Andre-Pierre
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 328
- 1,209
Baada ya Marcelo kwenda Real Madrid walikutana pale na Mbrazil mwenzake Ribson Robinho aliyekuwa star wa timu.
Marcelo akiwa ananyoa kipindi hiko akajijuta anafanana sana na Robinho kiasi cha baadhi ya mashabiki kushindwa kuwatofautisha mpaka waangalie namba za jezi.
Marcelo akaona isiwe tabu, akaanza kufuga nywele ili tu ajitofautishe na Robinho, bahati mbaya walicheza msimu mmoja tu kabla ya Robinho kutimkia zake Man City ambapo huko nako upepo haukumuendea vizuri.
Marcelo akiwa ananyoa kipindi hiko akajijuta anafanana sana na Robinho kiasi cha baadhi ya mashabiki kushindwa kuwatofautisha mpaka waangalie namba za jezi.
Marcelo akaona isiwe tabu, akaanza kufuga nywele ili tu ajitofautishe na Robinho, bahati mbaya walicheza msimu mmoja tu kabla ya Robinho kutimkia zake Man City ambapo huko nako upepo haukumuendea vizuri.