Mjumbe Hauawi. Mahabusu watuma salaam kwa Magufuli. "Asante ila usitubague!" Magereza zalipuka kwa shangwe, vifijo na vigelegele kumshangilia JPM

Wanabodi
Hapa mimi ni mjumbe tuu na mjumbe hauwawi, hizi ni Salaam bona-fide na genuine za mahabusu kwa rais Magufuli.

Baada ya tangazo la Rais Magufuli la msamaha kwa watuhumiwa wa ufisadi la juzi Jumapili, jana asubuhi nimetembelea gereza fulani kuwasalamia jamaa zangu fulani ambao wako ndani huu mwaka wa 4 kwa kesi ya utakatishaji fedha, ili kwenda kuwapa habari njema ya Rais Magufuli kuwasamehe kwa lengo la kuwashauri wakiri tuu makosa hata kama wamesingiziwa tuu, na wakubali tuu kulipa hayo mabilioni hata kama hawana, ndugu tutachangishana na kama ni kuuza nyumba zetu, mashamba yetu na mali zetu alimradi wapendwa wetu wawe huru.

Kufika tuu ile kuwaona, japo hata msamaha bado, lakini tayari sura zimeanza kutabasamu kwa tabasamu la matumaini ya kuwa huru tena, kwa sababu kikawaida ziara za magerezani ni ziara za huzuni huzuni, this time ilikuwa ni ziara ya furaha na matumaini. Kiukweli Rais Magufuli atabarikiwa sana kuleta tumaini kwa watu kama hawa kwa sababu wengine tayari walikuwa na sura za kukata tamaa kabisa.

Kwa vile ni mwanahabari, nikajiona mjanja kuwahi kupeleka habari hiyo njema kwa watu wote, ile kukaa, badala ya mimi kutoa habari, mimi sasa ndio napewa habari!.

"Bwana Paskali, najua umekuja leo mapema hivi asubuhi kwa sababu ya lile tangazo la jana la rais Magufuli, hapa sisi wenyewe tumelisikia na kutazama live TBC, baada tuu ya Tangazo lile, geraza zima lililipuka kwa shangwe, vifijo na vigelegele kumshangilia rais Magufuli kwa huruma yake"
Nilielezwa.

Ndipo nikauliza kumbe magerezani siku hizi kuna mpaka TV!. Kumbe siku hizi wafungwa na mahabusu wanaruhusiwa kuangalia TV?. Kiukweli tumepiga hatua, japo sikuuliza mahabusu wanalala wapi, maana najua tuu watakuwa bado wanalala chini, au sikuuliza wanajisaidia wapi, maana najua watakuwa bado wana... debe.

Kumbe maboresho ya jela zetu sio tuu kutoka karandinga hadi mabasi ya hadhi, na nguo za madurufu hadi cotton za orange, bali magerezani kumbe siku hizi ni hadi TV!. Haya ni maendeleo makubwa.

Nikafanya majadiliano na jamaa yangu kuhusu taking advantage of this golden opportunity, akanimbia kiukweli yeye amesingiziwa tuu, kuukubali msamaha wa rais Magufuli, ni kukubali kosa ambalo sio la kweli, na after all the amount anayotuhumiwa nayo ni too substantial ambayo hawezi kui raise in his remaining life time, hivyo bora aendelee kuvumilia tuu mateso hadi haki itendeke, na isipotendeka, yuko tayari kufia jela halafu karma itamlipia.

Kiukweli nilimshauri, such an opportunity ni golden opportunity, comes once in blue moon, what is haki compared freedom, or what is money compared to his liberty?.

Nikamtolea mfano wa January Makamba, kwenye ile sauti kwa mlioisikia, ametukana wapi?. Kama waziri mzima, mbunge mzima, amekosewa kwa kudukuliwa na hajatukana chochote lakini kutumbuliwa na kuomba msamaha, what about him?. Nimemshauri, na huu ni ushauri kwa wana jf wote wenye ndugu watuhumiwa, washaurini ndugu zenu waandike barua za kuomba msamaha hata kama hawajakosa au wamesingiziwa, waombe tuu msamaha na kuahidi kulipa, kwani pesa ni nini compared, tutachangishana kulipa, barua iandikwe, msamaha uombwe, kwa sababu usipoandika barua, kutake advantage ya msamaha huu, kwa hoja ya kutafuta haki, huwezi kujua itachukua muda gani kuipata hiyo haki, nikitolea mfano yule wakili Medium Mwale wa Arusha, amekaa mahabusu miaka 8 hadi uchunguzi kukamilika, kesi ikasikilizwa kwa siku moja tuu, akakiri makosa na kuhukumiwa kulipa faini, akalipa, akatoka, unaweza kulinganisha angekubali kosa, hiyo miaka 8 gerezani angefanya mambo mangapi tena fani yenyewe ni uwakili?.

