Mkaa wa kisasa kwa bei nafuu

Mkaa wa kisasa kwa bei nafuu

Mkaa wa barabarani unaisha mapema.miti inayokatwa mkaa ni mapupu. Pia wauzaji wanaweka chenga nyingi.
Katika kuweka katika jiko inabidi uuvunje je unapovunja uvunjikaji wake unaridhisha picha tumeona ila bado haziridhishi ni vizuri ungeandaa demo ya video ili ifanye kwa vitendo hatua kwa hatua ili kuepusha haya maswali mkuu ambayo yanajibika kwa video mkuu na kwa urahisi zaidi
 
Hivi mbezi msakuzi ni wapi nipitie kufanya wa majaribio
Nilete mrejesho
 
Gunia kama hill roughly lina uzito wa Kg 70 na bei huwa +- 70,000.00
Kwa Mkaa wa kisasa, tutakuuzia kg 70 kwa sh 38,500

Karibuni, Mkaa ni mzuri hautoi moshi, hautoi Chechen, unawaka muda mrefu.
Nauhitaji BT Niko mkoani vipi hamna mawakala?
 
Katika kuweka katika jiko inabidi uuvunje je unapovunja uvunjikaji wake unaridhisha picha tumeona ila bado haziridhishi ni vizuri ungeandaa demo ya video ili ifanye kwa vitendo hatua kwa hatua ili kuepusha haya maswali mkuu ambayo yanajibika kwa video mkuu na kwa urahisi zaidi

Asante kwa ushauri..naanda video nitawawekea pia
 
Maswali mazuri sana hayo atusaidie mkuu, kuhusu video tuone vile unawaka...

Pia kuhusu vile unaotengenezwa, kuhusu materials na vitu kama hivyo, hapa nahisi jamaa anaweza kuwa na hofu kidogo labda watu watachukua na kufanya wao lakini dunia ya sasa watu wapo kasi kujua ni kujiridhisha then mtu ajiridhishe na kuiamin bidhaa kuwa itakuwa imala.
Hata wakijiua ila si kaz nyepesi namna hiyo, je yeye kiwanda chake kinaweza kutosheleza mji mzima ??!
 
Habari wana JF wenzangu...napenda kuwajulisha kuwa tumefungua kiwanda cha kutengeneza mkaa wa kisasa kilichopo Mbezi Msakuzi...
Mkaa huu (Jina Mkaa Maridadi) ni bei rahisi, unadumu kwa muda mrefu zaidi, hautoi moshi wala cheche na ni rafiki kwa mazingira. Mkaa huu unatumika kwa matumizi ya nyumbani, hotelini/migahawa na kwa wafugaji wa kuku/vifaranga.
Kwa wale watakaopenda kuwa agents, kuanzia gunia 10 za 25kg bei ni Sh550 per kg.
Kuanzia gunia 10 za 4kg au 15kg bei ni Sh 600 per kg.
Kwa mawasiliano zaidi piga simu 0745000888

Au karibuni ukurasa wa insta ili kupata taarifa mpya
Instagram


Karibuni sana.

Mkaa Maridadi
f86a88e2a6b54e964a88a059f4b1aab7.jpg
7a6289ed8cf44d2ca3e0c7dcab328bd5.jpg
71ad777c63b1a87e94653a7196616ac7.jpg
f44e13f59f03ce6c365d6633a15edd4b.jpg
56286f4501babd0aa5b77d346c699b02.jpg
91964e44353691b6389a65b4ad90e278.jpg
Naona mapande ni makubwa sana.Unaonaje sazi ikawa ndogo zaidi kurahisisha upakiaji kwenye magunia ?
 
Kunahitajika Mkaa gunia 500-700
Kwa bei ya shambani siyo ya middleman.. Wala ya kununulia mjini.. Nataka ukusanywe uko uko unapo chomewa nikauchukue mwenyewe bei ni kati ya 15,000/= mpaka 17,000/= ndio nitakayo inunulia
 
Back
Top Bottom