Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,371
- 6,881
- Thread starter
- #1,841
KUHUSIANA NA HUYU MTU KIONGOZI WA WATOTO (KWT)
Kwa kipindi kirefu mno sasa, KWT hajawahi kusimama madhabahuni kwa ajli ya kutoa ujumbe wa neno la Mungu kwenye Ibada kuu siku za J2, ni kuanzia tangu kipindi kile waumini wa Kanisa A walipoanza kuabudu kwenye nyumba mpya hiyo ya Ibada tarehe 25/12/2021
Kwa hiyo kwa miaka miwili kamili sasa KWT hajawahi kusimama madhabahuni kufundisha neno la Mungu na hivyo hajawahi kutumika hata mara moja kwenye Madhabahu ya sasa kwa Ibada za siku za J2
Mbali na huyu, Kiongozi JUNIOR (tumwite KJ-1) ambaye lilitolewa tangazo la ghafla la kuhamishwa kwake kwenda Kanisa jingine J2 iliyopita, naye pia hapo kabla, alikuwa hajawahi kusimama hata mara moja madhabahuni kwa Ibada za J2, isipokuwa kwa J2 za hivi karibuni tu, ndani ya mwaka huu wa 2023
KM-A AMEKUWA AMEBUNI UTARATIBU WA BACKUP TEAM YA VIONGOZI KWA KUHAKIKISHA SI KILA KIONGOZI ANASIMAMA MADHABAHUNI MARA KWA MARA
Lengo la mkakati huu ni kuhakikisha kuwa kuna RESERVE TEAM ya kutosha ya viongozi ambao wanaweza kupanda juu madhabahuni, siku ikitokea mambo yamewaendea kombo; baadhi ya wale ambao huwa wanapanda juu madhabahuni mara kwa mara, hasa akiwemo yeye mwenyewe KM-A
Kutokana na ukweli huu, kwa siku za hivi karibuni, matangazo kutoka Ofisi ya Wazee yaliyokuwa yanajitegemea, yameunganishwa na matangazo ya mengine ili kuhakikisha kuwa Wazee wa Kanisa hawasimami madhabahuni mara kwa mara, na hivyo kupelekea kuwa na RESERVE YA VIONGOZI WA KUTOSHA WANAOWEZA KU-SAVE JAHAZI SIKU MAMBO YANAPOKUWA YAMEHARIBIKA
Kwa hiyo kwa sasa KM-A amebuni mtindo wa kuwa anawatumia wale ambao hawajawahi kusimama madhabahuni kabisa, au wale ambao waliwahi lakini wakawa wamepitisha muda mrefu pasipo kusimama madhabahuni, akiwemo Kiongozi JUNIOR (tumwite KJ-2) ambaye kwa wakati huu anaendelea kufundisha somo kwa wiki kadhaa sasa
Mara ya mwisho KJ-2 alisimama madhabhuni mwaka jana (2022) na baada ya hapo, ndani ya mwaka huu tulionao wa 2023, KJ-2 alikuwa hajawahi kusimama tena madhabahuni hata mara moja
Kwa hiyo tangazo la GHAFULA la KJ-1 kuhamishiwa kwenye Kanisa jingine, lilikuwa ni kava tu ya kitu kingine ambacho KM-A alikuwa nacho kichwani, na uhusiano kati ya tangazo hili na yale yaliyotokea J2 hiyo, mhusika atakuja kuutolea ufafanuzi zaidi hapo baadaye
Kwa hiyo kwa sasa, mojawapo ya RESERVE MUHIMU SANA ZA KM-A KANISANI HAPO NI HUYU KIONGOZI WA WATOTO (KWT)
KUHUSIANA NA KILE ALICHOONGEA KINARA WA MATANGAZO (KWM) BAADA YA KUWA AMEKARIBISHWA NA KM-A JUU MADHABAHUNI
Baada ya kupandisha juu madhabahuni, kile alichoongea KWM kilikuwa kwenye mfumo sawia kabisa na kile alichoongea Kiongozi wa watoto (KWT), tofauti yake ikiwa ni kwenye maudhui tu
Mbali na na tofauti hiyo, ni kwamba KWT yeye alipandisha juu madhabahuni kwa ajili ya ku-RELEASE ENERGY na ndiyo maana alitangulia, ilhali wengine wote waliofauta baada ya yeye, walipandisha juu kwa ajili yak ku-ABSORB ENERGY ILIYOKUWA RELEASED NA KWT
Ndiyo maana KWT aliyakatisha matangazo ya Kiongozi wa Zamu (KWZ), kwa ajili ya kuiweka madhabahu sawa ili wale walitarajiwa kupadisha juu madhabahuni baada ya yeye akiwemo KM-A, WAWEZE KUPOKEA
POKEA,… !!!POKEA…..!!!!
