Mimi sikubaliana na mawazo yenu hata Moja.
Kwanza tukumbuke siku za nyumba Fedha zetu zilikua kila rais Mpya akipatikana anataka picha yake kwenye note na Coins ila baadae tuliachana na utaratibu huo na sasa tunahitaji kuondokana
na utadani.
Nani anajua jina halisi la eneo ambalo sasa linaitwa (Uwanja wa taifa), Naamini kulikuwa na jina la eneo hilo lakini limeshaulika
Kuna mashujaa wangapi waliokufa wakati wa harakati za Uhuru hawakuwa na cheo, butvery courageus na hadi leo hawatambuliki?
Tukisema BWM ndio alitafuta hao wafadhili, Je mkapa ndio alichora hiyo ramani, ndio aliyeandika proposal na hata kama ndio je wapishi wake, bodiguards wake na subordinates wengine wataonekana wapi? maana na wao walimwezesha kufanya hiyokazi.
Kama ni suala la heshima na kumbukumbu ya ukuu wa nchi, Daraja, former mafuta house, Secondary iliyopo jijini vinatosha.
Ila ni wakati sasa wa kuwapa watu mbali mbali heshima ofauti na wana siasa. Kuna watu waliokoa maisha ya watu mbalimbali katika majanga mbali, kuna reserchers, kuna wachezaji walioletea sifa nchi yetu, kuna wanajeshi waliofia nchi yetu wakati wa Vita na natural calamities hao wanakumbukwaje?