Mkapa: Najuta

Akizungumzia ubinafsishaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) amesema, Mwalimu Nyerere aliona faida za ubinafsishaji na kwamba, aliona umuhimu wa kuibinafsisha benki hiyo.

Hapa heri angejifanya kasahau maneno mengine, make hili lilizua jambo.
 
Viongozi wa ccm ambao hawamuogopi Mungu wanawezaje kutukejeli kwa kujifanya wanaomba msamaha ?
 
Laana hii itamtafuna sana tu mbona
 
Kwa hali ya nchi hii ilipofikia , kwa uminyaji huu wa haki za wananchi , naapa kwamba sitamsamehe mwanaccm yeyote nikiwa hai au mfu .
 
mimi kama mtanzania sitaki uniombe msamaha style hiyo. nataka vile vile ulivotumia nguvu na muda wako mwingi kuhakikisha anakuwepo huyu aliyopo sasa, umkalishe na umfundishe kusikiliza wataalamu na umuhimu wao katika maamuzi hasa yahusuyo maswala nyeti ya taifa. ukifanya hivo nitakusamehe..
 
Hata angeifilisi nchi yote tutamfanya nini?hii wanatuona kama mazoba ndo maana wako tayari kuiba kura ili chama chao kiwalinde
 
Mbona hakusema hayo siku alipokabidh ofic,pia msamaha huombwa kwa Mungu haswa kwa jambo la umma na c kwa watu huenda huu ukawa unafiki!uongo na dharua!mbona hakiri kuhusu mgodi wa kiwira?
 
Kwi kwi kwi kwi 'vidosho"
 
Mkapa kama hakujibinafsia Mali za umma na kufanya biashara lkuru.. wakati anatoka madarakani alitangaza alichovuna? anatembeleaga migodi ya dhahabu na makaa ya nawe Kiwira)???? leo ndo anajifanya mzalendo??
 
Nadhani anafikiria kuwa hatutakumbuka yaliyotokea, au aloyafanya!
Nakumbuka kipindi hicho kils kitu kiliuzwa bei karibu na bure. Je twaweza kuvirudisha? Baada ya hopo ndiyo nilijitoa katika kuchangia siasa humu jamii kwani nilikuwa sielewi watu bado walikuwa wanamtetea ati analeta maendeleo nchini.

Hata hiyo hoteli alojenga kuna baadhi ya watu walisema sawa na walikataa kuwa ni rushwa ya wazi.
 
Makosa kama ya katiba, iishie huko huko haina cha kujivunia.
 
Ni jambo jema sana kwa kiongozi kuona makosa yake na kuomba msamaha. Pamoja na kuona makosa yake bado chama kinachoongoza nchi ni chama chake na bado ana nafasi ya kurekebisha makosa ambayo ameyaona.

Kwa miaka yote kumi alishindwa hata kumshauri Rais aliyekuwepo arekebishe hilo? Je sasa anashindwa kuona kuwa anaweza kushauri na kurekebisha?

Kuomba msamaha kunaenda sambamba na kufanya matengenezo katika njia aliyokosea.

Je kule kuuza nyumba za serikali ambazo zilijengwa kwa kodi za watanzania wote na baadaye kuuzia watumishi wachache wa serikali hilo analiona limekaa sawa katika vipimo vyake vya dhamiri?

Maadamu anaishi ashauri marekebisho katika njia alizokosea na hapo tutajua kweli anajutia makosa yake. Kwani bado watanzania wanaendelea kuteseka kwa maamuzi aliyoyafanya akiwa Rais na bado ananafasi ya kushauri kwa kuwa chama cha chake ndicho bado kiko madarakani.
 
Kwanini aombe msamaha kwa watu amboa hatuwezi kumfanya lolote hats kama tutaukataa msamaha huo. Akafie mbele! Aombe msamaha kwa Mola wake.
 
Ni heri wananchi kulalamika kuliko kiongozi tena wa juu (Rais) kulalamika hata kwa mambo ambayo yeye mwenyewe aliyatekeleza kwa akili zake zote na nguvu zake zote! Tujiulize huyu mzee alitakiwa ajifunze kabla hajawa rais iliatekeleze vizuri majukumu yake au baada ya kustaafu ili awakosoe wenzake? Je, wazee kama hawa wanaotaka kutuaminisha baada ya kutoka madarakani wakipewa tena nafasi watatufikisha tutakako kwenda?

Watanzania wenzangu tusisahau kauli zake! alikuwa tayari heri watanzania (wananchi) wale manyasi anunue Dege linaloweza ruka masafa marefu na mtu 1 tu hadi bara wasiloishi watu ( Antarctica) )bila kutua njiani. Kwanini wenye akili timamu wanaojua kauli kama hizi za watawala wasilalamike?
 
Aturudishie mgodi wetu wa Kiwira kwanza.Hapo tunaweza kuanza kufikiria kumsamehe.
 
Mbona hakusema hayo siku alipokabidh ofic,pia msamaha huombwa kwa Mungu haswa kwa jambo la umma na c kwa watu huenda huu ukawa unafiki!uongo na dharua!mbona hakiri kuhusu mgodi wa kiwira?
Labda kwa kitabu kingine; kwa Biblia lazima uanze kuomba msamaha kwa aliyekukosea kwanza then ndio uende kwa Mungu. Yaani we unikosee mimi halafu unaenda kwa Mungu? Kwa mafundisho ya Yesu hata sadaka hutakiwi kutoa hadi umeenda kupatana na aliyekukosea then ndio urudi Kwake.
 
kuwa muelewa ndugu!unadhani watz 45ml utawaomba msamaha kwny kongamano ambalo dhamira ilikuwa kujadili kitu kingine eti ww unaibuka na kuomba msamaha watu waliopo ukumbini!Huku ukiwadanganya na kuwadharau!yy amuombe mungu wake sio cc!cc tulikataa ubnafsishaj yy alilazimisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…