuwa rais wa Kongo, aruhusu mikoa miwili ya Kivu Kaskazini na Kusini kuwa makazi ya Wanyarwanda wa kabila la Kitutsi.
Taarifa zilizopo zinaonyesha makubaliano yaliandaliwa mapema mjini Kigali na pale Lemera yalikuwa yanazinduliwa tu. Ilikubaliwa wakati huo kwamba hiyo ndiyo ingekuwa “asante” kwa Rwanda “kwa ukombozi wa Kongo.”
Desire Kabila alikuwa tayari amechoka. Kwa takriban miaka 20 alikuwa akipambana na utawala wa Mobutu Sese Seko. Alikuwa amefikia hatua ya kukata tamaa na kutulia jijini Dar es Salaam.
Mwaka 1996, mjini Kigali, Rwanda kilikuwa kimeundwa kikundi cha wapiganaji waliojiita “wapinzani wa dikiteta Mobutu.” Hawa walikuwa Wakongomani na Wanyarwanda kutoka Rwanda na wengine waliokuwa wakiishi mkoa wa Kivu Kusini, Mashariki mwa Kongo.
Katika kundi hilo alikuwemo Mkongomani, Jenerali Andre Kisasi Ngando; askari mtaalam wa kusomea. Anadaiwa kupata mafunzo nchini Cuba, Ujerumani na Bulgaria. Alikuwa akiongoza Wakongomani wapatao 600 katika kikundi hicho.
Wakati kikundi hicho kinataka kuanza vita, kilitaka kuwa na msemaji. Mungu akupe nini! Hakuna uthibitisho wowote, lakini taarifa zinaeleza kiliomba ushauri wa Mwalimu Julius Nyerere “ambaye aliwapa Laurent Desire Kabila kuwa msemaji wa wapiganaji.”
Mwanzoni mwa vita ya kumg’oa Mobutu kikundi hiki kilijulikana kama cha Wanyamulenge. Dunia nzima ikaambiwa na kuaminishwa kuwa hayo yalikuwa “maasi ya Wanyamulenge.”
Wanyamulenge ni watu wanaodaiwa kutoka kwenye vilima vya Mulenge vilivyoko wilaya ya Uvira katika mkoa wa Kivu Kusini. Makabila ya asili ya hapa ni Wavira na Wafuliro. Wanaojiita Wanyamulenge ni Wanyarwanda wakuja.
Vita vilianza kwa propaganda kuu kwamba serikali ya Mobutu haitambui Wanyamulenge ambao walidai ni raia wa Kongo; inawanyanyasa na inawanyima uraia. Haya yalikuwa madai makubwa sana yaliyovuta hisia kali na huruma kwa wapiganaji.
Wapinzani, chini ya Jenerali Andre Kisasi Ngando, na msemaji mkuu wao Laurent Kabila waliteka, kama mchezo, mji mkuu wa Kivu Kaskazini, Goma. Wakavuka Ziwa Kivu na kuingia Kivu Kusini.
Ilikuwa baada ya kukamata mji wa Bukavu, makao makuu ya Kivu Kusini na sehemu nyingi za mkoa huo, wapiganaji wa Kinyarwanda waliingiza pendekezo la rais ajaye wa Kongo, kutoa Kivu Kaskazini na Kusini kwa Rwanda.
Lakini kabla suala hilo nyeti kupewa uzito unaostahili, wapiganaji wa Kinyarwanda, baada ya kuteka Bukavu, wanadaiwa kuanza kupora mali – magari, vifaa vya nyumbani, dawa katika maduka – hatua ambayo ilielezwa kuwa uhamishaji wa mali za wakazi wa Bukavu na maeneo mengine.
Alikuwa Jenerali Ngando anayeripotiwa kupinga uporaji usiomithilika, jambo ambalo lilimletea uhasama kwa baadhi ya wapiganaji. Kuona hivyo, Laurent Kabila akamwasi Ngando.
Ngando anasemekana kuuawa siku chache baada ya kutofautiana na wapiganaji juu ya uporaji. Inaelezwa kuwa alimiminiwa risasi na kuuawa na mwili wake kuchomwa moto katika mbuga ya wanyama ya Virunga.
