#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE: TUESDAY, 16TH JANUARY 2024

MHUSIKA AKOSWA KOSWA KWENYE “MAP” YA KUTAKA KUSABABISHWA AMSHUSHIE TUHUMA NZITO MR X, KWA TUKIO AMBALO LILIKUWA NI HEWA


Siku ya jana J3 ya tarehe 15/01/2024, mhusika alikoswa koswa kwenye mtego wa kumshushia tuhuma nzito MR X; tuhuma ambazo mpaka muda huu amejiridhisha kuwa tukio lake halikutokea na hivyo ulikuwa ni “mchoro”

Tukio hilo lilisukwa na watu watatu, assuming MR X mwenyewe hakuwa amehusika kwenye kuusuka mchoro huo

Waliosuka mchoro huo ni OM-1, OM-2 na binti anayefanya kazi kwenye maabara ya MR X

Kilichotokea ni kwamba mhusika alitoka ofisini na baada ya kurudi, watu hawa walimpa kumpa taarifa za tukio la uongo huku wakimweleza kuwa aliyepelekea tukio hilo kutokea ila pasipo kudhamiria ni MR X; tukio ambalo details zake zilikuwa ni za uongo

ASSUMING MHUSIKA ANGEAMINI KUWA TUKIO HILO LILITOKEA NA HIVYO KUPELEKEA KUMTUHUMU MR X, ILHALI HALIKUWA LIMETOKEA

Assuming mhusika angeweza kuingia kwenye mtego na hatimaye kushusha tuhuma za tukio hilo la uongo kwa MR X,; baada ya tuhuma hizo kuwa verified kuwa si za kweli bali mhusika anamsingizia MR X; kama MR X angeaamua kutokuwa mwaminifu kwa mhusika baada ya tuhuma hizo za uongo, naye vilevile angeweza kumtuhumu chochote cha uongo mhusika na watu wasingepata shida yoyote kukiamini

Taarifa za tukio lenyewe zitawajieni baadaye

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY, 17TH JANUARY 2024

VIDEO SIGNAL
YA KWENYE TV YA MHUSIKA HATIMAYE ILIRUDI JANA JIONI J4


Kama ambavyo amewahi kueleza mhusika kwenye siku za hivi karibuni, video signal ya kwenye TV ya mhusika ilipotea siku ya Jumamosi ya tarehe 06/01/2024 na ilirudi tena jana J4 ya tarehe 16/01/2024

Mhusika anaendelea kufanya utafiti kujua ni nini kilisababisha kurudi kwa signal hiyo

Ikumbukwe kuwa siku signal hiyo inatoweka, ilikusudiwa kum-trigger mhusika kuwa scared kuwepo mazingira ya ndani nyumbani kwake na hivyo siku hiyo alilazimika kwenda Mwenge

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY, 19TH JANUARY 2024

BAADHI TU YA YALE MUHIMU YALIYODHIHIRKA MUDA HUU KUTOKANA NA MATUKIO YALIWAHI KUTOKEA NYUMA HVI KARIBUNI

KILE AMBACHO KILIKUWA EXATCLY KINATOKEA KWENYE MATUKIO HUSIKA AMBAYO MHUSIKA ALIWAHI KUYALETA HUMU SIKU ZA HIVI KARIBUNI

KUNA PEPO AMBAYE AMEKUWA AKIENDELEA KURUSHWA KWENYE “LOCATION” NDANI YA MAZINGIRA YA TAASISI, PURPOTEDLY KWA KUTUMIA WATU KUTOKA NJE YA TAASIS


Mojawapo ya matukio hayo ni kama haya yafuatayo

MOSI: Matukio ya wanafunzi kuletwa karibu na chumba cha Microscopes kwa ajili ya kipindi halafu baada ya kuwa wamekaa pale kwa takribani dakika 10, wanaletewa taarifa mpya kwamba kipindi kimeahirishwa

PILI:
Matukio yote yaliyoonyesha kuwa OM-2 alikuwa anakwepana na wanafunzi, kwa namna ambayo wanafunzi wanapokuwa wamekuja karibu na chumba cha microscopes au wanapokuwa wapo kwenye chumba cha microscopes, OM-2 anakuwa hayupo ofisini halafu wanafunzi wanapoondoka, OM-2 anarudi ofisini

Baadhi ya matukio haya yapo kwenye posts hizi hapa: #1,779 , #1,777 , #1,756 , #1,709

KILE KINACHOFANYIKA WANAFUNZI WANAPOKUWA WAMELETWA JIRANI NA CHUMBA CHA MICROSCOPE

UWEZEKANO MKUBWA NI KWAMBA WATU WAGENI AMBAO SI WANAFUNZI WA TAASISI WANAOKUWA WAMETOKA KWENYE “LOCATION ILIYO NJE YA MAZINGIRA YA TAASISI”, HUWA WANAKUJA NA KUJICHANGANYA NA WANAFUNZI HAO KWENYE CHUMBA CHA MICROSCOPES

Kuna sura ngeni za wanafunzi ambao mhusika amewahi kuwaona kwenye zile sessions za madarasa yake ya mwishoni mwa mwaka jana tu alipokuwa anafundisha SOIL MECHANICS.