Pia mahabusu wengine ambao siwajui ila kwa kuniona zamani nilikuwa Mtangazaji wa TV hivyo wao wananijua, wakanituma niwafikishie salaam zao kwa rais Magufuli kuwa wanamshukuru sana, wanampenda sana, na kuna mmoja akaahidi siku ya kutoka, breki ya kwanza ni geti la Ikulu kumshukuru kwanza rais Magufuli, ndipo aende nyumbani kujiunga na familia yake.

Mahabusu wengine nao wakatuma maombi yao kwa rais Magufuli kuomba msamaha huo uwe extended kwa mahabusu wote wa kesi zote hadi mwizi wa kuku kuwa yuko tayari hata kulipa kuku wawili kwa hoja kuwa watuhumiwa wote ni Watanzania na binadamu wote ni sawa, hivyo kama sasa haki
inanunuliwa kwa pesa, na msamaha huo ni watuhumiwa wa uhujumu uchumi na utakatishaji fedha ambazo ni watu wazito na kiwango cha fedha ni fedha nyingi, wanaomba jicho la huruma ya rais Magufuli pia lielekezwe kwa watuhumiwa masikini na wa makosa yote ikiwemo makosa ya wizi, warudishe kile walichoiba akiwemo mwizi wa kuku, nao pia waununua uhuru wao wawe huru kuja kulijenga taifa, tena you can just imagine, baada ya msamaha huu wa rais Magufuli, unajua kabisa kura zao watampigia nani!.

Salaam kutoka kwa mahabusu wa kesi za ukwepaji kodi, wao wameomba huruma ya rais Magufuli, wasemehewe tuu hilo deni la kodi na hawatakwepa tena. Mahabusu mmoja akasema "kama serikali yetu imeweza kuwasamehe wale wazungu wa Acacia lile deni la kodi ya dola bilioni 190 ya Noah zetu, serikali hii inashindwaje kuwasamehe Watanzania wazawa na wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao walikwepa kodi kutokana na kubana kwa vyuma?".

Mjumbe hauwawi, kama rais Magufuli, kufuatia upendo wake kwa raia wake, na huruma yake kwa Watanzania wanaoteseka magerezan kwa kusubiria kutendewa haki, then haki hiyo itendeke kwa wote, sio mafisadi tuu, wahujumu na watakatishaji fedha, bali watuhumiwa wote bila ubaguzi, hata wenye tuhuma za mauaji, tuwapelekee pale wale wazee wa Gambosh, jamaa wakiri waliua na kuahidi kurudisha uhai wa waliokufa kwa msaada wa wazee wa Gambosh, nao wafutiwe kesi, mwizi wa kuku arudishe kuku, etc, Binadamu wote ni sawa na Tanzania ni moja.

Mungu Mbariki Rais Magufuli huruma yake pia iwaangazie watuhumiwa wengine.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Bro Pascal, wewe ni mwandishi mzuri na nguli ! Mimi nashauri uandike kitabu (riwaya) kama vya akina Shafi Adam Shafi au Shaaban Robert , prof. Ngugi wa Thion'go au prof. Wole Soyinka na uuze mtandaoni bro ! Utapiga hela sana ! Yaani mafumbo yako ni hatari sana bro, uko vizuri mno !!! Ushauri tuu ! Tafuta theme moja iandikie kaka yangu, yawezekana labda umeanza. Au hata uwe columnist kwenye magazeti makubwa kama alivyo kuwa marehemu prof. Abdulrahman Mohamed Babu kwenye Africa Now magazine enzi hizo !
 
Wanabodi
Hapa mimi ni mjumbe tuu na mjumbe hauwawi, hizi ni Salaam bona-fide na genuine za mahabusu kwa rais Magufuli.

