ILA mimi nina kinyongo na baadhi ya watu hapa JF mwanzoni nilijua sote ni ndugu ndo mna huwa hata kama mtu una tatizo unakuja hapa unashauriwa na hatimaye unasolve tatizo
HILI JAMBO lililomkuta DOGO na wengine kuanza kuandika yao si mageni na yalinikuta binasfi na nilijuta kama itatokea siku yoyote nikwame sehemu iwe safarini au kibinadamu nije kuelezea hapa eti watasaidia wapo wenye mioyo yao lakini kuna viatu pia.IMAGIN umejielezea sana na upo katikati ya shida unaomba msaada mtu anaanza kukujudge mwandiko kwa nini kwenye r umeweka l utakuwa mwongo wewe.....AISEEEE! This if Jf of now DAYS! FULL OF WONDERS AND HEARTLESS PEOPLE!
View attachment 169337
Nimejaribu kuzoom kidogo picha yako kijana, kweli unaonekana una mawazo,pole sana!
View attachment 169338
Hapa ni enzi zile uko kwa mjomba shinyanga?
View attachment 169339
Pole sana, mungu atakusaidia
View attachment 169340
Naona na kabibiem, mambo ya mawasiliano muhimu.
View attachment 169341
Hapa naona kasalio ulikuwa unakatamani ukaona utupiemo hata kapicha.
View attachment 169342
Ih, hapo ulinena ukweli tupu, fuata ujumbe huu.
Tatizo watz hatuaminiki. Ni ngumu kutofautisha tapeli na muhitaji wa ukweli.
FAFANUA HIZI Picha na mhusika inakuwaje na hizo pesa hapo chini!
Huyo ndiyo kijana wetu Mbaga Michael anayeomba msaada!
keshajibu na yule mtu aliyeko DODOMA ameshamwambia waonane na ampigie simu...pengine muda huu au kesho mipango ya shule au chochote inafanyika...ila kuna watu humu JF hawapaswi kuwepo...wamekuwa ni vikwazo sana kwa wengine...sijui ni kwa nini...eti mtu unamtuhumu unaombwa kuthibitisha hutaki...sasa si ungekaa kimya!some time you have to behave like mature person!
Huyu Mbaga ni tapeli kwanini hamtaki kuelewa,au hadi muibiwe ndio mtaamini
Nyangema mpigaji..anacheza na akili za watu
Anae mtetea huyo kijana ana upungufu wa upeo ngoja tuone..huo mpangilio wa mane no tu ni wa kitapeli kama vipi aliye Dodoma afuatilie ada tulipe shule moja kwa moja