Kabila aliulizwa mara nyingi juu ya Ngando. Alikuwa na majibu tofauti. Akiwa bado msituni alisema Jenerali Ngando amekamatwa na majeshi ya serikali na mara ametekwa na wanamgambo wa Mai Mai.
Baadaye Kabila alisema Ngando alijeruhiwa na kupelekwa Ujerumani kwa matibabu. Na wakati akiwa rais, aliwaambia waandishi wa habari mjini Kinshasa kuwa Ngando alikuwa askari kama askari wengine na kwamba alikufa kwenye mapambano.
Ilikuwa baada ya kifo cha Jenerali Ngando ndipo Kabila aliingizwa kwenye makubaliano ya kumega Kongo. Kwanza, kikundi cha wapiganaji kiligeuzwa kuwa chama – AFDL – Alliance de front Democratique pour la Liberation du Congo. Kabila akapanda cheo na kuwa kiongozi wa chama cha ukombozi wa Kongo kutoka kuwa msemaji tu wa wapiganaji.
Baada ya kuundwa kwa AFDL, jina la Wanyamulenge likatoweka kabisa. Wapiganaji wakaitwa waasi wa Kongo. Taarifa zinasema kabla wapiganaji kutoka Bukavu na kuanza safari iliyomfikisha Kabila madarakani, waliingia katika mkataba ambao ndio umekuja kuitwa “Makubaliano ya Lemera.”
Kuna madai kwamba viongozi wakuu wa wakati huo wa baadhi ya nchi walipata nakala ya makubaliano hayo ya kumega Kongo. Miongoni mwa nchi hizo ni Namibia, Uganda, Burundi, Zambia, Ethiopia, Eritrea, Zimbabwe, Angola, Namibia, Sudan na baadhi ya nchi za Ulaya na Marekani.
Imeelezwa kuwa makubaliano ni pamoja na kufanya mikoa ya Kivu Kaskazini na Kusini kutawaliwa na Wanyarwanda wa Kitutsi kutoka mataifa ya Rwanda, Burundi na Uganda; na kwamba utawala huo ambao ungefanya kazi kwa ushirikiano na serikali ya Kabila, ungetekelezwa kwa awamu tatu katika kipindi cha miaka 10 kuanzia 1998.
Chini ya mpango huo, raia wa Kongo, wakazi wa Kivu Kaskazini wangehamishiwa Kivu Kusini, “taratibu na kwa utulivu huku makazi yao yakichukuliwa” na wavamizi.
Imeelezwa kuwa hatua ya kwanza isingekuwa ngumu kwani Rwanda ingedai kuwa inapambana na wanamgambo wa Kihutu walioitwa Interhamwe ambao itaelezwa kuwa wanatishia amani nchini Rwanda. Hivyo ndivyo imekuwa ikifanya hadi sasa.
Makubaliano yanadaiwa kueleza kuwa kuchukuliwa kwa miji ya Goma na Butembo mkoani Kivu Kaskazini, sharti iwe hatua ya kwanza kwa kuwa hayo ndiyo maeneo yenye upinzani mkubwa. Kufanikiwa kwa awamu ya pili, kungetegemea mafanikio ya awamu ya kwanza, makubaliano yanadaiwa kueleza.
Wafuatiliaji wa mahusiano ya Rwanda na Kongo wanasema ingawa mpango huo ulishindikana kutekelezwa kuanzia mwaka 1998, kuingia kwa majeshi ya Rwanda nchini humo hivi sasa, ni utekelezaji wa hatua ya kwanza ya Makubaliano ya Lemera; na tayari miji ya Goma na Butembo iko chini ya kile kinachoitwa “majeshi ya ushirikiano” ya Rwanda na Kongo.
Kwa mujibu wa masimulizi juu ya makubaliano hayo, awamu ya pili ingekuwa kujaza wakazi wa Kaskazini katika Kivu Kusini na kufanya uchaguzi wa serikali za mitaa ambapo wazawa wangeenguliwa, kukosa uongozi na hivyo kunyimwa sauti.
Hatua nyingine ilikuwa kuanzisha benki ya kusaidia wavamizi katika Kivu mbili, kujenga nyumba zipatazo 600,000 na kujiimarisha katika nchi ya kigeni – Kongo.