Baada ya hapo mhusika, hajawahi kuwaona tena wanafunzi hao wakiwa wanatoka au kuingia kwenye madarasa mengine isipokuwa tu yale yanayofanyikia kwenye chumba cha Microscopes


Kama hypothesis ya mhusika itakuwa iko sahihi, mmojawapo wa wageni wanafunzi hao anaweza kuwa ni yule ambaye aliwahi kujitokeza darasani kama mwakilishi wa wanafunzi siku mhusika alipokuwa ameenda kutambulishwa na mwalimu mwenzake kwenye darasa la wanafunzi wa DOIL MECHANICS

Siku hiyo, mhusika na mwakilishi huyo walikubaliana waonane ofisini kwake mhusika lakini mwakilishi huyu hakuonekana tena isipokuwa alianza kuonekana kwenye korido tu

Baada ya mhusika kuanza kufundisha SOIL MECHANICS, mwakilishi huyu hakuonekana darasani na mhusika alipouliza alijibu kuwa mwakilishi huyu aliamua kui-drop course hiyo kwa sababu kwake ili kuwa siyo core

Huyu mwakilishi mhusika alimkuta darasani kwenye siku ile ya kwanza ambayo mhusika alienda kutambulishwa na mwalimu mwenzake kwa wanafunzi wanaosoma SOIL MECHANICS

Kwa hiyo hypothesis aloyonayo mhusika kwa sasa ni kuwa kuna watu wanaotoka nje ya Taasisi na kuja kujichanganya na wanafunzi, kwa ajili ya kurusha pepo kwenye LOCATION

Hiki kitu kimekuwa kikifanyika kwenye siku zile ambazo OM-2 amekuwa akipotea na kuonekana mara tu baada ya wanafunzi wanapokuwa wameondoka kwenye chumba cha microscopes

KILE KILICHOKUWA NYUMA YA SWALA LA BAADHI YA MADARASA YA MICROSCOPES YA WANAFUNZI HAO KUWAHI KUAHIRISHWA

Madarasa hayo yalikuwa yanaahirishwa kwa nia ya kuwakwepesha wale wasio wanafunzi ambao huwa wanakuja kujichanganaya na wanafunzi kwenye chumba cha MICROSPOES, kuendelea kuwepo kwenye chumba hicho kwa muda mrefu ili wasije wakakamatwa

TATU:
Matukio mengine ambayo yanafanana na haya ila hayakuhusisha wanafunzi, ni yalle ambayo OM-2 alipokuwa anakuwa hayupo ofisini, mtu huja na kumuulizia halafu baadaye ya hapo, OM-2 huonekana ofisini

OM-2 ni yule ambaye hakuwa amesafiri, wamekuwepo pamoja na mhusika muda wote

Mojawapo ya posts kuhusiana na events za namna hiyoi ni hii hapa #1,744 ; na kwenye nukuu inayoanza kwa kusema

Mwanzo wa kunukuu

………..“BINTI HUYU ALIPITA KUMUULIZIA OM-2 SIKU YA J4, NA KESHO YAKE J5 OM-2 ALIRUDI TENA OFISINI BAADA YA KUTOKUONEKANA KWA WIKI NZIMA”………….

Mwisho wa kunukuu

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUSIANA NA PLANS A AND B ZILIZOTAJWA KWENYE POST HII HAPA #1,881

Kulikuwa na PLAN C pia ambayo ilikuwa iwe executed J3 ya wiki hii ambayo maelezo yake yatawajieni baadaye

PLANS A na B zilikuwa na nia yak um-scare mhusika kuwepo mazingira ya ofisini akimbie na kwenda kufanyia kazi nyumbani

Baada ya plans hizi za awali kufeli, ndiyo ikaja sasa PLAN C ambayo ilikuwa na lengo la kuwa executed kwenye mazingira ya ofisini siku ya J3 ya wiki hii tarehe 15/01/2024

Wahusika wa plans hiz ni MR X, OM-1, OM-2 na binti anayefanya kazi kwenye maabara ya
MR X

Taarifa zaidi zitafuata baadaye

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MAELEZO YALIYOPO KWENYE POSTS HIZI #1,779 #1,780 , KUHUSIANA NA WANAFUNZI WALIOKUWA WANAKUSANYA PROJECTS ZAO OFISNI KWAO MHUSIKA MWISHONI MWA MWAKA ULIOPITA

Kwenye kundi hili la wanafunzi waliokuwa wanakusanya Projects zao ofisini kwao mhusika, angalau kuna mtu mmoja ambaye mpaka muda huu, mhusika ameshajiridhisha pasipo kuwa hakuwa mwanafunzi

Mtu huyu alikusanya project yake kwa mhusika, baada ya kuwa amepishana mara kadhaa na OM-2; ambaye ndiye alikuwa anazipokea

Vile vile ni mtu pekee ambaye project yake ilipokelewa na mhusika; wengine wote projects zao aidha zilipokelewa na OM-2 au na mtu mwingine na hatimaye kukabidhiwa kwa OM-2

Huyu mtu hakuwa mwanafunzi

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SUNDAY, 20TH JANUARY 2024
"VIDEO SIGNAL" YA TV YA MHUSIKA ILISHANYOFOLEWA TENA

MHUSIKA ANAPATA SHIDA KIDOGO SIGNAL HIYO INAPONYOFOLEWA KWA SABABU ANAPENDA SANA KUANGALIA DOCUMENTARIES

STILL, KWA UPANDE MWINGINE KITENDO HICHO KINAKUWA NI "BLESSINGS IN DISGUISE" KWAKE KWA SABABU KINAMWONGEZEA MUDA WA NYONGEZA WA KUFANYA MAOMBI NA PIA KUSOMA MAANDIKO MATAKATIFU BIBLIA AMBAO HAPO KABLA HAKUWAHI KUWA NAO MAISHA YAKE YOTE

