Mkapa: Kama kila Rais anakuja na mambo yake, hatuwezi yafikia maendeleo

Awamu ya pili ilikuja na ideology ruksa na fagio la chuma meaning kwamba kulikuwepo udhaifu kwenye maeneo hayo kwenye awamu ya kwanza

Awamu ya tatu ilikuja na idelogy ya uwazi na ukweli ikionesha kwamba hayo yalikuwa mapungufu ya serikali zilizop
Awamu ya nne ikaja na idelogy ya nguvu mpya, ari mpya, na kasi mpya ikiashiria kwamba kulikuwepo kuchoka kwa serikali tawala zilizopita

Sasa tuna idelogy ya hapa kazi tu ikiashiria kwamba kumekuwepo na udhaifu kwenye msisitizo wa wa kazi huko nyuma

Mwingine atakuja na kitu kingine tena........ na ideologies hizi hazina shida yoyote
Hujamwelewa. Wewe unaongelea Ideologies
na yeye anaongelea criticisms.
 
Rais mstaafu huenda kachoka kusikia ya kule sasa kaamua mwenyewe kuweka wazi na kuonyesha hisia na masikitiko yake, msikilize
 

Attachments

  • 44202097_162425024706527_3079985820363390976_n.mp4
    2.4 MB · Views: 35
Rais Mstaafu Benjamin Mkapa ameshauri marais nchi za Afrika kuzingatia mambo yaliyofanywa na watangulizi wao, kama kila awamu itaanza upya au wakati mwingine kurudisha nyuma kabisa, kupata maendeleo itakuwa changamoto sana

Kila zama na kitabu chake sawa lakini haimanishi kitabu kilichotangulia hakina maana.

MY TAKE;

Kuachana na Kilimo kwanza tukaenda kwenye awamu ya Viwanda nadhani hapo tulikosea. Ndo maana hadi sasa hatuoni viwanda vilivyojengwa. Kuna Factories tu, just processing.

Kutokana na kwamba asilimia kubwa ya watanzania wanategemea kilimo, tungewawezesha nyenzo walime then tuwatafutie masoko ya nje, tufungue mipaka watu wauze mazao.

Viwanda ni Technolojia, tununue technolojia kwa kuwasomesha Watanzania kwanza. Huwezi anzisha kiwanda kwa kutegemea mzungu ufanikiwe.

Chuma cha Liganga tumeshindwa kuvuna, tutaweza kiwanda kweli?

Kikwete aliona mbali kuendeleza MKUKUTA na MKURABITA. Ni aibu kufufua viwanda vya Nyerere vilivyopitwa na Teknolojia. Majengo tuyabadilishie matumizi.

Tukae pembeni tuangalia huu mchezo unaochezwa kama utafanikiwa, tusijeambiwa tunamyumbisha mkuu au tunataka kumkwamisha.


Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa akizungumzia umuhimu wa serikali mpya katika nchi za Afrika kuendeleza yaliyokuwa yakifanywa na serikali iliyokuwa madarakani.
 
Raisi Mkapa ameshauri maraisi nchi za Afrika kuzingatia mambo yaliyofanywa na watangulizi wao, kama kila awamu itaanza upya au wakati mwingine kurudisha nyuma kabisa, kupata maendeleo itakuwa changamoto sana

Kila zama na kitabu chake sawa lakini haimanishi kitabu kilichotangulia hakina maana.

MY TAKE;

Kuachana na Kilimo kwanza tukaenda kwenye awamu ya Viwanda nadhani hapo tukikosea. Ndo maana hadi sasa hatuoni viwanda vilivyojengwa. Kuna Factories tu, just processing.

Kutokana na kwamba asilimia kubwa ya watanzania. Wanategemea kilimo, tungewawezesha walime then tuwatafutie masoko ya nje, tufungue mipaka watu wauze mazao.

