Mkaa wa mti poli

Dominic mr

Member
Joined
Jan 19, 2018
Posts
9
Reaction score
1
Habari wana Jf . naomba msaada wenu wakunijuza taratibu/ngazi za jinsi yakupata kibali chakuchoma nakuuza mkaa wa mti poli ..
Ninasafisha shamba langu eka 30 .. Je ni swala linalowezekana??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…