Mkandarasi feki azimia baada ya kubanwa na Waziri Aweso

Mkandarasi feki azimia baada ya kubanwa na Waziri Aweso

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
844
Reaction score
1,608



Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, amewaonya Wakandarasi wanaochekelewesha ameonesha Miradi ya Maendeleo na kuonyesha kutoridhishwa na kasi ya utekelezaji wa Mradi wa Maji wa Miji 28 unaotekelezwa katika Wilaya za Wanging’ombe na Makambako, Mkoani Njombe.

Akizungumza katika ziara yake ya kikazi katika maeneo hayo leo, tarehe 22 Julai 2025, Aweso amebaini mapungufu mbalimbali hasa upande wa Mkandarasi, ikiwemo kuchelewesha mradi na kuwepo kwa

Aweso amesisitiza kuwa hatua za haraka lazima zichukuliwe dhidi ya wale wote wanaokwamisha utekelezaji wa mradi huo, ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora ya Maji Safi na Salama kama ilivyokusudiwa. Waziri Aweso amewaagiza Watendaji wa Wizara ya Maji pamoja na Mkandarasi anayetekeleza Mradi huo kutoka Kampuni ya Larsen and Taubro Limited kuhakikisha kazi inafanyika kwa bidii, usiku na mchana.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Antony Mtaka, amewaasa Wakandarasi Wazawa, kwa kusema kwamba wanapopata fursa ya kutekeleza Miradi mikubwa kama hiyo wanapaswa kufanya kazi kwa bidii, uaminifu na weledi ili kuendelea kuaminika katika utekelezaji wa miradi ya baadaye. Aidha, mradi wa maji wa Wanging’ombe na Makambako ukikamilika utakuwa na uwezo wa kuzalisha lita Milioni 13 za Maji kwa siku, hatua ambayo itaboresha hali ya upatikanaji wa huduma ya Maji Safi na Salama katika maeneo hayo.​
 
View attachment 3415666


Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, amewaonya Wakandarasi wanaochekelewesha ameonesha Miradi ya Maendeleo na kuonyesha kutoridhishwa na kasi ya utekelezaji wa Mradi wa Maji wa Miji 28 unaotekelezwa katika Wilaya za Wanging’ombe na Makambako, Mkoani Njombe.

Akizungumza katika ziara yake ya kikazi katika maeneo hayo leo, tarehe 22 Julai 2025, Aweso amebaini mapungufu mbalimbali hasa upande wa Mkandarasi, ikiwemo kuchelewesha mradi na kuwepo kwa

Aweso amesisitiza kuwa hatua za haraka lazima zichukuliwe dhidi ya wale wote wanaokwamisha utekelezaji wa mradi huo, ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora ya Maji Safi na Salama kama ilivyokusudiwa. Waziri Aweso amewaagiza Watendaji wa Wizara ya Maji pamoja na Mkandarasi anayetekeleza Mradi huo kutoka Kampuni ya Larsen and Taubro Limited kuhakikisha kazi inafanyika kwa bidii, usiku na mchana.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Antony Mtaka, amewaasa Wakandarasi Wazawa, kwa kusema kwamba wanapopata fursa ya kutekeleza Miradi mikubwa kama hiyo wanapaswa kufanya kazi kwa bidii, uaminifu na weledi ili kuendelea kuaminika katika utekelezaji wa miradi ya baadaye. Aidha, mradi wa maji wa Wanging’ombe na Makambako ukikamilika utakuwa na uwezo wa kuzalisha lita Milioni 13 za Maji kwa siku, hatua ambayo itaboresha hali ya upatikanaji wa huduma ya Maji Safi na Salama katika maeneo hayo.​
Safi sana
 
Hiyo scene za ccm hakuna jipya tumeshastukia kitambo
 
MKANDARASI FEKI AZIMIA BAADA YA KUBANWA NA WAZIRI AWESO NJOMBE

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso, ameonesha kutoridhishwa na kasi ya utekelezaji wa Mradi wa Miji 28 unaotekelezwa katika Wilaya za Wanging'ombe na Makambako, mkoani Njombe.

Akizungumza katika ziara yake ya kikazi katika maeneo hayo leo, Tarehe 22 Julai 2025 Mhe. Aweso amebaini mapungufu mbalimbali hasa upande wa Mkandarasi, ikiwemo kuchelewesha mradi na kuwepo kwa msimamizi asiyekuwa na sifa za kusimamia mradi.

Amesisitiza kuwa hatua za haraka lazima zichukuliwe dhidi ya wale wote wanaokwamisha utekelezaji wa mradi huo, ili kuhakikisha kwamba wananchi wanapata huduma bora ya maji safi na salama kama ilivyokusudiwa

Waziri Aweso amewaagiza watendaji wa Wizara ya Maji pamoja na Mkandarasi anayetekeleza mradi huo kutoka Kampuni ya Larsen and Taubro Limited kuhakikisha kuwa kazi inafanyika kwa bidii, usiku na mchana.

"Sisi tunachotaka ni mambo yaende vizuri, wananchi wapate huduma ya maji safi na salama. Fedha zipo, kwa nini watu hawafanyi kazi? Wale wanaotaka kufanya kazi tutawapa ushirikiano, lakini wale ambao hawataki kufanya kazi hatutokubali," alisisitiza Mhe. Aweso.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Antony Mtaka, amewaasa wakandarasi wazawa, kwa kusema kwamba wanapopata fursa ya kutekeleza miradi mikubwa kama hii, wanapaswa kufanya kazi kwa bidii, uaminifu na weledi ili waweze kuendelea kuaminika katika utekelezaji wa miradi ya baadaye.

Aidha, mradi wa maji wa Wanging'ombe na Makambako, ukikamilika, utakuwa na uwezo wa kuzalisha lita milioni 13 za maji kwa siku, hatua ambayo itaboresha hali ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama katika maeneo hayo

📹:W/Maji
 

Attachments

  • tweeload_ff144050.mp4
    19.2 MB
Huyo atakua site foremen na mara nyingi wao wanakua na experience tu kuzidi hata hao maengineer wa mradi,
Mara nyingi ktk kukimbiza kazi mradi unauzwa wanakumbiza watu wengine sasa hao ma site foremen ndo wanasimamia hyo miradi, hpao engineer wa mradi yupo kweny mishe zingine za kusaka pesa
 
Back
Top Bottom