Imeelezwa kuwa Kabila alikubaliana na masharti ya makubaliano kwa kuwa lengo lake lilikuwa moja tu: Kuingia ikulu ya Kinshasa kwa msaada wowote kutoka kwa yeyote; Mungu au shetani.
Ilikuwa baada ya makubaliano hayo, Kabila alisonga mbele na hatimaye kushinda na kuingia ikulu ya Kinshasa akiwa na wapiganaji wa Rwanda, akiwemo mkuu wa sasa wa majeshi wa Rwanda, James Kabarebe.
Baada ya kuingia ikulu, Kabila anadaiwa kuwageuka wenzake. Ilikuwa baada ya miaka miwili ya urais, alitangaza, tena kwa jeuri, kuwa wageni wote waondoke nchini. Aliongeza kwa kufafanua, kwamba Wanyarwanda warudi kwao na kusema anawashukuru kwa kazi waliyofanya.
Kabila alikuwa tayari amesoma mwelekeo wa makubaliano yake na kuona kuwa yanatoa mwanya kwa kile kilichoitwa “Nchi ya Ahadi” ya Watutsi kutoka Rwanda, Burundi, Uganda, Somalia, Ethiopia, Eritrea na Tanzania.
Alitakiwa atangaze, akiwa rais, kuwa Kivu mbili zote ni makazi ya Watutsi; ili hata wananchi wa Kongo watakaobaki humo, wawe wanafahamu kwamba siyo kwao.
Kabila alinukuliwa akisema kuwa hayo (Makubaliano ya Lemera) ni “makubaliano ya porini” na kwamba yeye hakuwa na madaraka ya kuuza nchi. Alisema hakatai kuwepo mkataba, lakini akataka hilo “lipelekwe kwa wananchi – kupitia bungeni – ili wananchi wenyewe waamue.”
Kilichomshangaza zaidi Kabila, baada ya kutangaza kuwa Wanyarwanda warudi kwao, ni kwamba aliyekuwa wa kwanza kuondoka na kukimbilia Afrika Kusini, alikuwa waziri wake wa mambo ya nje aliyeitwa Bizima Karaha (Bizimana Karahamuheto).
Katika mshangao na labda kejeli, Kabila alisema, “Kumbe nchi ilikuwa imevamiwa! Hata waziri wangu wa mambo ya nje alikuwa Mnyarwanda?”
Hiyo ilifuatiwa na kufukuzwa kwa James Kabarebe aliyekuwa mkuu wa majeshi ya Kongo na sasa mkuu wa majeshi ya Rwanda. Hatua hizi na nyingine, ndizo zilisababisha kutotekelezwa kwa Makubaliano ya Lemera.
Lakini wachunguzi na wafuatiliaji wa mahusiano ya nchi hizi mbili wanasema, makubaliano yameandikwa na yapo; hayajafutika. Kilichofanyika ni “ukaidi wa Kabila” wa kutotaka kutimiza ahadi yake baada ya kuingia ikulu.
Kabila anasemekana alikuwa amesoma kitabu cha Raphael Ntibazokiza kikieleza mahusiano ya Watutsi na wabantu, kiitwacho Plan de la colonisation tutsi au Kivu et region centrale de l’Afrique – Mpango wa ukoloni wa Kitusi katika Kivu na eneo la Afrika ya Kati.
Raphael anaandika, “Mhutu ameumbwa kufanyia kazi watu wengine; hawezi hata kujaribu kupata uongozi. Chukua nafasi zote za mikoa na wilaya na atakayekuwa mtawala ahakikishe kuwa analinda maslahi yetu... Baadaye watakapokuja kustuka, watakuwa wamechelewa…”
Mmoja wa waliokuwa karibu na Laurent Kabila amenukuliwa akisema hakuna kitu kilichomsononesha Kabila kama kauli ifuatayo ndani ya kitabu cha Raphael:
“Tutumie ukarimu wao. Tujinyenyekeze kwao kama sisi ni watumishi wao. Tukiishachukua nafasi zao tuwatelekeze na ‘kuwalipa ujira wa nyani’- payez-les en monnaie de singe pour montrer leur incapacite – ili kudhihirisha kuwa hawana uwezo.”
