Mkasa ulionikuta wikiendi hii

pole sana braza
 
UKIONA hivyo Mshukuru Mke wako, Siku zote anakuombea, nakushauri usijute hata kidogo na wala usimtafute huyo sista duuh! Mungu anaweza akawa amekuepusha na magonjwa ya Ngono, Tulia na Mkeo! Siku nyingine toka na Mkeo ukatembee naye mbali kabisa, Wanawake wanapenda sana kutoka out na wapendwa wao! Mshukuru Mkeo anakuombea and thus why imetokea vile.
 
Tatizo mnajifanyaga mnazo ndo maana mnapigwa pesa zenu ww mwanamke wa kumtangazia una pesa kwann asitumie kila njia ili apukutishe hizo hela zako, hapo unakuta mkeo alikuomba hela ukasema huna ndo laana zenyeww hizo
 
Huyu jamaa kweli boya na pesa hizi za magumashi unaanzaje kutoa tu bila kukubaliana?? Lazima uhakikishe yuko tayari kabla hujatumia gharama yoyote na huyo demu alimgundua mapema akaamua ngoja amkomeshe, kwanza hakukuwa na birthday wala nini na alipokuja na madem wenzake wala hakulitalifu lenyewe likajifanya linahela sana sasa ona linalia.
wavulana mnashida saana!
mwanaume hawezi vumilia mapuuza kama hayo, kwanza inaonekana hata hukumtarifu juu ya hilo swala lako we ukafikiri nikuvuta mkono tu pesa ziongee!

madomo zege wa Dar es salaam mnatuaibisha
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu akingia 18 zako kunywa hata sita maana vitatu havitosh
 
Ulitakiwa uwaachie bili mapema
 
Hahahaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…