THE GREAT CAMP
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 765
- 194
Salamu zangu kwenu vyama vya upinzani: Mimi si mwanasiasa, ila ni mkereketwa wa Mabadiliko ya kweli katika maisha ya Mtanzania anaye nyanyasika ndani ya nchi yake: Kwa kuangalia historia za chaguzi mbalimbali barani Africa, demokrasia imekuwa ikihujumiwa na serikali nyingi zilizo madarakani. Hivyo Mwaka 2015 nashauri vyama vya upinzani kufanya yafuatayo:
1. Vyama vya upinzani kwa nia moja viungane na visimamishe mgombea mmoja wa Urais
2. Kwenye majimbo ya uchaguzi, vyama vigawane ili mgombea mmoja wa ubunge anaye kubalika kutoka upinzani asimamishwe
3. Kila kura 1 ya Mtanzania ina thamani kubwa, Hivyo muungano wa vyama utapunguza mtawanyiko wa Kura
4. Muungano wa vyama vya upinzani UWAKUMBUSHE watumishi serikalini ile kauli ya Serikali ya CCM kuwa "HATUHITAJI KURA ZA WAFANYAKAZI". Hivyo tafuteni idadi kamili ya watumishi wa serikali mjue ni wangapi maana huo ndiyo mtaji wa kura za kunzia.
5. Hakikisheni kwa umoja huohuo mnalinda kura zenu kuanzia mwanzo hadi mwisho (HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE)
6. Mkubaliane kuunda serikali ya pamoja bila kuwa na uroho wa madaraka/Wizara za kuungoza
7. Umoja wenu usiangalie usipendelee dini wala kabila la mtu Tanzania
NB: Mkifanya hivyo kwa nia thabiti CCM haita ambulia kitu 2015.
Bandugu JF huo ni ushari wangu tu, Na wewe unaweza kuongezea ushauri wa kwako.
MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE WOTE.
1. Vyama vya upinzani kwa nia moja viungane na visimamishe mgombea mmoja wa Urais
2. Kwenye majimbo ya uchaguzi, vyama vigawane ili mgombea mmoja wa ubunge anaye kubalika kutoka upinzani asimamishwe
3. Kila kura 1 ya Mtanzania ina thamani kubwa, Hivyo muungano wa vyama utapunguza mtawanyiko wa Kura
4. Muungano wa vyama vya upinzani UWAKUMBUSHE watumishi serikalini ile kauli ya Serikali ya CCM kuwa "HATUHITAJI KURA ZA WAFANYAKAZI". Hivyo tafuteni idadi kamili ya watumishi wa serikali mjue ni wangapi maana huo ndiyo mtaji wa kura za kunzia.
5. Hakikisheni kwa umoja huohuo mnalinda kura zenu kuanzia mwanzo hadi mwisho (HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE)
6. Mkubaliane kuunda serikali ya pamoja bila kuwa na uroho wa madaraka/Wizara za kuungoza
7. Umoja wenu usiangalie usipendelee dini wala kabila la mtu Tanzania
NB: Mkifanya hivyo kwa nia thabiti CCM haita ambulia kitu 2015.
Bandugu JF huo ni ushari wangu tu, Na wewe unaweza kuongezea ushauri wa kwako.
MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE WOTE.