Kabila aliuawa kabla hajamaliza kunyukana na Rwanda. Aliuawa na mmoja wa “watoto” wake – vijana wadogo waliokuwa watu wa karibu sana na waliomlinda tangu akiwa msituni.
Kuna maelezo tatanishi juu ya kifo chake. Kuna wanaodai aliyemuua alitumwa na waliokuwa wakitaka atekeleze makubaliano ya Lemera; lakini wengine wanadai ni karata za nchi za Magharibi.
Kwa kuwa Jonas Savimbi aliuawa katika wiki moja tu baada ya kifo cha Kabila, inadaiwa kulikuwa na mkono wa mataifa makubwa; hili likitaka kuingia Kongo na hivyo kuomba msaada wa kuondoshwa kwa Kabila huku likiwezesha kukamatwa na kuuawa kwa Savimbi. Siasa hizi hazijafafanuliwa.
Kuingia kwa Joseph Kabila, anayedaiwa kuwa mtoto wa kufikia wa Laurent Kabila, kunaonekana kuleta mgeuko mwingine kuelekea kule ambako “baba” yake alikataa.
Kinachoitwa makubaliano kati ya serikali ya Rwanda na ile ya Kongo kinaonekana wazi kuwa utekelezaji wa mpango wa awali ambao Laurent Kabila alikataa.
Aidha, kukamatwa kwa Jenerali Laurent Nkundabatware na kuhifadhiwa nchini Rwanda kunaelezwa kuwa sura kamili ya “kuheshimu kazi ya maandalizi aliyokuwa akifanya nchini Kongo.”
Kuna madai kuwa Nkundabatware, Mnyarwanda kutoka Rwanda, lakini Rwanda inasema ni Mkongomani, hakuwa na jeshi lolote nchini Kongo. Aliongoza majeshi ya Rwanda hadi hapo ilipoonekana kuwa mazingira yamekuwa mazuri kwa Rwanda kuingilia kwa kisingizio cha “kufukuza Interhamwe na kuweka usalama mpakani.”
“Hata akipelekwa Kongo leo hii, Kabila atamlinda Jenerali Nkundabatware, labda kama wakuu wa Kongo na Rwanda watakuwa wamegundua kuwa amewasaliti,” kimeeleza chanzo cha habari hizi mjini Goma.
Rwanda imeingia Kongo. Nani ataiondoa? Baadhi ya nchi jirani zimekuwa watazamaji tu wakati nyingine zikiwa katika maandalizi ya kunufaika kutokana na mgogoro wa nchi hii.
Moses Byaruhanga, waziri katika ofisi ya rais (Siasa) nchini Uganda, amesema nchi yake inaunga mkono “shirikisho la Kivu na Kisangani” na kwamba wanasubiri kuona serikali ya Kinshasa inalionaje suala hilo.
Katika siku za karibuni kumekuwa na taarifa za kukamilisha kumegwa kwa mikoa miwili ya Kivu Kaskazini na Kusini kutoka Jamhuri ya Kongo na kuzifanya muungano wa Jamhuri ya Kivu.
Kauli ya msemaji wa ikulu Uganda inaongeza uwezekano wa kuimega Kongo pale inapohusisha jimbo jingine la Kisangani ambako majeshi ya Uganda yanadai kuwinda waasi wa Lord’s Resistance Army (LRA).
Kiongozi wa LRA, Joseph Kony amekuwa akipambana na majeshi ya serikali ya Yoweri Museveni kwa zaidi ya miaka 15. Uganda sasa inadai kuwa Kongo inatumika kama kichaka cha waasi hao.
Kauli ya Uganda haipishani na mipango inayodaiwa kufanywa na Rwanda ingawa Rwanda, kupitia balozi wake mjini Dar es Salaam ilikaririwa ikisema haina mpango wowote wa kuigawa Kongo.
Jumuiya ya kimataifa imetekwa kwa propaganda za Interhamwe, Wanyamulenge, waasi wa LRA na kumbukumbu za mauaji ya kimbari.
Isipokuwa Barrack Obama ambaye angalau amesema anataka Kongo tulivu na kwamba atasaidia kuleta hilo, mataifa mengine, pamoja na Ufaransa, yanataka kuimega Kongo.

