Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,050
- 5,513
Chama cha Mafisadi (ccm). Kimekuja na mbinu mpya za utekaji watu
Ccm ni wezi wa rasilimali za Taifa na chanzo cha umasikini wa fikra nchiniNijuavyo ilani ya CCM ni endelevu
Nadhani kuna kitu alisema na kilikuwa cha muhimu wakati huo na unaweza kukiinganisha na hikiAlipoitwa ikulu pamoja na wastaafu wengine kwann hakumwambia hili?? Hebu muacheni afanye aonavyo vema
Ndivyo tulivyo
ILA NI KWELI KWANI WALIMUSHAURI ASIWAGUSE ACASIA, SASA YEYE TAYARI AKAKAMATA MAKINIKIA NA WAKINA MWANYIKA NA WALE WALIODHURUMU WANANCHI WA TARIMERais mstaafu huenda kachoka kusikia ya kule sasa kaamua mwenyewe kuweka wazi na kuonyesha hisia na masikitiko yake, msikilize
sidhani kama ana hizo guts.!Asiseme viongozi wa Africa, aseme kiongozi wa nchi hiii
Huwa nina kawaida moja,mtu akitoa mchango wa hoja wenye maana, kama huu wako, humpa heshima mtu huyo kwa kumwambia kuwa,"wewe ni faida kwa familia yako na taifa."Mkapa alikuwa na amekuwa mzizi mkuu wa tawala zilizofuata mpaka sasa chini ya CCM. Amekuwa mmoja wa wanazi na wasiopenda mabadiliko ya aina yoyote, ukiacha yale yanayomnufaisha na kuendelea kumpa nafasi ya kupumua bila usumbufu pamoja na madhambi aliyofanya.
Mkapa alikuwa na nafasi ya kusimamia uimarishaji wa mifumo na vyombo mbalimbali vya kuongoza nchi ya kidemokrasia, kwa mfano katiba bora, taasisi zilizo huru za kuishauri serikali na kutekeleza sera, mfumo bora wa uchumi unaomilikiwa na watanzania walio wengi, nk. Ila cha ajabu anaongea nyeupe, lakini anataka nyeusi. Anaongelea mwendelezo lakini anataka katiba ya zamani ya rais kuwa kama mfalme (autocrat). Inaonyesha anataka yale hata huyu aliyepo afanye kama yeye alivyokuwa anafanya.... UJUHA.
Msaada anaoweza kulisaidia taifa kwa sasa ni kuunga mkono msukumo wa kutengeneza katiba bora inayowapa mamlaka wananchi kuchagua viongozi bora, na kuwawajibisha pale wanapokosea. FULL STOP.
Hayo mengine anajikosha tu. HANA LOLOTE.
Lol wewe jamaa umeamua kuishi hapa duniani kwa kutegemea Ujinga,nina maana ya kuwa UJINGA WAKO NDIO UNAKUWEKA HAPA DUNIANI.hahaha Mkapa ameona ayapooze malofa maana kwa kupenda kudanganywa na kupewa faraja ....sasahivi yamelainika na yatamuita kamanda,kamanda...hahahaha
2020 ikifika tunayaita malofa tena na baadae unayadanganya tena hahaha
nioneshe katiba mpya kwenye ilani ya ccmNijuavyo ilani ya CCM ni endelevu