Mjumbe wa NEC Kupitia UVCCM Taifa Edwin Sanda Agushi umri

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
May 24, 2008
10,942
428
Tatizo la baadhi ya viongozi wa umoja wa vijana wa CCM (UVCCM) kudanganya umri wao Limeendelea kutafuna Umoja huo.

Katika tukio la karibuni ,mjumbe wa NEC kupitia UVCCM Edwin Sanda amefanya udanganyifu wa Umri, Sanda anadaiwa kufanya udanganyifu katika kutaja umri wake kwenye mkutano mkuu wa CCM uliofanyika mwaka 2007 Dodoma.

Katika mkutano huo sanda akigombea ujumbe wa NEC kupitia UVCCM Alidai ana umri wa miaka 30, Lakini ukweli ni kwamba amevuka hapo kwani alikuwa na umri wa miaka 36

Historical Background yake hii hapa:

- Birth 1971
- Primary Education 1984 up to 1990 at Mbuyuni primary School
- Secondary Education Moshi Secondary School (OLD MOSHI) 1991 up to 1994
- A level Education Azania Secondary School 1995 up to 1997

Naomba Kuwasilisha
 
Lile zoezi la kuchunguza umri wa viongozi wa UVCCM lilikuwa selective, only and only for Masauni au umesahau Jenerali Ulimwengu alivyowahi kuandamwa kwamba yeye si raia wa Tz, wakati mtu kama Abdulrahman Kinana ambaye inajulikana kabisa si raia akawa anapeta tu!
 
Hivi huyuu edwin sanda alipata huo UNEEC kwa kigezoo cha umri wa miaka 30!!!! jamaa hataa kwa machoo tuu unajuaa keshakata 30s..jamaniiii..

anagombea pia ubunge kondoa hukoo kwa mama zabein mhita na safarii hii pia akipambana na babu yake mzee nyanganyiiii.....
 
Tatizo la baadhi ya viongozi wa umoja wa vijana wa CCM (UVCCM) kudanganya umri wao Limeendelea kutafuna Umoja huo.

Katika tukio la karibuni ,mjumbe wa NEC kupitia UVCCM Edwin Sanda amefanya udanganyifu wa Umri, Sanda anadaiwa kufanya udanganyifu katika kutaja umri wake kwenye mkutano mkuu wa CCM uliofanyika mwaka 2007 Dodoma.

Katika mkutano huo sanda akigombea ujumbe wa NEC kupitia UVCCM Alidai ana umri wa miaka 30, Lakini ukweli ni kwamba amevuka hapo kwani alikuwa na umri wa miaka 36

Historical Background yake hii hapa:

- Birth 1971
- Primary Education 1984 up to 1990 at Mbuyuni primary School
- Secondary Education Moshi Secondary School (OLD MOSHI) 1991 up to 1994
- A level Education Azania Secondary School 1995 up to 1997

Naomba Kuwasilisha

Haiwezekani kabisa kwa miaka ya 80 mtoto aanze shule ya msingi akiwa na miaka kama 13. Kwa vyovyote alipoaanza shule ya msingi alikuwa na miaka chini ya nane, kwahiyo 2007 atakuwa alikuwa na miaka karibu na hiyo 30.

Isije ikawa ni kuchafuana tu.
 
Historical Background yake hii hapa:

- Birth 1971
- Primary Education 1984 up to 1990 at Mbuyuni primary School
- Secondary Education Moshi Secondary School (OLD MOSHI) 1991 up to 1994
- A level Education Azania Secondary School 1995 up to 1997

Naomba Kuwasilisha

Hapo kuna mawili, either huo mwaka wa kuzaliwa sio sahihi au hiyo record ya shule haiko sahihi! It is very unlikely kwamba vyote viwili vikawa sahihi. Enzi zile watoto wakichelewa sana walikuwa wanaanza shule na miaka 10 hivi (wengi ni miaka 8 kushuka chini!). Hiyo miaka 13 ni umri wa kumaliza darasa la saba kama angeanza mapema!

