KWa maoni yangu mkapa arudi kugombea URAIS....Sioni kichwa cha kusimama mwaka 2015 upande wa CCM. Mzee Salim hawampendi yeye alifaa kuliongoza taifa hili pia.
Upande wa UPINZANI Siooni mtu sahihi wa kuleta changamoto kwa chama Tawala. Pia upinzani wananunulika kirahisi mno....watanzania elimu ya kuchagua viongozi bada sanaaaaaaaa. Labda miaka 20 ijayo.
Tumuombe MKAPA arudi anyanyue huu uchumi ingawa ukiangalia JK kafanya vizuri kimataifa, Kitaifa bado wananchi wa chini tunaumia na mfuko wa bei kwa kila kitu...mitandao ya simu imekuwa gharama zaidi na zaidi. Sasa ukiwa na 500,000 nenda nayo sokoni utarudi huna chochote.
Upande wa UPINZANI Siooni mtu sahihi wa kuleta changamoto kwa chama Tawala. Pia upinzani wananunulika kirahisi mno....watanzania elimu ya kuchagua viongozi bada sanaaaaaaaa. Labda miaka 20 ijayo.
Tumuombe MKAPA arudi anyanyue huu uchumi ingawa ukiangalia JK kafanya vizuri kimataifa, Kitaifa bado wananchi wa chini tunaumia na mfuko wa bei kwa kila kitu...mitandao ya simu imekuwa gharama zaidi na zaidi. Sasa ukiwa na 500,000 nenda nayo sokoni utarudi huna chochote.