KILIVITE
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 1,302
- 556
Usiyumbishwe na kubabaishwa na waandamanaji feki wa UKAWA,matusi na kejeli,wanaochana picha na mabango ya Wana UKAWA.Watachana picha na mabango lakini kamwe hawatachana taswira za makamanda wetu walio tayari kukabiliana na ujinga,maradhi,umaskini na rushwa zilizopo katika mbongo zetu...Andaa kadi yako,andaa peni yako,piga kura yako na linda kura yako!!Chagua Lowassa,chagua Ukawa!