Huyu Mbunge nae inawezekana alikuwa na hoja lkn akajichanganya kwa kuwa over-zealous kwa Taaluma yake ya U-Pharmacist.Kazi ya msingi ya MSD siyo PRODUCTION/MANUFACTURING ya dawa kiasi cha kufanya ijaze kada ya wafamasia tu bali ni pure SUPPLY CHAIN MANAGEMEMENT kama Sheria iliyounda MSD ya Mwaka 1993 ambayo iliainisha majukumu yake ya msingi ni PROCUREMENT(Kununua),STORAGE(Kutunza) na DISTRIBUTION(kusambaza).hivyo MSD ni Taasisi inayoendeshwa kwa kutumia wataalamu wa kada mbalimbali kama Wafamasia,Wataalamu wa MaabaraMarketers,Watunza Bohari,Wahasibu,Drivers n.k kwa hiyo ndio maana idadi kubwa ya watumishi wa MSD ni Drivers na Watunza Bohari(Wamechanganyika Maboharia na Pharmtech) kwani ndio eneo kubwa la STORAGE na DISTRIBUTION ya dawa kutoka MSD Makao Makuu,kwenda ofisi za Kanda za MSD na hatimaye kumalizia usambazaji kwa end users kwenye Hospital na Vituo vya Afya.Huyu Mbunge anafanya Upotoshaji kuwa Kanda za MSD hazina wataalamu wa Dawa,wakati ukweli ni kuwa Kila Kanda ya MSD ina Registered Pharmacist kadri ya Mahitaji ya Scheme of Service,kama ilivyokuwa kwenye kada zingine hivyo siyo sahihi kusema eti MSD ijaze wafamasia utafikiri hicho ni kiwanda cha kutengeneza Dawa na kama ni Takwimu za Aina na Idadi ya Dawa(Quantification) zina-originate kwenye Hospital na Vituo vya Afya na kuletwa MSD,ambaye kazi yake ni KUNUNUA,KUTUNZA na KUSAMBAZA.Naungana na Hoja ya Mtoa Taarifa(Waziri wa Ulinzi) kwa Mbunge kuwa CEO wa MSD siyo lazima awe Pharmacist anaweza kuwa mtu yoyote ili Mradi ajue Corporate Management na awe na Team Safi ya Menejimenti ya Kumsaidia.
Shida ya Meja Gen.Mhidize Kachemka MSD sababu ya kuwa Arrogant,kuwa na poor Management,na kutaka kufanya kazi ki ONE MAN SHOW na ku-ignore ushauri wa professionals wengine,na vile kushindwa kujenga team ya uhakika ya Menejimenti kwa kuamini Na kuleta Wanajeshi Wenzie kama Major Msigwa ambao wako very shallow na hawana msaada wowote