Mkataba uko wapi mkuu..hii ni riwaya nzuri tu.
 
...wewe na marofa wenzako humu mnaokuja na Hima empire conspiracy ni wapuuzi wa hali ya juu and you have no idea what the hell u talkin about,the only thing you can do just open up,get some education,do some research sio kuja na story zenu zisizo na kichwa wala miguu,nyie watu hamna tofauti na wafuasi wa sheikh Ponda wanaoenda kuchoma makanisa ya watu/kukataa sensa,same shit waliyoambiwa interahamwe waka commit genocide nahisi is the case here....soma utakavyo Kagame is better and Rwanda is doing fine na wananchi wake appreciate that sio hao mafala wenzenu waliojicha misituni Congo and FYI watachapwa mpaka wasalimu amri

Mkuu Koba huwezi ukatumia povu kujenga hoja kwa kuwa wanaopreach Hima empire wanatumia facts ni vema na wewe ukatumia mkondo huohuo vinginevyo unachafua status yako tu.
 
Last edited by a moderator:
Hivi hizi garbage mnatoaga wapi? pls fanyeni research muelewe hii Congo crisis nawashauri achaneni na hizi street talk, propaganda/fake politics...hivi mnajua hata kuna factions ngapi zinapigana kule Congo and why?Congolese wakiamua hii vita iishe itaisha bila msaada wa mtu yeyote kutoka nje ila selfish/greed and stupidity ndio inawamaliza,hii vita has nothing to do na hizo garbage zenu za Hima empire or Kigali...ningekuwa kagame ningefunga mpaka na kuwaambia hao UN waje wakae hapo mpakani then uone kama vita itakwisha na amani kupatikana.
Koba tumekupata inaonekana wewe ni mdau wa Bahima au Nkole empire jinsi povu lilivyokutoka.Siasa na mlengo wa Kagame na Mwenzake Museveni juu ya DRC uko wazi siyo lazima uende chuo chochote
 
Last edited by a moderator:
Tusije Kufunga Banda wakati farasi Keshatoka.....
Kuna tetesi nyingi sinasema kuwa nia ya Watutsi ni Kutawala Afrika Mashariki....
Hapa Tanzania wanawake wao wanaolewa kwa kasi ya Ajabu.....
Pamoja ni TETESI si jambo la kupuuza...na inasemekana wameshaanza kujipenyeza katika mashirika mbalimbali makubwa hapa nchini....


Kwa ujumla hawa watu ajenda yao si nzuri

SAY NO TO EAST AFRICAN UNION...IT FAILED ONCE AND IT WILL FAIL AGAIN..AND WE WILL HAVE START OVER AGAIN
Hydrobenga Jr.Hivi haujui kuwa Dar ni sawa na Kigali tu kwa Wanyarwanda?.Mnyarwanda yuko huru sana Dar kuliko hata Kigali,Kayonza,changugu,Gitera,Butera au miji na majimbo yoyote yale ya Rwanda.Viongozi wa Serikali ya Rwanda sasa hivi waliowengi zaidi ya 50% walikuwa watumishi ya serikali ya Tanzania kama walimu,watendaji wa vijiji na Kata,nesi,daktari,wahasibu,jeshi ,wahadhiri na nk.Fika Kigali siku moja au kutana na Mnyarwanda mmoja wa enzi hizo ukpue historia au mtafute Padre Karugendo maana yeye ndiye hivi sasa anaratibu taasisi ya urafiki wa Rwanda na Tanzania na hasa katika mkoa wa Kagera/Karagwe utajua jinsi Tanzania ilivyo jenga Rwanda.
 
Last edited by a moderator:
...wewe na marofa wenzako humu mnaokuja na Hima empire conspiracy ni wapuuzi wa hali ya juu and you have no idea what the hell u talkin about,the only thing you can do just open up,get some education,do some research sio kuja na story zenu zisizo na kichwa wala miguu,nyie watu hamna tofauti na wafuasi wa sheikh Ponda wanaoenda kuchoma makanisa ya watu/kukataa sensa,same shit waliyoambiwa interahamwe waka commit genocide nahisi is the case here....soma utakavyo Kagame is better and Rwanda is doing fine na wananchi wake appreciate that sio hao mafala wenzenu waliojicha misituni Congo and FYI watachapwa mpaka wasalimu amri

Mkuu Koba "wewe ulimbwa kandi urimperetsi" najua unajua namaanisha nini maana wewe ni Hima Empire lakini haina haja ya kupungana na kutukanana. The fact is usichezeee mzungu anakutumia kama kondom maana ukishapiga bao kazi yake kwisha.So kwa kuwa nyie watutsi mnaifanya DRC isitawalike kwa manufaa ya nchi za magharibi zinazochuma mali ya DRC sasa siku mkiyumbishwa tu siasa wazngu watawamwaga na kitakachofuata ni kuwekewa vikwazo na hiyo ndo itakuwa bye bye Rwanda
 
Mkuu Koba "wewe ulimbwa kandi urimperetsi" najua unajua namaanisha nini maana wewe ni Hima Empire lakini haina haja ya kupungana na kutukanana. The fact is usichezeee mzungu anakutumia kama kondom maana ukishapiga bao kazi yake kwisha.So kwa kuwa nyie watutsi mnaifanya DRC isitawalike kwa manufaa ya nchi za magharibi zinazochuma mali ya DRC sasa siku mkiyumbishwa tu siasa wazngu watawamwaga na kitakachofuata ni kuwekewa vikwazo na hiyo ndo itakuwa bye bye Rwanda

Hahahahaha Koba na wewe jibu sasa usilete maneno yako ya ajabu mara garbage oooh Rwanda is doing fine with Kagame, mara ooooh sijui do the research yote hayo maneno ya mkosaji maana ukweli unaujua mwenyewe kuwa tutsi lead by Kagame is a murderer period
 
Back
Top Bottom