So inawezekana amedanganya umri lakini pengine sio katika nanma hiyo record ilivyowekwa hapo juu!

Btw, nakumbuka jina kama hilo kulisikia maeneo ya chuo cha Ardhi/UCLAS miaka ya 1998-9(akiwa anamaliza chuo)!
 
kama alianza shule mwaka 1984, na kwa kuwa ni mtoto wa kiume, basi alizaliwa mwaka 1975/76 na kuna uwezekano mdogo sana kuwa alizaliwa mwaka 1971! Na hata kama alichelewa shule basi atakuwa alizaliwa 1974.

Udanganyifu wa umri uliwakumba wengi sana wakati wa uchaguzi wa vyeo vya juu vya NEC na UVCCM kwa kuwa wengi tulivitolea macho miaka mitano kabla ya hii lakini tulikuwa vyuoni na hivyo muda mdogo wa kujiandaa na zaidi ya yote tusingeweza kumudu gharama za pilika pilika za uchaguzi na hivyo wengi tukapania huu msimu wa 2007/2008...ulipofika wajanja wakawa wameishatu-taimu wakabana kwenye kanuni kigezo cha umri...sasa wengine tulikubali matokeo, wengine hawakukubali - wakaamua kujiingiza kwenye mchakato wa kuvunja maadili kwa kudanganya umri. Tayari leo limem-cost Masauni future yake na bado wengine wasubiri arobaini yao...
 
Si yeye na Masauni tu ambao ni vibabu ndani ya UVCCM wapo wengi tu...More to hear b4 October....
 
kama alianza shule mwaka 1984, na kwa kuwa ni mtoto wa kiume, basi alizaliwa mwaka 1975/76 na kuna uwezekano mdogo sana kuwa alizaliwa mwaka 1971! Na hata kama alichelewa shule basi atakuwa alizaliwa 1974.

Udanganyifu wa umri uliwakumba wengi sana wakati wa uchaguzi wa vyeo vya juu vya NEC na UVCCM kwa kuwa wengi tulivitolea macho miaka mitano kabla ya hii lakini tulikuwa vyuoni na hivyo muda mdogo wa kujiandaa na zaidi ya yote tusingeweza kumudu gharama za pilika pilika za uchaguzi na hivyo wengi tukapania huu msimu wa 2007/2008...ulipofika wajanja wakawa wameishatu-taimu wakabana kwenye kanuni kigezo cha umri...sasa wengine tulikubali matokeo, wengine hawakukubali - wakaamua kujiingiza kwenye mchakato wa kuvunja maadili kwa kudanganya umri. Tayari leo limem-cost Masauni future yake na bado wengine wasubiri arobaini yao...

Dakitari nshkuru umeiweka vizuri hii mada!!!

it just shows that something needs to be done

DN
 
Tatizo la baadhi ya viongozi wa umoja wa vijana wa CCM (UVCCM) kudanganya umri wao Limeendelea kutafuna Umoja huo.

Katika tukio la karibuni ,mjumbe wa NEC kupitia UVCCM Edwin Sanda amefanya udanganyifu wa Umri, Sanda anadaiwa kufanya udanganyifu katika kutaja umri wake kwenye mkutano mkuu wa CCM uliofanyika mwaka 2007 Dodoma.

Katika mkutano huo sanda akigombea ujumbe wa NEC kupitia UVCCM Alidai ana umri wa miaka 30, Lakini ukweli ni kwamba amevuka hapo kwani alikuwa na umri wa miaka 36

Historical Background yake hii hapa:

- Birth 1971
- Primary Education 1984 up to 1990 at Mbuyuni primary School
- Secondary Education Moshi Secondary School (OLD MOSHI) 1991 up to 1994
- A level Education Azania Secondary School 1995 up to 1997

Naomba Kuwasilisha
Ogwalu Mapesa;

hii ni taarifa muhimu sana na itasaidia baadhi ya watu [ambao naamini wanaifanyia kazi]