Baada ya tangazo la Rais Magufuli la msamaha kwa watuhumiwa wa ufisadi la juzi Jumapili, jana asubuhi nimetembelea gereza fulani kuwasalamia jamaa zangu fulani ambao wako ndani huu mwaka wa 4 kwa kesi ya utakatishaji fedha, ili kwenda kuwapa habari njema ya Rais Magufuli kuwasamehe kwa lengo la kuwashauri wakiri tuu makosa hata kama wamesingiziwa tuu, na wakubali tuu kulipa hayo mabilioni hata kama hawana, ndugu tutachangishana na kama ni kuuza nyumba zetu, mashamba yetu na mali zetu alimradi wapendwa wetu wawe huru.

Kufika tuu ile kuwaona, japo hata msamaha bado, lakini tayari sura zimeanza kutabasamu kwa tabasamu la matumaini ya kuwa huru tena, kwa sababu kikawaida ziara za magerezani ni ziara za huzuni huzuni, this time ilikuwa ni ziara ya furaha na matumaini. Kiukweli Rais Magufuli atabarikiwa sana kuleta tumaini kwa watu kama hawa kwa sababu wengine tayari walikuwa na sura za kukata tamaa kabisa.

Kwa vile ni mwanahabari, nikajiona mjanja kuwahi kupeleka habari hiyo njema kwa watu wote, ile kukaa, badala ya mimi kutoa habari, mimi sasa ndio napewa habari!.

"Bwana Paskali, najua umekuja leo mapema hivi asubuhi kwa sababu ya lile tangazo la jana la rais Magufuli, hapa sisi wenyewe tumelisikia na kutazama live TBC, baada tuu ya Tangazo lile, geraza zima lililipuka kwa shangwe, vifijo na vigelegele kumshangilia rais Magufuli kwa huruma yake"
Nilielezwa.

Ndipo nikauliza kumbe magerezani siku hizi kuna mpaka TV!. Kumbe siku hizi wafungwa na mahabusu wanaruhusiwa kuangalia TV?. Kiukweli tumepiga hatua, japo sikuuliza mahabusu wanalala wapi, maana najua tuu watakuwa bado wanalala chini, au sikuuliza wanajisaidia wapi, maana najua watakuwa bado wana... debe.

Kumbe maboresho ya jela zetu sio tuu kutoka karandinga hadi mabasi ya hadhi, na nguo za madurufu hadi cotton za orange, bali magerezani kumbe siku hizi ni hadi TV!. Haya ni maendeleo makubwa.

Nikafanya majadiliano na jamaa yangu kuhusu taking advantage of this golden opportunity, akanimbia kiukweli yeye amesingiziwa tuu, kuukubali msamaha wa rais Magufuli, ni kukubali kosa ambalo sio la kweli, na after all the amount anayotuhumiwa nayo ni too substantial ambayo hawezi kui raise in his remaining life time, hivyo bora aendelee kuvumilia tuu mateso hadi haki itendeke, na isipotendeka, yuko tayari kufia jela halafu karma itamlipia.

Kiukweli nilimshauri, such an opportunity ni golden opportunity, comes once in blue moon, what is haki compared freedom, or what is money compared to his liberty?.

Nikamtolea mfano wa January Makamba, kwenye ile sauti kwa mlioisikia, ametukana wapi?. Kama waziri mzima, mbunge mzima, amekosewa kwa kudukuliwa na hajatukana chochote lakini kutumbuliwa na kuomba msamaha, what about him?. Nimemshauri, na huu ni ushauri kwa wana jf wote wenye ndugu watuhumiwa, washaurini ndugu zenu waandike barua za kuomba msamaha hata kama hawajakosa au wamesingiziwa, waombe tuu msamaha na kuahidi kulipa, kwani pesa ni nini compared, tutachangishana kulipa, barua iandikwe, msamaha uombwe, kwa sababu usipoandika barua, kutake advantage ya msamaha huu, kwa hoja ya kutafuta haki, huwezi kujua itachukua muda gani kuipata hiyo haki, nikitolea mfano yule wakili Medium Mwale wa Arusha, amekaa mahabusu miaka 8 hadi uchunguzi kukamilika, kesi ikasikilizwa kwa siku moja tuu, akakiri makosa na kuhukumiwa kulipa faini, akalipa, akatoka, unaweza kulinganisha angekubali kosa, hiyo miaka 8 gerezani angefanya mambo mangapi tena fani yenyewe ni uwakili?.