Viwanda ni Technolojia, tununue technolojia kwa kuwasomesha Watanzania kwanza. Huwezi anzisha kiwanda kwa kutegemea mzungu ufanikiwe.

Chuma cha Liganga tumeshindwa kuvuna, tutaweza kiwanda kweli?

Kikwete aliona mbali kuendeleza MKUKUTA na MKURABITA. Ni aibu kufufua viwanda vya Nyerere vilivyopitwa na Teknolojia. Majengo tuyabadilishie matumizi.

Tukae pembeni tuangalia huu mchezo unaochezwa kama utafanikiwa, tusijeambiwa tunamyumbisha mkuu au tunataka kumkwamisha.
Kwa nini isishindikane kama mwendo wenyewe ndio huu wa kuimba mapambio na kusifia kila linalotendeka.
 
Raisi Mkapa ameshauri maraisi nchi za Afrika kuzingatia mambo yaliyofanywa na watangulizi wao, kama kila awamu itaanza upya au wakati mwingine kurudisha nyuma kabisa, kupata maendeleo itakuwa changamoto sana

Kila zama na kitabu chake sawa lakini haimanishi kitabu kilichotangulia hakina maana.

MY TAKE;

Kuachana na Kilimo kwanza tukaenda kwenye awamu ya Viwanda nadhani hapo tulikosea. Ndo maana hadi sasa hatuoni viwanda vilivyojengwa. Kuna Factories tu, just processing.

Kutokana na kwamba asilimia kubwa ya watanzania. Wanategemea kilimo, tungewawezesha nyenzo walime then tuwatafutie masoko ya nje, tufungue mipaka watu wauze mazao.

Viwanda ni Technolojia, tununue technolojia kwa kuwasomesha Watanzania kwanza. Huwezi anzisha kiwanda kwa kutegemea mzungu ufanikiwe.

Chuma cha Liganga tumeshindwa kuvuna, tutaweza kiwanda kweli?

Kikwete aliona mbali kuendeleza MKUKUTA na MKURABITA. Ni aibu kufufua viwanda vya Nyerere vilivyopitwa na Teknolojia. Majengo tuyabadilishie matumizi.

Tukae pembeni tuangalia huu mchezo unaochezwa kama utafanikiwa, tusijeambiwa tunamyumbisha mkuu au tunataka kumkwamisha.
Naona Mkapa anataka kutekwa, yetu macho...
 
Mah
Raisi Mkapa ameshauri maraisi nchi za Afrika kuzingatia mambo yaliyofanywa na watangulizi wao, kama kila awamu itaanza upya au wakati mwingine kurudisha nyuma kabisa, kupata maendeleo itakuwa changamoto sana

Kila zama na kitabu chake sawa lakini haimanishi kitabu kilichotangulia hakina maana.

MY TAKE;

Kuachana na Kilimo kwanza tukaenda kwenye awamu ya Viwanda nadhani hapo tulikosea. Ndo maana hadi sasa hatuoni viwanda vilivyojengwa. Kuna Factories tu, just processing.

Kutokana na kwamba asilimia kubwa ya watanzania. Wanategemea kilimo, tungewawezesha nyenzo walime then tuwatafutie masoko ya nje, tufungue mipaka watu wauze mazao.

Viwanda ni Technolojia, tununue technolojia kwa kuwasomesha Watanzania kwanza. Huwezi anzisha kiwanda kwa kutegemea mzungu ufanikiwe.

Chuma cha Liganga tumeshindwa kuvuna, tutaweza kiwanda kweli?

Kikwete aliona mbali kuendeleza MKUKUTA na MKURABITA. Ni aibu kufufua viwanda vya Nyerere vilivyopitwa na Teknolojia. Majengo tuyabadilishie matumizi.

Tukae pembeni tuangalia huu mchezo unaochezwa kama utafanikiwa, tusijeambiwa tunamyumbisha mkuu au tunataka kumkwamisha.
Majizi sana haya majitu.
 
Back
Top Bottom