mmeku
Member
- Aug 7, 2011
- 43
- 11
Sisi watanzania 2mamatatizo sana... Hv kwa nin ha2jiulizi kwa nini hawa kina wambura wanangangania tff? angali 2najua kuwa tff ni mahala pakujitolea na si ajira ..sasa 2jiulize kuna ajenda gani ya siri kwa hawa mabwana kutumia nguvu kubwa kiasi hki ili kuingia madarakan.. mi sidhan kama wambura ana ajira rasmi maana kwa kumbukumbu zangu alisha leta mtafaruku kama huu simba.. aliamua kurud shule ilikupata degree ambayo ilikuwa ni kikwazo kwake kama kgezo cha kugombea uongoz ngaz yajuu....sasa 2jiulize ni ki2 gani anatafta katka uongoz maana angeweza kutuonyesha umahri wake kama angegombea uongoz club ndogo na kuifikisha pazuri na kukuza vpaji ..2ngeamin kwamba anauchungu na soka la tz....co siri sisi 2mekuchoc bwana mambura maana kidogo 2 wewe mahakaman...unatuchosha