Pia mahabusu wengine ambao siwajui ila kwa kuniona zamani nilikuwa Mtangazaji wa TV hivyo wao wananijua, wakanituma niwafikishie salaam zao kwa rais Magufuli kuwa wanamshukuru sana, wanampenda sana, na kuna mmoja akaahidi siku ya kutoka, breki ya kwanza ni geti la Ikulu kumshukuru kwanza rais Magufuli, ndipo aende nyumbani kujiunga na familia yake.

Mahabusu wengine nao wakatuma maombi yao kwa rais Magufuli kuomba msamaha huo uwe extended kwa mahabusu wote wa kesi zote hadi mwizi wa kuku kuwa yuko tayari hata kulipa kuku wawili kwa hoja kuwa watuhumiwa wote ni Watanzania na binadamu wote ni sawa, hivyo kama sasa haki
inanunuliwa kwa pesa, na msamaha huo ni watuhumiwa wa uhujumu uchumi na utakatishaji fedha ambazo ni watu wazito na kiwango cha fedha ni fedha nyingi, wanaomba jicho la huruma ya rais Magufuli pia lielekezwe kwa watuhumiwa masikini na wa makosa yote ikiwemo makosa ya wizi, warudishe kile walichoiba akiwemo mwizi wa kuku, nao pia waununua uhuru wao wawe huru kuja kulijenga taifa, tena you can just imagine, baada ya msamaha huu wa rais Magufuli, unajua kabisa kura zao watampigia nani!.

Salaam kutoka kwa mahabusu wa kesi za ukwepaji kodi, wao wameomba huruma ya rais Magufuli, wasemehewe tuu hilo deni la kodi na hawatakwepa tena. Mahabusu mmoja akasema "kama serikali yetu imeweza kuwasamehe wale wazungu wa Acacia lile deni la kodi ya dola bilioni 190 ya Noah zetu, serikali hii inashindwaje kuwasamehe Watanzania wazawa na wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao walikwepa kodi kutokana na kubana kwa vyuma?".

Mjumbe hauwawi, kama rais Magufuli, kufuatia upendo wake kwa raia wake, na huruma yake kwa Watanzania wanaoteseka magerezan kwa kusubiria kutendewa haki, then haki hiyo itendeke kwa wote, sio mafisadi tuu, wahujumu na watakatishaji fedha, bali watuhumiwa wote bila ubaguzi, hata wenye tuhuma za mauaji, tuwapelekee pale wale wazee wa Gambosh, jamaa wakiri waliua na kuahidi kurudisha uhai wa waliokufa kwa msaada wa wazee wa Gambosh, nao wafutiwe kesi, mwizi wa kuku arudishe kuku, etc, Binadamu wote ni sawa na Tanzania ni moja.

Mungu Mbariki Rais Magufuli huruma yake pia iwaangazie watuhumiwa wengine.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Nimekuelewa vzr sana brother MAYALLA
 
Kwa hili simlaumu Mheshimiwa Rais kwani yeye si mwanasheria, ila nawashangaa hawa wanasheria wetu nguli kwanini hawawezi kumuelewesha Rais kuwa hili haliwezekani kwa sababu mwenye wajibu wa kuprove mshitakiwa ana kosa ni waendesha mashitaka na kwa kukaa kipindi chote kirefu bila kupata ushahidi maana yake mtuhumiwa hana hatia. Sasa anatakiwa kukiri kosa gani ambalo halijathibitika mahakamani? Nilitegemea wataalamu wa sheria wangemwambia Rais process ya kimahakama iharakishwe ili hawa watuhumiwa wathibitike kuwa wana makosa ndipo washauriwe kuomba msamaha na kulipa cho chote wanachodaiwa.
Kwa kuruhusu hili likatekelezwa lilivyo basi tutegemee wengi kufunguliwa mashitaka ya uhujumu uchumi halafu wakalazimishwa kuomba msamaha na kulipa pesa. Na hili linaweza kuwapata hata ninyi wanasheria mnaofikiri mko salama leo. Ni kiasi cha kuchungulia kwenye akaunti za benki za mtu fulani na kumfungulia shitaka la uhujumu uchumi bila uthibitisho halafu ukatolewa msamaha wa aina hii - na kwa ajili ya kuwa huru mtu atatoa ili aachiwe lakini ni unyang'anyi wa kidola kwa kweli.
DPP hapa unavuliwa nguo kuwa umeshindwa kutafuta ushahidi wa kuthibitisha mashitaka yako kwa watu hawa, na sasa unatumika kuwadhulumu haki yao watuhumiwa tena kwa kuwatisha kuwa wasipoomba msamaha watakaa milele mahabusu.
Jamani tumwogope Mungu!
 
