Dominic mr Member Joined Jan 19, 2018 Posts 9 Reaction score 1 Mar 15, 2018 #1 Habari wana Jf . naomba msaada wenu wakunijuza taratibu/ngazi za jinsi yakupata kibali chakuchoma nakuuza mkaa wa mti poli .. Ninasafisha shamba langu eka 30 .. Je ni swala linalowezekana??
Habari wana Jf . naomba msaada wenu wakunijuza taratibu/ngazi za jinsi yakupata kibali chakuchoma nakuuza mkaa wa mti poli .. Ninasafisha shamba langu eka 30 .. Je ni swala linalowezekana??
Kurunzi Platinum Member Joined Jul 31, 2009 Posts 10,196 Reaction score 11,623 Mar 15, 2018 #2 Poli ni nini?