KWA HIYO KWA SASA MUDA WA KUANGALIA DOCUMENTARY NI TRADE-OFF YA MAOMBI AND VICE VERSA

KWA KUMSAIDIA, ANAYENYOFOA VIDEO SIGNAL HIYO ANAIHUJUMU KAMBI YAKE MWENYEWE PASIPO KUJUA KUWA ANAIHUJUMU

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
TATU: BAADA YA TUKIO LA FLUIDS ZA J2 KANISANI KUPITA

J4 tarehe 09/01/2024 ndiyo ukafanyika utekelezaji wa PLAN A ya kum-scare mhusika kuwepo mazingira ya ofisini kwa kumtumia binti anayefanya kazi kwenye maabara ya MRX

Kesho yake tena J5 tarehe 09/01/2024 likatekelezwa plan nyingine yenye lengo hilo hilo, safari hii kwa kutumia vifaa vya electronics vilivyoletwa ofisini kwao mhusika kwa ajili ya kuchajiwa, na wahusika wakuu tukio hilo walikuwa ni OM-1 na MWG

Maelezo ya kina ya plans zote hizi mbili tayari yapo kwenye posts zilizopo hapo juu

MATUKIO BAADA TA PLANS A NA B KUWA ZIMEPITA

NNE UPEPO WA TAIR ZA GARI LA MHUSIKA KUPUNGUZWA
ALHAMIS YA TAREHE 11/01/2024, GARI LIKIWA LIMEPAKI OFISINI

Alhamis ya tarehe 11/01/2024, akiwa maeneo ya ofisini, mhusika alilazimika kwenda kupaki kwenye parking zilizopo kwenye jengo la CHAMA CHA WAFANYAKAZI, baada ya kukuta parking za kwenye jengo la ofisi yake zimejaa

Mara ya mwisho mhusika alipaki kwenye parking zilizo nje ya jengo la ofisi yake ilikuwa possibly mwaka jana kabla ya July 2023, na baada ya hapo, amekuwa akitumia parking za kwenye jengo la ofisi yake siku zote hadi ilipowadia Alhamis hiyo ya tarehe 11/01/2024

Gari nyingine aliyoikuta ikiwa imepaki kwenye parking hizo siku hiyo ilikuwa ni ya SMKE, ila mhusika hakupaki jirani na gari hiyo kwa sababu parking zilikuwepo za kutosha

Jioni hiyo wakati mhusika anataka kuondoka ofisini kurudi nyumbani, alikuta UPEPO WA MATARI hasa yale ya nyuma, umepunguzwa sana. UPEPO NI FLUID PIA

Kutokana na hali hiyo, mhusika aliondoka ofisini siku hiyo na kupitiliza moja kwa moja kwenda kujaza FLUID hiyo kwenye SHELL iliyopo karibu na maeneo ya Mwenge Mpakani

TANO: J2 YA TAREHE 14/01/2024 MHUSIKA ALIPOKUWA YUPO KANISANI

Kama ilivyo kawaida yake, J2 hiyo, mhusika alihudhuria Ibada ya pili

Mhusika aliwahi na kukuta Ibada ya kwanza bado inaendelea, ila ilikuwa mwisho kwenye matangazo

Akiwa yupo amesimama nyuma ya lango kuu la kuingilia kanisani, alimuona MR X akiwa anatokea sehemu ambayo ilionekana kuwa washrooms

Mhusika na MR X walisalimiana hapo mlangoni na hatimaye MR X kuingia tena ndani Kanisani kwenda kuhitimisha muamala wa Ibada ya kwanza aliyokuwa amehudhuria J2 hiyo

BAADA YA DAKIKA KADHAA KUPITA, KM-A ALITOA TANGAZO LA GHAFLA UHAMISHO WA KIONGOZI AMBAYE ALIHITAJI KULIAGA KANISA

KIONGOZI HUYO ALIHITAJI PIA KUTOA SADAKA YA SHUKRANI KWENYE IBADA HIYO YA KWANZA


Baada ya Sadaka ya Shukrani kutangazwa, mhusika aliamua kushiriki kwenye sadaka hiyo

WAKATI MHUSIKA ANAELEKEA MBELE KWA AJILI YA KWENDA KUTOA SADAKA YA SHUKRANI

Kule mbele kwenye viti vya pembezoni kabisa jirani na PATHWAYS, aliwakuta MR X na MRS X wakiwa wamekaa pamoja, huku MRS X akiwa amekaa kiti cha pembezoni kabisa, akifuatiwa na MR X

Hapo mhusika alimgusa MRS X peke yake begani kama ishara ya kumsalimia, na kumwacha MR X kwa sababu mhusika na MR X walikuwa tayari wameshasalimiana

Kwa muumini mwingine ambaye hakuwa amewaona MR X na mhusika wakisalimiana kule nyuma ya lango kuu la Kanisa, possibly angeweza kupata ishara kama ya mhusika kum-signal MRS X na si kumsalimia, possibly ili baadaye waonane na kuongea na kweli muda mfupi baadaye wawili hawa walionana na kuongea

TUKIRUDI NYUMA KIDOGO KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI KAMA MIEZI MIWILI ILIYOPITA


Mhusika aliwahi kumuuliza MR X kuhusiana na binti amabye kwa sasa haonekani tena mazingira ya Kanisani hapo

  • Kipindi alipokuwepo, binti huyu alikuwa anaonekana kuwa alikuwa ni swahiba wa karibu sana na MRS X na alikuwa hakosi kuwepo Kanisani kila J2
  • Baada ya mhusika kumkosa binti huyu, siku moja wakiwa wapo ofisini, mhusika alijaribu kumuuliza MR X kuwa binti huyo alienda wapi kwa kudhani kuwa pengine MR X angeweza kujua kwa sababu alikuwa ni swahiba sana wa MRS X
Baada ya swali hilo, MR X alishindwa kumtambua binti huyo, na maongezi yao yaliishia hapo, huku mhusika akiwa na nia ya kumuuliza MRS X siku atakapofanikiwa kuonana naye