Tatizo ni moja tu, nina wasiwasi kidogo na jinsi habari ilivyokaa... its either iko kama zile nyingine ambazo mods wanazipiga chini baada ya kukosa mashiko, au zile ambazo ni siasa za majitaka au pia ni chuki binafsi

lakini pia inawezekana kabisa kuna kitu... wasiwasi wangu ni mmoja tu... consistency ya hiyo taarifa!!!! its either wewe unayoyafahamu, au aliyekupa au basi huyo aliyekuletea hii taarifa

tusije kuharibu kila thread ya wagombea kama tulivyoiharibu ile ya hamisi na selelii au zile za kyela nk. maana naona hapo hapo imeingia hoja ya zabeni na nyanganyi humohumo UVCCM na humohumo tena NEC
 
Ogwalu Mapesa;

hii ni taarifa muhimu sana na itasaidia baadhi ya watu [ambao naamini wanaifanyia kazi]

Tatizo ni moja tu, nina wasiwasi kidogo na jinsi habari ilivyokaa... its either iko kama zile nyingine ambazo mods wanazipiga chini baada ya kukosa mashiko, au zile ambazo ni siasa za majitaka au pia ni chuki binafsi

lakini pia inawezekana kabisa kuna kitu... wasiwasi wangu ni mmoja tu... consistency ya hiyo taarifa!!!! its either wewe unayoyafahamu, au aliyekupa au basi huyo aliyekuletea hii taarifa

tusije kuharibu kila thread ya wagombea kama tulivyoiharibu ile ya hamisi na selelii au zile za kyela nk. maana naona hapo hapo imeingia hoja ya zabeni na nyanganyi humohumo UVCCM na humohumo tena NEC

mkuu lenovo
mimi nina uhakika na hii taarifa ya Ogwalu, mimi nimesoma na wadogo zake Edwin (Sonia na kijuu Edmund) ambaye wanamfata mara ya pili na tatu na wamezaliwa 1973 na 75 respectively
 
Tatizo la baadhi ya viongozi wa umoja wa vijana wa CCM (UVCCM) kudanganya umri wao Limeendelea kutafuna Umoja huo.

Katika tukio la karibuni ,mjumbe wa NEC kupitia UVCCM Edwin Sanda amefanya udanganyifu wa Umri, Sanda anadaiwa kufanya udanganyifu katika kutaja umri wake kwenye mkutano mkuu wa CCM uliofanyika mwaka 2007 Dodoma.

Katika mkutano huo sanda akigombea ujumbe wa NEC kupitia UVCCM Alidai ana umri wa miaka 30, Lakini ukweli ni kwamba amevuka hapo kwani alikuwa na umri wa miaka 36

Historical Background yake hii hapa:

- Birth 1971
- Primary Education 1984 up to 1990 at Mbuyuni primary School
- Secondary Education Moshi Secondary School (OLD MOSHI) 1991 up to 1994
- A level Education Azania Secondary School 1995 up to 1997

Naomba Kuwasilisha

Let me tell you one thing my fellows

Wakati unapoenda kuchukua form ni lazima muhusika wa kitengo hicho akuelimishe mlolongo mzima kuhusu hicho unachotaka kukigombea sasa kwa mfano unamkuta Katibu wa wilaya CCM eneo husika yeye atakuuliza una umli ganai na atakuambia nafasi zilizo tangazwa na mambo mengine zaidi sasa mchezo mchafu unakuja pale tu Umri wako unapozidi na mara ngingi hawakuelezei tu kuwa umri gani ni strickly kwa cheo fulani mfn M/K UVCCM ni only 30yrs na labda kuwa mjumbe its oky usizidi 35yrs hiii yote wagombea waweza unakuta hawaambiwi ni wanaambia usizidi 30yrs sasa hapo mwategemea nini na unakuta huyo mgombea wanamwitaji katika kiti hicho ni lazima tu wanaghushi Umri.

