Mkapa hupendezi kutoa matusi

Mkapa hupendezi kutoa matusi

Marata

Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
44
Reaction score
8
Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa jana katika uzinduzi wa kampeni za CCM aliwatukana wapinzani kwamba ni WAPUMBAVU. Mkapa anatambulika kama Rais Mbabe na ikumbukwe ndio alikuwa madarakani Wapemba walivyouawa Zanzibar mwaka 2014. Wewe ni Rais Mstaafu hivyo kutoa MATUSI hadharani si ustaarabu.
 
Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa jana katika uzinduzi wa kampeni za CCM aliwatukana wapinzani kwamba ni WAPUMBAVU. Mkapa anatambulika kama Rais Mbabe na ikumbukwe ndio alikuwa madarakani Wapemba walivyouawa Zanzibar mwaka 2014. Wewe ni Rais Mstaafu hivyo kutoa MATUSI hadharani si ustaarabu.
Oct tutawanyoosha ?
 
Matusi gani. Alifanya conclusion aliloshauri Msigwa
 
Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa jana katika uzinduzi wa kampeni za CCM aliwatukana wapinzani kwamba ni WAPUMBAVU. Mkapa anatambulika kama Rais Mbabe na ikumbukwe ndio alikuwa madarakani Wapemba walivyouawa Zanzibar mwaka 2014. Wewe ni Rais Mstaafu hivyo kutoa MATUSI hadharani si ustaarabu.

We Lofa wapemba gani waliuawa 2014? Lofa na Pumbavu wewe
 
Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa jana katika uzinduzi wa kampeni za CCM aliwatukana wapinzani kwamba ni WAPUMBAVU. Mkapa anatambulika kama Rais Mbabe na ikumbukwe ndio alikuwa madarakani Wapemba walivyouawa Zanzibar mwaka 2014. Wewe ni Rais Mstaafu hivyo kutoa MATUSI hadharani si ustaarabu.
Ok
 
Back
Top Bottom