TANGU SIKU MHUSIKA ALIPOMUULIZA SWALI MR X, MHUSIKA NA MRS X HAWAKUWAHI KUONANA TENA KANISANI HADI ILIPOFIKA J2 HIYO YA TAREHE 14/01/2024

J2 hiyo, baada ya mhusika kuingiza gari lake na kulipaki ndani ya uzio wa Kanisa yo huku Ibada ya pili ikiwa tayari imeanza, ndipo mhusika alipomuona tena MRS X kwa karibu wakiwa wapo nje ya nyumba ya Ibada, na kwa mara ya kwanza baada ya kipindi kirefu sana

Huyu MRS X ndiye ambaye dakika chache zilizokuwa zimepita, mhusika alionekana akim-signal kwenye bega ndani ya Kanisa wakati wa Sadaka ya Shukrani

Baada ya kumuona, mhusika alimfuata MRS X na kumuuliza huyo rafiki yake siku hizi yuko wapi ambapo MRS X alijibu kuwa wala hamkumbuki

Wakati huo Ibada ilikuwa imeanza na vyombo vya muziki vilikuwa vinapiga,

Baada ya kuachana na MRS X na hatimaye mhusika kuelekea ndani ya nyumba ya Ibada, ndiyo pale alipoweza kuuona mpangilio wa matukio kuanzia wakati ule aliposalimiana na MR X kabla ya Ibada ya kwanza kumalizika, wakati wa Sadaka ya Shukrani na hadi wakati alipoonana na kuongea na MRS X kwenye parking

KWA NINI MHUSIKA ALIKUWA ANA HAJA YA YA KUJUA HUYU BINTI SWAHIBA WA MRS X ALIENDA WAPI


Ni kwa sababu wakati mwingine walikuwa wakikutana na binti huyu, binti alikuwa anaweza akakwepa kusalimiana na mhusika bila sababu yoyote ya msingi, halafu baadaye tena tuseme mhusika alipokuwa anakuwa yupo maeneo ya nje kwenye parking anataka kutoa gari nje aliingize ndani ya uzio wa kanisa, binti huyu alikuwa akionekana maeneo hayo na kupita karibu na gari la mhusika huku akimpungia mhusika

Wakati wa Ibada vile vile, japo si kwa mara zote, binti huyu alikuwa anakaa maeneo jirani na mahali anapokaa mhusika

Haya ndiyo mambo pekee yaliyopelekea mhusika akawa anatamani kujua binti huyu alienda wapi

……………………………inaendelea
 
MUDA MFUPI KABLA MHUSIKA HAJAMFUATA MRS X; ALIPOKUWA ANAWEKA GARI LAKE VIZURI KWENYE PARKING

Kulikuwa na gari nyingine ambayo ilikuwa imechelewa kutoka nje ya uzio wa Kanisa na hivyo gari hiyo iliweza kum-obstruct mhusika wakati alipokuwa anatka kupaki gari lake

  • Gari hiyo ilifanya hivyo wakati ilipokuwa inarudi kinyume nyume, ikiwa inataka kutoka nje ya uzio wa Kanisa, huku mhusika naye akiwa anataka kuweka vizuri gari lake kwenye parking
  • Hapo kiongozi aliyekuwa anaongoza magari, alilazimika kuiomba gari hiyo iende mbele kwanza ili iweze kumpa nafasi mhusika aweke gari lake vizuri kwenye parking
MHUSIKA ALIPATA NAFASI NYINGINE YA KUIONA FLUID KWENYE TAA ZA NYUMA ZA GARI HILO

Taa za nyuma za gari hilo kwa ndani zimetengenezwa zikiwa na FLUID, na mbayo mhusika alilazimika kuiona, baada ya gari hilo kuwa limemu-obstruct

Gari hilo ni lile jeupe linalofana EXACTLY na la KM-A, ambalo mmiliki wake pia ni staff-mate wa mhusika, na ambaye ndiye kiongozi aliyewahi kuhusika kanisani hapo kutoa tangazo la waumini kushiriki mbaraka wa ukarabati wa WASHROOMS; kule ambako J2 iliyokuwa imepita, mhusika alikuwa amekutana tena na FLUIDS zingine zikiwa zinadhaniwa kuwa zilikuwa ni haja ndogo za watoto wadogo

TKIRUDI NYUMA TENA KIDOGO KWENYE PLANS A NA B ZA OFISINI ZA TAREHE 09 NA 10 JANUARY 2023

Kwenye kona moja ya ofisi karibu na kiti na meza ambavyo OM-1 huwa anatumia, kuna chombo cha kupima matetemeko ya ardhi kinachoitwa SEISMOMETER au SENSOR

Kwa ndani, chombo hiki kimtengenezwa kikiwa na FLUID pamoja na goroli (roller) moja kubwa kiasi ambyo huwa inakaa kwenye FLUID hiyo

Baada ya kutoka safari ya muda mrefu, Staff Mwenye Vituko (SMV) ambaye ofisi yake si ile wanayokaa mhusika na wenzake, alihamia kwa muda kwenye ofisi hii akiiacha ofisi yake na hivyo kuwa anatumia kiti kilichopo karibu na SENSOR hiyo

