GE2025 Mjumbe wa Kigoma Mjini alia na matokeo ya ubunge

GE2025 Mjumbe wa Kigoma Mjini alia na matokeo ya ubunge

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Walioko madarakani hawana msaada na sisi ndio maana tulitamani kubadilisha mfumo aingie baba levo,Kwenye kura Baba levo amaeshinda ila kilichofanyika ni wizi"

Mmoja kati ya Wajumbe waliopiga kura za maoni jana amezungumza na vyombo vya habari na kuelezea jinsi gani anajiskia baada ya Baba levo kushika nafasi ya pili kwenye kura za maoni.

 
Safari hii tumewaacha mcheze wenyewe uwanjani endeleeni kuuwana......kama wenyewe Kwa wenyewe mnaishi Kwa style hiyo itakuaje Kwa wapinzani?
 
Back
Top Bottom