Mkasa wangu

Mtoa mada anasimamia usalama wa kura Arusha.
 
Hii tabia ya episodes mods muiangalie ikiwezekana wote wenye tabia hii wapigwe burn
 
Naomba rukhsa kwa wana jf, kama hamto jali nifanye muendelezo?
 
Kwakuwa mleta mada hakuweza kuchaji simu toka jana na kuufanya uzi huu kukosa hitimisho, mi naona kila mwwnye uwezo amalizie sehemu iliyobaki afu tutachangia mwishoni!
 
Kwakuwa mleta mada hakuweza kuchaji simu toka jana na kuufanya uzi huu kukosa hitimisho, mi naona kila mwwnye uwezo amalizie sehemu iliyobaki afu tutachangia mwishoni!

Hahahahhahhaaaaaaaaaaaaa
 
hapa sioni cha kukulaumu. Mm nimepita chuo najua hali halisi,
wanasema kama hautakua strong nani atakua strong badala yako?
 
Huu ujinga huu. Hujaombwa keleta mastor yako halafu unasimulia nusunusu inamaana toka jana hadi leo bado simu imekata moto?

Ndio maana ulikuwa unapikishwa na mwanamke.
 
Huyu jamaa apigwe ban maana anacheza na hasira za watu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…