P
Wanabodi
Hapa mimi ni mjumbe tuu na mjumbe hauwawi, hizi ni Salaam bona-fide na genuine za mahabusu kwa rais Magufuli.

Baada ya tangazo la Rais Magufuli la msamaha kwa watuhumiwa wa ufisadi la juzi Jumapili, jana asubuhi nimetembelea gereza fulani kuwasalamia jamaa zangu fulani ambao wako ndani huu mwaka wa 4 kwa kesi ya utakatishaji fedha, ili kwenda kuwapa habari njema ya Rais Magufuli kuwasamehe kwa lengo la kuwashauri wakiri tuu makosa hata kama wamesingiziwa tuu, na wakubali tuu kulipa hayo mabilioni hata kama hawana, ndugu tutachangishana na kama ni kuuza nyumba zetu, mashamba yetu na mali zetu alimradi wapendwa wetu wawe huru.

Kufika tuu ile kuwaona, japo hata msamaha bado, lakini tayari sura zimeanza kutabasamu kwa tabasamu la matumaini ya kuwa huru tena, kwa sababu kikawaida ziara za magerezani ni ziara za huzuni huzuni, this time ilikuwa ni ziara ya furaha na matumaini. Kiukweli Rais Magufuli atabarikiwa sana kuleta tumaini kwa watu kama hawa kwa sababu wengine tayari walikuwa na sura za kukata tamaa kabisa.

Kwa vile ni mwanahabari, nikajiona mjanja kuwahi kupeleka habari hiyo njema kwa watu wote, ile kukaa, badala ya mimi kutoa habari, mimi sasa ndio napewa habari!.

"Bwana Paskali, najua umekuja leo mapema hivi asubuhi kwa sababu ya lile tangazo la jana la rais Magufuli, hapa sisi wenyewe tumelisikia na kutazama live TBC, baada tuu ya Tangazo lile, geraza zima lililipuka kwa shangwe, vifijo na vigelegele kumshangilia rais Magufuli kwa huruma yake"
Nilielezwa.

Ndipo nikauliza kumbe magerezani siku hizi kuna mpaka TV!. Kumbe siku hizi wafungwa na mahabusu wanaruhusiwa kuangalia TV?. Kiukweli tumepiga hatua, japo sikuuliza mahabusu wanalala wapi, maana najua tuu watakuwa bado wanalala chini, au sikuuliza wanajisaidia wapi, maana najua watakuwa bado wana... debe.

Kumbe maboresho ya jela zetu sio tuu kutoka karandinga hadi mabasi ya hadhi, na nguo za madurufu hadi cotton za orange, bali magerezani kumbe siku hizi ni hadi TV!. Haya ni maendeleo makubwa.

Nikafanya majadiliano na jamaa yangu kuhusu taking advantage of this golden opportunity, akanimbia kiukweli yeye amesingiziwa tuu, kuukubali msamaha wa rais Magufuli, ni kukubali kosa ambalo sio la kweli, na after all the amount anayotuhumiwa nayo ni too substantial ambayo hawezi kui raise in his remaining life time, hivyo bora aendelee kuvumilia tuu mateso hadi haki itendeke, na isipotendeka, yuko tayari kufia jela halafu karma itamlipia.

Kiukweli nilimshauri, such an opportunity ni golden opportunity, comes once in blue moon, what is haki compared freedom, or what is money compared to his liberty?.

