Mkangara aingizwa mkenge 'kabang'

Mkangara aingizwa mkenge 'kabang'

Wewe Hujui kuwa TFF ni taasisi ya Tenga binafsi. Inaitwa TFF (Tenga Football Federation). Sasa kwa nini asiwe na maamuzi na kila kitu?
 
acheni unafki kuna watu wana njaaaa sana kwani hakuna kazi nyingine

wakalokote makopo ya maji ajiri mpya!
 
Mbona majina ni hayo hayo kila kukicha, Kuna jamaa wanaojiita watu wa mpira wanasema Malinzi ukabila ndio tatizo kwamba anaamini watu wa kwao tu ndio bora na bahati mbaya mpira unapendwa na kuchezwa na watu wote (Hili linaonekana kutoka katika kampuni zake na alikoongoza). Lakini pia hao jamaa wote hawana record nzuri kuhusiana na mpira, Tenga kacheza mpira kwa kiwango cha juu kabisa kiafrika na kibongo bongo kucheza mataifa huru hii ndio wabongo wanakaribia miaka 40 hawajafikia.

Hata kama hajafanikiwa bado wa kumbeza hayupo manake uzoefu wake katika mpira hakuna kama yeye hapa bongo na mpira ni mchezo wa hadharani ndio maana watu wanaingiza politike badala ya kuzungumzia mpira. Watu wa mpira ndio waachiwe mpira. Manake ma DJ sasa hivi nao wamekuwa watu wa mpira na kutaka kuongoza vyama vya michezo eti uzoefu wao unatokana na kutangaza habari za mchezo.

Kama mtu hajacheza mpira kwa kiwango cha premier au kuwa coach/referee hatakiwi kabisa kuongoza mpira bora aendelee kuwa shabiki. Vinginevyo akina charles Hillary, Mikidadi Mahmoud, Aboubakar Liongo, Sued Mwinyi si ndio wangekuwa wanagombea hivi sasa.

Waziri na Serikali sio kweli kwamba wao ndio wanajua kila kitu, wao ndio hovyo kabisa kwani hata majukumu yao hawajui ni nini. Ni lini Dr. Mkangara aliwahi kuwa katika chumba cha kubadilishia nguo na kuzungumzia nini kifanye watu washinde game.
 
Basi komaeni selikari iliingilie ili mfungiwe miaka kumi kama Mali

..............kwani kufungiwa ndo nini ! peleka ujinga huko, tutashabikia premier, lakini sio kutiana vidole matak.............machoni !
 
Yaani umejikusanya kabisa ukakaa kwenye key board kuandika huu ujinga !? Yaani huu ujinga haufai hata facebook !
Rudi nenda kamwambie Tenga 'muungwana hatumwi ujinga' !
Mshauri afungue ofisi ya 'Kichefu chefu' (tff) kule Zurich ndo hataingiliwa kamwe. Kama hawataki kuingiliwa kwa nini walisajili Katiba yao Baraza la Michezo ? Wao ndo waliingilia shughuli za serikali kwa kusajili katiba yao serikalini. Minduku yao wotee !
Kampuni hua zinasajiliwa na mamlaka ya serikali. Kwani usajili hua unaipa serikali mamlaka ya kuendesha kampuni hizo. Wacha dharau wee kwanza huna lolote
 
Kampuni hua zinasajiliwa na mamlaka ya serikali. Kwani usajili hua unaipa serikali mamlaka ya kuendesha kampuni hizo. Wacha dharau wee kwanza huna lolote

lolote unalo wewe !.............nashangaa mtu mzima unatumwa ujinga !:A S 39:
 
....
Mtu kama Wambura aliondoka FAT bila kukabidhi ofisi licha ya kuombwa arudi kukabidhi ofisi na kuweka sawa mambo. Kwa ufupi alinyea kambi lakini hivi leo kila kukicha anataka uongozi TFF.

Hili nalo neno...! Hivi akiulizwa juu ya hili Wambura anajibuje..!?
 
..............kwani kufungiwa ndo nini ! peleka ujinga huko, tutashabikia premier, lakini sio kutiana vidole matak.............machoni !
Wewe huna hoja kazi yako kutukana tu, ndio makanjanja wenyewe
 
Sijui kwa nini huyu Wambura na mwenzake Malinzi hawataki kuachana na TFF badala yake wangejikita kukuza vipaji, kufundisha soka safi na pengine kuanzisha vilabu vyenye mafanikio makubwa kuzishinda hizi timu kongwe. They proved failure long time ago, lakini bado wataka madaraka kwa udi na uvumba, duh hapo ndo ninapochoka na viongozi wa hizi nchi zetu.


Pale kuna ulaji na kama ulaji usingekuwepo unafikiri wangekaa pale muda wote huo? We angalia mtu kama Tenga amefanya nini cha maana TFF, ila bado yupo hawajibiki wala kuwajibishwa kwa timu ya Taifa kufanya mbovu. TFF kife pamoja na Simba na Yanga zipewe nafasi timu za mikoani na kije chama kingine cha mpira na mikakati ya kukuza vipaji la sivyo tutabakia na Simba na Yanga miaka 50 mingine ijayo bila mafanikio huku majirani wakitupiga changa la macho sisi tunakalia bla bla bla tulizozoea.
 
Back
Top Bottom