upeo wa kujadili ISSUES humu jf ni wa kutia shaka,kumbe mkapa hakukosea kusema kwamba WATANZANIA NI WAVIVU WA KUFIKIRI,,tutakufa maskini kwa mtindo huu,,waliokuwepo kwenye kigoda cha mwl nyerere udsm walielewa mkapa alkuwa na maana gani,,tusichangie kwa ushabiki,jengeni hoja mnapayuka tu.Kipindi chake nchi ilikua kiuchumi,akalpa maden sugu,wafadhili wakasamehe maden mengine,miradi mingi ya maendeleo ilitegemea pesa ya ndani,MLITAKA AFANYEJE?NYIE NDO HAMNAZO