Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa jana katika uzinduzi wa kampeni za CCM aliwatukana wapinzani kwamba ni WAPUMBAVU. Mkapa anatambulika kama Rais Mbabe na ikumbukwe ndio alikuwa madarakani Wapemba walivyouawa Zanzibar mwaka 2014. Wewe ni Rais Mstaafu hivyo kutoa MATUSI hadharani si ustaarabu.