Nyang'omango
Senior Member
- Nov 6, 2011
- 194
- 87
Nyie wana Mtwara hata Tanesco iliwasusa kwa kuona haiwezi fanya biashara na watu wasio na uwezo kifedha......Serikal ikaruhusu mtu binafs( ATMAS)awauzie Umeme kwa mitambo yake bado na yeye akaona hamstahil maana hakuna anachopata......Mkapa kwa bidii zake akawaokoa kwa kushirikiana na Serikal na Tanesco leo hii mna Umeme hata kukatika tu ni ngumu......Serikal ikiamua iwaachie hiyo Ges nyie wana Mtwara mnaweza kuichimba....?? je Dawa kwenye Mahospital mnaweaza pata....?? na mahitaji mengine mengi mengi sana ya kijamii ambayo nyie hamsatahili kama ingekuwa kila mkoa ufaidike na mali zake....!! Wana Mtwara amkeni sasa wanasiasa wanawapoteza......mtabaki na umasikin kwenu Mtwara huku wao Mikoa yao ikiwa Bora.....!! Hao woote Viongozi wanaopiga kelele na nyie wana majengo ya KIFAHARI DAR ES SALAAM mwisho wa cku watawaacha na huko huko na ujinga wenu.....AMKEN WANA MTWARA........!!