  • Hapo ilikuwa ni kabla ya maporomoko ya Kartesh kutokea, na SMV aliiendelea pia kukitumia kiti hicho kilichopo karibu na SEISMOMETER hiyo, muda mfupi baada ya maporomoko kuwa yametokea
  • Wakati huo OM-1 alikuwa bado yupo safari
  • OM-1 amerudi kutoka safari, wakipishana na SMV ambaye alikuwa amehamia kwenye kiti cha OM-1
Uwezekano mkubwa ni kwamba lkilichokuwa kimemvuta SMV kuhamia kwenye meza ya OM-1 wakati OM-1 alipokuwa yupo safari, ni ile SEISMOMETER yenye FLUID

Mbali na haya, kilichokuwa kinamvuta binti anayefanya kazi kwenye maabara ya MR X kuhamia ofisini kwao mhusika na kuja kukaa kwenye meza moja na OM-1, ni hiyo SEISMOMETER yenye FLUID

Na kwa kipindi cha hivi karibuni, mtu wa kwanza kabisa ambaye aliwahi kuonyesha dalili za kuvutiwa na SEISMOMETER yenye FLUID, ni Mnunuzi wa Gari (MWG)

Kwa hiyo EVENTS za J4 na J5 za tarehe 09 na 10/01/2024 zilizokuwa zimebeba PLANS A AND B, principle yake ilikuwa ina-operate kutokea kwenye SEISMOMETER yenye FLUID

SITA
: MADA KUU YA POST YENYEWE; PLAN C

HII NI PLAN AMBAYO ILIPANGWA KUFANYIKA J3 YA TAREHE 15/01/2024 BAADA YA PLANS A AND B KUWA ZIMEFEILI


Wahusika wa plan hii walikuwa ni OM-1, OM-2, binti anayefanya kazi kwenye maabara ya MR X, na possibly, MR X mwenyewe

Plan hii iliandaliwa kwa kubumiwa mpango wa tukio ambalo halikutokea, huku likiwa limebeba maudhui ambayo ingepelekea mhusika kumtuhumu MR X kwa tuhuma ambazo zisingekuwa ni za uongo au kutunga

KILE AMBACHO KINGEWEZA KUTOKEA KWENYE PLAN HIYO

Baada ya mhusika kuwa amemtuhumu MR X, plan hiyo ingetekelezwa na ingetekelezewa hapo hapo ofisini siku hiyo ya J3


Na kwa sababu MR X alikuwa yuko CLEAN, baada ya utelkelezaji wa Plan, ingeonekana kuwa aliyehusika na tukio hilo ni mhusika mwenyewe, isipokuwa alikuwa anamtuhumu tu MR X, possibly kwa sababu zake binafsi anazozijua mwenyewe

Watu wangeweza kusema hata kusema kuwa mhusika huwa ana mpango wa chini chini wa kumnyang’anya mali zake MR X na ndiyo maana mara nyingi mhusika huwa anakaa anamtuhumu MR X

Given tuhuma zile ambazo mhusika angekuwa tayari ameshazielekeza kwa MR X, na given kile kilichokuwa kimetokea Kanisani J2 ya tarehe 14/01/2024 kati ya MR X, MRS X na mhusika, watu wote wenye akili timamu, wasingweza kupata shida kuyaamini maneno namna hii

………………….ITAENDELEA.............................


In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
TAARIFA MUHIMU ZA LEO HII KUHUSIANA NA OM-1

MUDA WA BAADA YA SAA 10 SIKU YA LEO, OM-1 AMELETA TENA OFISINI VILE VIFAA VYAKE VYA ELECTRONICS KWA AJILI YA KUVICHAJI.
POSSIBLY HUWA VINACHAJIWA KILA BAADA YA WIKI MBILI

SEISMOMETER ILIYOKUWA KARIBU NA KITI CHAKE, MHUSIKA AMEIHAMISHA NA KUIWEKA KWENYE MOJAWAPO YA MAKABATI YALIYOMO HUMO OFISINI

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
BACK TO PLAN C ILIYOKUWA IMEPANGWA KUTEKELEZWA SIKU YA J3 YA TAREHE 15/01/2024 MAZINGIRA YA OFISINI

Kama alivyodokeza hapo kabla, wahusika wa plan hii walikuwa ni OM-1, OM-2 na binti ambaye huwa anafanya kazi kwenye maabara ya MR X (huyu tumwite BW-MRX)

ASUBUHI YA J3 HIYO WAKATI MHUSIKA ANAINGIA OFISINI

Baada ya kupaki gari, akiwa anaelekea ofisini, alikutana na staff mwingine ambaye naye aliwasili maeneo hayo ya parking muda huo huo, ila mhusika alikuwa amemtangulia kwa dakika kadhaa

Mojawapo za sifa UNIQUE za mtu huyu waliyekutana naye kwenye parking ni kwamba FIRST NAME yake inafanana na FIRST NAME ya MR X (huyu tumwite FN-MRX) na lugha yake ya kuzaliwa inafanana na lugha ya kuzaliwa ya mhusika

  • Baada ya kuonana FN-MRX walisalimiana na mhusika na hatimaye wote kuanza safari ya kuelekea ofisini wakitokea kwenye parking
  • Mikononi mwake, mojawapo ya vitu ambbavyo mhusika alikuwa amebebeba ni laptop ambayo haikuwa kwenye BEGI.
Baada ya BEGI la laptop kuwahi kumletea shida nyingi siku za nyuma anapokuwa amelitumia kwa siku za J3, hatimaye mhusika aliamua kubadilisha utaratibu na kuwa anabeba laptop bila kutumia begi ili watu waweze kuwa wanaona kile ambacho anakuwa amebeba

Kwa hiyo siku hiyo mhusika libeba laptop ambayo haikuwa kenye begi

FN-MRX yeye ofisi yake iko floor ya pili wakati ile ya mhusika iko floor ya kwanza.