Nakuambia viongozi wetu waliopewa madaraka na wanashindwa kuyatumia vyema na kupindisha sheria tuuu na wakuta ni sauti toka kwa wakuuu wao wa kazi sasa wategemea nini na hongo kubwa kubwa na kuambiwa lazima fulani apite hata kama wajumbe wa chama hicho husika kutoka katika mashina na kata hwamtaki kura zita pindishwa upside down,

Mimi lawama zangu ni kwa wahusika wano toa hizo fomu bila maelekeze na kuulaani uongozi wa kupitia amri ya mtu inawafanya hao makatibu kutotenda kazi zao vyema na olewako katibu ukiwa mbishi unatupwa huko mafinga kijijini kukukomoa sasa hii sio SIASA SAFI ni SIASA CHAFU

 
mkuu lenovo
mimi nina uhakika na hii taarifa ya Ogwalu, mimi nimesoma na wadogo zake Edwin (Sonia na kijuu Edmund) ambaye wanamfata mara ya pili na tatu na wamezaliwa 1973 na 75 respectively

Hao wadogo zake umesoma nao lini? Inawezekana kabisa hii habari ikawa na ukweli lakini hilo la kwamba alianza darasa la kwanza akiwa na miaka 13 tena jijini Dar haliwezi kuwa sahihi.

Wekeni vizuri data, kama huyo kaka mtu alianza shule 1984, je hao uliosoma nao walianza lini?

Hili tatizo lililetwa na akina Nchimbi ambao waliamua kutumia suala la umri ili kuwakomoa vijana wenzao waliokuwa wanafuata nyuma. Na Watanzania kwenye maadili ni sifuri, hao vijana wakaona njia ni ku forge miaka na madhara wote tunayaona.
 
Mimi sioni kitu cha ajabu kwa watu wa ccm kudanganya umri wao! Hawa jamaa katika chama chao hivi sasa swala la intergrity halipo kabisa na ndio maana hata mwenye kiti wao ambae ndio Rais wa nchi anadiliki hata kuteua mawaziri na wakuu wa mikoa ambao inajulikana kuwa wana shahada za kugushi!! Viongozi wao ndio vinara wa uhalifu.
 
Hizi data ni za kweli. Tufanye utafiti kwanza, mimi huyu bwana namfahamu sana na ni rafiki yangu. Umri wake kweli sijui lakini kwa hili itabidi nifuatilie
 
Edwin Sanda alisoma Azania O-Level kuanzia 1987 - 1990. Anayetaka uthibitisho afike pale Azania Sec School akatazame graduating class ya form IV mwaka 1990, lazima atakuta jina lake. Wenzake aliomaliza nao mwaka mmoja ni pamoja na akina Gerald Hando wa Clouds FM.

Ila umri tusifanye issue, Edwin ana uwezo wa kuongoza. Tatizo era hii bongo huwezi kijana kupenya kwa kufuata taratibu zilizopo ndani ya chama, so lazima mbinu za mwituni zitumike.
 
kama ni kweli basi atakuwa ameongezea kuhusu fact kwamba suala la kugusa age ni sugu hapa nchini!
 
Hili tatizo lililetwa na akina Nchimbi ambao waliamua kutumia suala la umri ili kuwakomoa vijana wenzao waliokuwa wanafuata nyuma. .

Jamani msimsingizie Nchimbi wa watu maana hili wala halikuwa lake, yeye alitekeleza maagizo tu tena kwa shingo upande.

Omarilyas
 
Hizi data ni za kweli. Tufanye utafiti kwanza, mimi huyu bwana namfahamu sana na ni rafiki yangu. Umri wake kweli sijui lakini kwa hili itabidi nifuatilie

Zipi? za taehe ya kuzaliwa au shule. Umri wa kuanza ahule miaka 13 Dar watia shaka. Si vema kutupiana madongo kiasi hiki.
 
Back
Top Bottom