KWM safari hii naye pia hakuwa alipandisha juu akiwa hana kitu, na baada ya kupandisha, alipokea na kum-PASSIA na mwenzake aliyeko kule DODOMA, kwenye nyumba ya Ibada ambayo KWM alikuwa akiabudu alipokuwa yupo safari
………..inaendelea
Kwa kipindi kirefu mno sasa, KWT hajawahi kusimama madhabahuni kwa ajli ya kutoa ujumbe wa neno la Mungu kwenye Ibada kuu siku za J2, ni kuanzia tangu kipindi kile waumini wa Kanisa A walipoanza kuabudu kwenye nyumba mpya hiyo ya Ibada tarehe 25/12/2021
Kwa hiyo kwa miaka miwili kamili sasa KWT hajawahi kusimama madhabahuni kufundisha neno la Mungu na hivyo hajawahi kutumika hata mara moja kwenye Madhabahu ya sasa kwa Ibada za siku za J2
Mbali na huyu, Kiongozi JUNIOR (tumwite KJ-1) ambaye lilitolewa tangazo la ghafla la kuhamishwa kwake kwenda Kanisa jingine J2 iliyopita, naye pia hapo kabla, alikuwa hajawahi kusimama hata mara moja madhabahuni kwa Ibada za J2, isipokuwa kwa J2 za hivi karibuni tu, ndani ya mwaka huu wa 2023
KM-A AMEKUWA AMEBUNI UTARATIBU WA BACKUP TEAM YA VIONGOZI KWA KUHAKIKISHA SI KILA KIONGOZI ANASIMAMA MADHABAHUNI MARA KWA MARA
Lengo la mkakati huu ni kuhakikisha kuwa kuna RESERVE TEAM ya kutosha ya viongozi ambao wanaweza kupanda juu madhabahuni, siku ikitokea mambo yamewaendea kombo; baadhi ya wale ambao huwa wanapanda juu madhabahuni mara kwa mara, hasa akiwemo yeye mwenyewe KM-A
Kutokana na ukweli huu, kwa siku za hivi karibuni, matangazo kutoka Ofisi ya Wazee yaliyokuwa yanajitegemea, yameunganishwa na matangazo ya mengine ili kuhakikisha kuwa Wazee wa Kanisa hawasimami madhabahuni mara kwa mara, na hivyo kupelekea kuwa na RESERVE YA VIONGOZI WA KUTOSHA WANAOWEZA KU-SAVE JAHAZI SIKU MAMBO YANAPOKUWA YAMEHARIBIKA
Kwa hiyo kwa sasa KM-A amebuni mtindo wa kuwa anawatumia wale ambao hawajawahi kusimama madhabahuni kabisa, au wale ambao waliwahi lakini wakawa wamepitisha muda mrefu pasipo kusimama madhabahuni, akiwemo Kiongozi JUNIOR (tumwite KJ-2) ambaye kwa wakati huu anaendelea kufundisha somo kwa wiki kadhaa sasa
Mara ya mwisho KJ-2 alisimama madhabhuni mwaka jana (2022) na baada ya hapo, ndani ya mwaka huu tulionao wa 2023, KJ-2 alikuwa hajawahi kusimama tena madhabahuni hata mara moja
Kwa hiyo tangazo la GHAFULA la KJ-1 kuhamishiwa kwenye Kanisa jingine, lilikuwa ni kava tu ya kitu kingine ambacho KM-A alikuwa nacho kichwani, na uhusiano kati ya tangazo hili na yale yaliyotokea J2 hiyo, mhusika atakuja kuutolea ufafanuzi zaidi hapo baadaye
Kwa hiyo kwa sasa, mojawapo ya RESERVE MUHIMU SANA ZA KM-A KANISANI HAPO NI HUYU KIONGOZI WA WATOTO (KWT)
KUHUSIANA NA KILE ALICHOONGEA KINARA WA MATANGAZO (KWM) BAADA YA KUWA AMEKARIBISHWA NA KM-A JUU MADHABAHUNI
Baada ya kupandisha juu madhabahuni, kile alichoongea KWM kilikuwa kwenye mfumo sawia kabisa na kile alichoongea Kiongozi wa watoto (KWT), tofauti yake ikiwa ni kwenye maudhui tu
Mbali na na tofauti hiyo, ni kwamba KWT yeye alipandisha juu madhabahuni kwa ajili ya ku-RELEASE ENERGY na ndiyo maana alitangulia, ilhali wengine wote waliofauta baada ya yeye, walipandisha juu kwa ajili yak ku-ABSORB ENERGY ILIYOKUWA RELEASED NA KWT
Ndiyo maana KWT aliyakatisha matangazo ya Kiongozi wa Zamu (KWZ), kwa ajili ya kuiweka madhabahu sawa ili wale walitarajiwa kupadisha juu madhabahuni baada ya yeye akiwemo KM-A, WAWEZE KUPOKEA
POKEA,… !!!POKEA…..!!!!
KWM safari hii naye pia hakuwa alipandisha juu akiwa hana kitu, na baada ya kupandisha, alipokea na kum-PASSIA na mwenzake aliyeko kule DODOMA, kwenye nyumba ya Ibada ambayo KWM alikuwa akiabudu alipokuwa yupo safari
………..inaendelea