Baada ya kuwa wamepandisha ngazi hadi kwenye sehemu ambayo walitakiwa waachane huyu akate kona ya kuingia floor ya kwanza na mwingine apandishe tena kwenye floor inayofuata, ghafla kwenye kona hiyo walikutana na watu wawili amabo walikuwa ni

  • Mnunuzi wa gari (MWG) akiwa ameambatana na mgeni wake, mgeni huyu akiwa ni:
  • Staff kutoka idara nyingine ambaye mojawapo ya majina yake, limefanana na FIRST NAME ya Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A)
Baada ya hapo, kile kilichotokea hapo ni pairs za watu hawa kusalimana tu hapo na hatimaye kila mmoja kuchukua route yake, hawakuongea kitu

Kwa hiyo hadi kufikia muda huo, watu watatu wakawa ni mashuhuda walioona kwa karibu kile ambacho mhusika allingia ofisini akiwa amebeba mkononi asubuhi ya siku hiyo

Hiyo EVENT ikapita

BAADA YA MUDA KUPITA MHUSIKA AKIWA YUPO PEKE YAKE OFISINI J3 HIYO

BW-MRX aliwasili tena ofisini hapo na kumkuta akiwa yupo peke yake, OM-1 na OM-2 walikuwa wametoka kidogo. Kawaida BW-MRX huwa anafika ofisini kwao mhusika kwa ajili ya kuonana na OM-1

Binti huyu aliamua kukaa akimsubiria OM-1 ambaye baada ya dakika kadhaa, alirudi ofisini na hivyo kuungana na mgeni wake BW-MRX

Baada ya muda kupita mhusika naye alitoka kidogo ofisini akiwaacha OM-1 na OM-2 wakiwa pamoja na mgeni

J3 HIYO BAADA YA MHUSIKA KURUDI OFISINI

Alimkuta OM-1 akiwa yupo peke yake, mgeni pamoja na OM-2 walikuwa wametoka

Zaidi ni kuwa BW-MRX alikuwa ameondoka huku akiwa amebeba LAPTOP YA OM-2, na pasipo kuwa ametoa taarifa kwa OM-2 kuwa aliondoka na LAPTOP hiyo

Muda si muda OM-2 naye alirudi tena ofisini na kukuta LAPTOP yake ikiwa haipo imeondoka na BW-MRX, na hapo ndipo taarifa za tukio lililohusiana na MR X zilipoanazia

TAARIFA ZILIZOTOLEWA NA OM-1 KUHISNA NA BW-MRX J3 HIYO

OM-1 alidai kuwa baada ya mhusika kuwa ametoka akiwaacha OM-1 na BW-MRX wakiwa wawili ofisini hapo, na kabla OM-2 hajarudi:

  • OM-1 naye alitoka ofisini na kumwacha BW-MRX, ambaye alikuwa ni mgeni ofisini hapo, akiwa yupo peke yake ofisini hapo
  • Baada ya BW-MRX kuwa amebaki peke yake, MR X alipiga simu kwa BW-MRX akiwa anamhitaji, na hivyo kupelekea BW-MRX kuondoka akiacha ofisi iko wazi kwa sababu hakuwa na funguo za ofisi hiyo
Siku hiyo ilikuwa ni siku ya tatu au ya nne, tangu BW-MRX aanze kuwa anatumia muda mrefu kwenye ofisi yao mhusika

Baada BW-MRX kuondoka na kuacha ofisi iko wazi, OM-1 alirudi na kukuta ofisi iko peke yake huku ikiwa wazi kwa sababu BW-MRX alikuwa bado hajarudi



Haya ndiyo yalikuwa ni maelezo ya OM-1 kuhusiana na tukio la J3 hiyo

KUHUSIANA NA TUHUMA JUU YA MR X

MR X ni mtu mzima na kama BW-MRX angemjulisha MR X kuwa alikuwa yupo mahali peke yake wenyeji wameondoka ofisini, MR X asingeweza kusababisha ofisi iya watu wengine Iachwe wazi kisa tu alikuwa anamhitaji BW-MRX

Uwezekano mkubwa hapa ni kwamba AIDHA ilikuwa ni uongo MR X hakuwahi kupiga simu ya kumhitaji BW-MRX, AU kama alipiga, basi BW-MRX hakuchukua hatua ile ya kumjulisha MR X kuwa alikuwa ameachwa kwenye ofisi ya watu wengine akiwa peke yake

Baada ya kusikia maelezo haya, mhusika alibaini kuwa tukio hili lilikuwa ni la kupangwa na kilichokuwa kinatafutwa hapa ni mhusika kubwabwaja maneno ya kumtuhumu MRX pamona na BW-MRX kuhusiana na tukio la ofisi hiyo kuachwa wazi, halafu baada ya hapo, watu wangefanya kazi kupitia maneno hayo KWA KUTUMIA SABABU KUU ZIFUATAZO

  • Asubuhi ya siku hiyo kulikuwa na mashahidi watatu ambao walimuona mhusika akiwa amebeba laptop mkononi, huku mmoja wa watu hao akiwa aliambatana naye kutokea kwenye parking hadi ndani ya jengo
  • Uwezekano mkubwa ni kwamba mashuhuda hawa wangeweza kusema kuwa asubuhi hiyo walimuona mhusika akiwa amebeba vitu mknoni ambavyo hawakufahamu vilikuwa nini
Watu hawa wangeweza kudai kuwa alichokuwa amebeba mkononi mhusika haikuwa LAPTOP kwa sababu kawaida LAPTOP huwa inabebwa kwenye begi

