OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
wadau!!
Kuna habar ambazo si rasmi kuwa wazir Bernad Membe ameamuwa sasa kujitosa kwa gharama yeyote au njia halali au haramu kuhakikisha kuwa anakuwa rais wa tz baada ya jk.
Habar zilizopo nikwamba anatumia watu mbalimbli kuwashawishi viongoz wa dini ili kumuunga mkono katika harakati hizo,vyanzo vya habar vinaendelea kusema ameona ndio mlango wa kipekee wa kutokea baada ya kujaribu kila njia na kuona hakubaliki.
Watu hao anawatumia inasemekana wamekuwa na wakati mgumu kwasabu viongozi wa dini wamekuwa hawaonyeshi ushirikiano kwan wamelalamika kwamba membe ndiye aliyemtuma makonda kuitisha mkutano na waandishi na kuwatukana viongoz wa dini,viongoz hao wa dini wameonyesha kutokubaliana na mkakati huo,na wameonya kamwe wasitumike kisiasa na wameshatowa onyo kuwa mvua inyeshe jua liwake hawako tayari kufnya hiyo kazi
Kuna habar ambazo si rasmi kuwa wazir Bernad Membe ameamuwa sasa kujitosa kwa gharama yeyote au njia halali au haramu kuhakikisha kuwa anakuwa rais wa tz baada ya jk.
Habar zilizopo nikwamba anatumia watu mbalimbli kuwashawishi viongoz wa dini ili kumuunga mkono katika harakati hizo,vyanzo vya habar vinaendelea kusema ameona ndio mlango wa kipekee wa kutokea baada ya kujaribu kila njia na kuona hakubaliki.
Watu hao anawatumia inasemekana wamekuwa na wakati mgumu kwasabu viongozi wa dini wamekuwa hawaonyeshi ushirikiano kwan wamelalamika kwamba membe ndiye aliyemtuma makonda kuitisha mkutano na waandishi na kuwatukana viongoz wa dini,viongoz hao wa dini wameonyesha kutokubaliana na mkakati huo,na wameonya kamwe wasitumike kisiasa na wameshatowa onyo kuwa mvua inyeshe jua liwake hawako tayari kufnya hiyo kazi