Habari za jioni wana jf na wapenzi jf
Niende kwenye mada mazima ili nielimishwe ni kigezo gani viongozi wetu wa dini wanakusudia kutumia kushiriki ibada ya mazishi ya mengi kikiristo
Nijuavyo mimi dini yetu ina utaratibu wake ukiwa nje ya utaratibu maana yake umepoteza sifa ya kuwa mkristo
Mengi alitengana na mke wake wa ndoa ya kikiristo akawa na mke mdogo kwa taratibu za kikiristo hawaruhusu kuwa na mke zaidi ya mmoja wanakutenga au kuishi na mke bila ndoa harali wanakutenga maana yake wewe si mkristo tena swali ni sahihi kufanya ibada ya mazishi ya mengi kikiristo? Ilihali alikuwa amejitenga kwa kumiliki wake wawili pia kuishi na mke bila ndoa ya kikristo
Naomba kuelimishwa hasa wachungaji na wainjilisti wa kkkt waliomo humu
Niende kwenye mada mazima ili nielimishwe ni kigezo gani viongozi wetu wa dini wanakusudia kutumia kushiriki ibada ya mazishi ya mengi kikiristo
Nijuavyo mimi dini yetu ina utaratibu wake ukiwa nje ya utaratibu maana yake umepoteza sifa ya kuwa mkristo
Mengi alitengana na mke wake wa ndoa ya kikiristo akawa na mke mdogo kwa taratibu za kikiristo hawaruhusu kuwa na mke zaidi ya mmoja wanakutenga au kuishi na mke bila ndoa harali wanakutenga maana yake wewe si mkristo tena swali ni sahihi kufanya ibada ya mazishi ya mengi kikiristo? Ilihali alikuwa amejitenga kwa kumiliki wake wawili pia kuishi na mke bila ndoa ya kikristo
Naomba kuelimishwa hasa wachungaji na wainjilisti wa kkkt waliomo humu