……………………………inaendelea
 
ASSUMING UNGETOKEA MGOGORO ULIOSABABSHWA NA BW-MRX KUACHA OFISI WAZI

Kama mgogoro ungetokea, moja kwa moja MR X angehusika

Huyu ndiye mwenza wake alionekana akiwa anaongea na mhusika jana yake J2 Kanisani wakiwa kwenye parking, baada ya mhusika kuwa amem-signal begani walipokuwa wapo ndani ya Kanisa


Mbali na hilo, binti amekuwa na mazoea ya kufika na kukaa ofisini wakiwa waili na mhusika, hata pale wenye ji wake wanapokuwa hawapo

Assuming technology nayo ingekuja kubainisha kuwa MR X hakuwahi kumpigia simu BW-MRX kwenye siku ya tukio; chances ni kwamba watu wasingepata shida kuamini kuwa mgogoro kati ya BW-MRX na mhusika hautokani na ofisi ya kuachwa wazi bali kuna kitu kingine nyuma ya pazia

Mgogoro huu ungekuwa linked na matukio yale ya Kanisani na watu wote wenye akili timamau wangeweza kuelewa kwa ufasaha

HITIMISHO

KUNA MPUMBAVU MMOJA KULE KANISANI KWAO MHUSIKA, BADO ANAPANGA MATUKIO KWA KU-TAKE ADVANTAGE YA MATUKIO YA IBADA

JUMAPILI YA TAREHE 17/12/2023 (MWAKA JANA MWISHONI), KULIKUWA NA IBADA YA NDOA KANISANI


Kwenye J2 hiyo mhusika alihudhuiria Ibada ya kwanza kwa sabau Ibada ya pili ilikuwa ni ya ndoa

Wakati wa matanagazo ya Ibada ya kwanza, hapakuwa na tangazo lolote la ndoa lililotolewa J2 hiyo, isipokuwa tu la kuagwa kwa Kiongozi Mtumishi wa Mungu ambaye alihamishiwa Katavi

Hata hivyo, kwenye J2 iliyofuata ya tarehe 24/01/2023, KM-A alisimama kutoa tangazo la ndoa iiliyokuwa inatarajiwa kufungwa tarehe 07/01/2024, huku akisema kuwa tangazo hilo lilikuwa ni la mara ya pili wakati wiki iliyokuwa imepita, hapakuwahi kuwa na tangazo la ndoa

Tiba sahihi ya huo ugonjwa uliopo kwenye kichwa cha KM-A ni hiyo Madhabahu ambayo huwa anaipanda na kuanza kuongea UPUMBAVU

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
AFTER SCHOCK YA EVENTS ZA PLANS A, B, NA C KAMA ZILIZOELEZEWWA HAPO JUU

After-shock EVENT hii ilitokea siku mbili baadaye, yaani J5 ya tarehe 17/01/2024 baada ya PLAN C kuwa imeshindwa ku-execute

Kuna upumbavu huu lifanyika tena ofisini J5 hiyo
  • Mhusika akawa yupo na OM-1 ofisini, OM-2 alikuwa tayari ameshatoka kitambo
  • Baada ya muda, OM-1 naye akatoka na hivyo mhusika kubaki peke yake ofisini
  • Baadaye tena mhusika naye alitoka akiwa anaelekea washroom na hivyo kufunga ofisi kwa sababu OM-1 na OM-2 walikuwa bado hawajarudi
Wakati mhusika anatoka na kufunga ofisi, kwa ufungo, kwenye kile chumba jirani cha MICROSCOPES, alikuwepo MR X akiwa na wanafunzi

Mhusika aliporudi ofisini, alikuta mlango uko wazi kama ambavyo huwa unakaa ziku zote wakati wanapokuwa wapo ofisini
  • Mhusika angeweza kusema kuwa alisahau kufunga ofisi kama mlango huo angeukuta umefungwa ila haujawa locked
  • Mlango ulikuwa wazi umefunguliwa kama ambavyo huwa unafunguliwa siku zote, na si kwamba ulifungwa halafu ukasahaulika kuwa locked kwa ufunguo, hapana haikuwa hivyo
Baada ya hapo, muda si muda, OM-1 alirudi na mhusika alipomweleza OM-1 kuwa allitoka na kufunga ofisi lakini aliporudi aliikuta iko wazi

OM-1 alidai kuwa tangu alipoondoka ofisini akimwacha mhusika yupo peke yake, yeye hakuwahi tena kurudi ofisini hapo

Kuna upumbavu mwingine wa kitoto sana ambao umeshaanza kufanyika kwa sasa

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA TUKIO LA J5 TAREHE 15/01/2024 (SIKU YA PLAN C)

Mara baada tu ya mhusika kuingia ofisini, MR X alihamia kwenye chumba cha MICROSCOPES

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA MATUKIO YA FLUIDS YALIYOELEZWA HAPO JUU

Battery
ambazo zimekuwa zikichajiwa na ambazo ziko kwenye chaji leo, nazo zina FLUIDS kwa sababu hata DRY BATTERY nazo pia huwa zina kiasi cha maji ndani

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUSIANA NA FUNGUO ZA OFISI AMBAZO MHUSIKA ALIWAHI KUPOTEZA AKIWA YUPO PEKE YAKE OFISINI:

Hadi kufikia muda huu, VERY STRONG EVIDENCE za utafiti wake mhusika kwa sasa zina-SUGGEST kwamba funguo zake zinaweza kuwa ziliibiwa na Mnunuzi wa Gari (MWG), aliyeingia na kutoka ofisini kwa mhusika kwa kunyata huku mhusika akiwa ameangalia uelekeo mwingine na hivyo mhusika kushindwa kumuona MWG

