Mkasa wa kusikitisha Dodoma: Msaidizi wa kazi anyanyaswa na mwajiri wake, mtoto wake mchanga afungiwa ndani ya kabati kwa miezi 6

tujifunze kusikiliza na upande wa pili, na pia kuiachia mahakama kazi ya kutoa hukumu kwa mujibu wa sheria, hii tabia ya watanzania kujichukulia sheria mkononi ndio imepelea nchi kuzalisha rais ambaye anaona katiba na sheria vinamchelewesha na anaagiza polisi wanaovunja sheria na kufanya uharifu dhidi ya binadamu wapandishwe vyeo!! akili kama hizi zinaanzia huko mitaani na haziibukii tu ikulu kwa bahati mbaya.
 
Hiyo ndo dawa kwa mijitu yenye roho mbaya Kama huyo mwalimu.
 
Embu tupatie story ya upande wa pili ili story I balance.
 
Kweli mkuu,umeona mbaali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashauri akitoka huko ahame Jiji na sijui ni mji gani watampokea labda arudi kijijini kwao
 
Mwajili wake inabidi amchukulie hatua. Wazazi wanajiuliza watoto wao wako katika hali gani huko shuleni
 
Kweli kuna watu wana roho ngumu aisee, hapo si ajabu hata hiyo mimba aliipata kwa kubaka.
Najaribu kuvaa uhusika wa huyo dada, nashindwa kbs kupata picha ya alivyokuwa akjisikia wkt anasikia mtoto wake analia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwalimu ni huyo hapo Mayasa?? Liangalie kwanza...! Ukute hiyo mimba ni ya mtoto wake ama mdogo wake anayeishi naye ndio maana alitaka kupotezea..!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…