Siku ya tukio, MWG atakuwa alipata msaada kutoka kwa SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMKE); na utaalamu wa kile ambacho MWG alifanya, ni mapishi ya mfanyakazi aliyehamia kutoka Dodoma ambaye ni baba wa rafiki zake mhusika, possibly pamoja na KMWI

siku hiyo MWG na SMKE ndiyo watu pekee waliokuwepo kwenye floor ilipo ofisi ya mhusika

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY, 26TH JANUARY 2024

KUHUSIANA NA MADAI YA MASLAHI YAKE YA SIKU NYINGI OFISINI:

BAADA YA KUWA AMEONA PILIKA PILIKA ZA AKINA MR X OFISINI PAMOJA NA KANISANI NDANI YA WIKI HIZI CHACHE ZILIZOPITA, MHUSIKA ALIDHANI KUWA PENGINE MWEZI HUU ATAKUTA KITU CHOCHOTE KULE BENKI


Hizi pilika pilika za hvi karibuni ambazo zimekuwa zikiendelea hasa mazingira ya ofisini, zilipelekea akadhani tena kuwa pengine mwezi huu atakuta kuna kitu Benki

Hata hivyo, mhusika alifika tena Benki jana Alhmais ya tarehe 25/01/2023 na hakukuta chochote isipokuwa kwa mara ya kwanza, kuna mtu aliyekutana naye mazingira hayo ambaye alionyesha wazi kuwa alikuja pale kwa nia moja tu ya kuonana na mhusika

Mhusika hakuwa na mawasiliano na mtu huyo na mara ya mwisho walionana ilikuwa ni Mei 2019

Baada ya mtu huyu kuwa amemsubiria kwa muda mrefu sana maeneo ya ndani ya Benki, wakati mhusika anataka kutoka, mtu huyu alimfuata mhusika na kumuomba namba yake wa simu

  • Mhusika alimpatia mtu huyu namba ya simu kwa makubaliano kuwa na yeye am-bip mhusika ili naye aweze kuwa na namba ya simu yake
  • Mtu huyu aliondoka na namba ya simu ya mhusika na hajaweza kum-bip hadi muda huu
  • Ni mtu wa karibu na mhusika na wanafahamiana tangu mwaka 1990
Mbali na hayo, mtu huyu ni jamaa yao wa karibu pia Mkuu wa Idara Mstaafu wa 2006-2012 pamoja na Senior Mstaafu wa Kiume (SMME)

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY, 26TH JANUARY 2024

KUHUSIANA NA MADAI YA MASLAHI YAKE YA SIKU NYINGI OFISINI:

BAADA YA KUWA AMEONA PILIKA PILIKA ZA AKINA MR X OFISINI PAMOJA NA KANISANI NDANI YA WIKI HIZI CHACHE ZILIZOPITA, MHUSIKA ALIDHANI KUWA PENGINE MWEZI HUU ATAKUTA KITU CHOCHOTE KULE BENKI


Hizi pilika pilika za hvi karibuni ambazo zimekuwa zikiendelea hasa mazingira ya ofisini, zilipelekea akadhani tena kuwa pengine mwezi huu atakuta kuna kitu Benki

Hata hivyo, mhusika alifika tena Benki jana Alhmais ya tarehe 25/01/2023 na hakukuta chochote isipokuwa kwa mara ya kwanza, kuna mtu aliyekutana naye mazingira hayo ambaye alionyesha wazi kuwa alikuja pale kwa nia moja tu ya kuonana na mhusika

Mhusika hakuwa na mawasiliano na mtu huyo na mara ya mwisho walionana ilikuwa ni Mei 2019

Baada ya mtu huyu kuwa amemsubiria kwa muda mrefu sana maeneo ya ndani ya Benki, wakati mhusika anataka kutoka, mtu huyu alimfuata mhusika na kumuomba namba yake wa simu

  • Mhusika alimpatia mtu huyu namba ya simu kwa makubaliano kuwa na yeye am-bip mhusika ili naye aweze kuwa na namba ya simu yake
  • Mtu huyu aliondoka na namba ya simu ya mhusika na hajaweza kum-bip hadi muda huu
  • Ni mtu wa karibu na mhusika na wanafahamiana tangu mwaka 1990
Mbali na hayo, mtu huyu ni jamaa yao wa karibu pia Mkuu wa Idara Mstaafu wa 2006-2012 pamoja na Senior Mstaafu wa Kiume (SMME)

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUSIANA NA FUNGUO ZA OFISI AMBAZO MHUSIKA ALIWAHI KUPOTEZA AKIWA YUPO PEKE YAKE OFISINI:

Hadi kufikia muda huu, VERY STRONG EVIDENCE za utafiti wake mhusika kwa sasa zina-SUGGEST kwamba funguo zake zinaweza kuwa ziliibiwa na Mnunuzi wa Gari (MWG), aliyeingia na kutoka ofisini kwa mhusika kwa kunyata huku mhusika akiwa ameangalia uelekeo mwingine na hivyo mhusika kushindwa kumuona MWG

Siku ya tukio, MWG atakuwa alipata msaada kutoka kwa SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMKE); na utaalamu wa kile ambacho MWG alifanya, ni mapishi ya mfanyakazi aliyehamia kutoka Dodoma ambaye ni baba wa rafiki zake mhusika, possibly pamoja na KMWI

siku hiyo MWG na SMKE ndiyo watu pekee waliokuwepo kwenye floor ilipo ofisi ya mhusika

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Back
Top Bottom