Nikamtolea mfano wa January Makamba, kwenye ile sauti kwa mlioisikia, ametukana wapi?. Kama waziri mzima, mbunge mzima, amekosewa kwa kudukuliwa na hajatukana chochote lakini kutumbuliwa na kuomba msamaha, what about him?. Nimemshauri, na huu ni ushauri kwa wana jf wote wenye ndugu watuhumiwa, washaurini ndugu zenu waandike barua za kuomba msamaha hata kama hawajakosa au wamesingiziwa, waombe tuu msamaha na kuahidi kulipa, kwani pesa ni nini compared, tutachangishana kulipa, barua iandikwe, msamaha uombwe, kwa sababu usipoandika barua, kutake advantage ya msamaha huu, kwa hoja ya kutafuta haki, huwezi kujua itachukua muda gani kuipata hiyo haki, nikitolea mfano yule wakili Medium Mwale wa Arusha, amekaa mahabusu miaka 8 hadi uchunguzi kukamilika, kesi ikasikilizwa kwa siku moja tuu, akakiri makosa na kuhukumiwa kulipa faini, akalipa, akatoka, unaweza kulinganisha angekubali kosa, hiyo miaka 8 gerezani angefanya mambo mangapi tena fani yenyewe ni uwakili?.

Pia mahabusu wengine ambao siwajui ila kwa kuniona zamani nilikuwa Mtangazaji wa TV hivyo wao wananijua, wakanituma niwafikishie salaam zao kwa rais Magufuli kuwa wanamshukuru sana, wanampenda sana, na kuna mmoja akaahidi siku ya kutoka, breki ya kwanza ni geti la Ikulu kumshukuru kwanza rais Magufuli, ndipo aende nyumbani kujiunga na familia yake.

Mahabusu wengine nao wakatuma maombi yao kwa rais Magufuli kuomba msamaha huo uwe extended kwa mahabusu wote wa kesi zote hadi mwizi wa kuku kuwa yuko tayari hata kulipa kuku wawili kwa hoja kuwa watuhumiwa wote ni Watanzania na binadamu wote ni sawa, hivyo kama sasa haki
inanunuliwa kwa pesa, na msamaha huo ni watuhumiwa wa uhujumu uchumi na utakatishaji fedha ambazo ni watu wazito na kiwango cha fedha ni fedha nyingi, wanaomba jicho la huruma ya rais Magufuli pia lielekezwe kwa watuhumiwa masikini na wa makosa yote ikiwemo makosa ya wizi, warudishe kile walichoiba akiwemo mwizi wa kuku, nao pia waununua uhuru wao wawe huru kuja kulijenga taifa, tena you can just imagine, baada ya msamaha huu wa rais Magufuli, unajua kabisa kura zao watampigia nani!.

Salaam kutoka kwa mahabusu wa kesi za ukwepaji kodi, wao wameomba huruma ya rais Magufuli, wasemehewe tuu hilo deni la kodi na hawatakwepa tena. Mahabusu mmoja akasema "kama serikali yetu imeweza kuwasamehe wale wazungu wa Acacia lile deni la kodi ya dola bilioni 190 ya Noah zetu, serikali hii inashindwaje kuwasamehe Watanzania wazawa na wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao walikwepa kodi kutokana na kubana kwa vyuma?".

Mjumbe hauwawi, kama rais Magufuli, kufuatia upendo wake kwa raia wake, na huruma yake kwa Watanzania wanaoteseka magerezan kwa kusubiria kutendewa haki, then haki hiyo itendeke kwa wote, sio mafisadi tuu, wahujumu na watakatishaji fedha, bali watuhumiwa wote bila ubaguzi, hata wenye tuhuma za mauaji, tuwapelekee pale wale wazee wa Gambosh, jamaa wakiri waliua na kuahidi kurudisha uhai wa waliokufa kwa msaada wa wazee wa Gambosh, nao wafutiwe kesi, mwizi wa kuku arudishe kuku, etc, Binadamu wote ni sawa na Tanzania ni moja.

Mungu Mbariki Rais Magufuli huruma yake pia iwaangazie watuhumiwa wengine.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
P bandiko lakoi hili ni kwa tabia zako kama mwandishi sio,lakini kwa tabia zako kama Mwanasheria ndio na upofu mkubwa wa tabia za Wanasheria mlio wengi wa Kibongo kupenda mambo ya Kiharifu na si sutaarabu wa kutafuta majwabiu ya matatizo ya Umma,Kitabia ya tabia ya Wanasheria wa Kibogo ni tabia ya KUKUZA [Exaggeration ya matatizo ili yazidi kuwa Matatizo, badala ya kuwa sehemu ya Utatuzi wa tatizo uwa mnasisimukwa na tabia ya kukuza wigo wa tatizo na kufurahia kuendesha maisha kupitia mfumoo wa kukuza mambo katika mtiririko wa matatizo.

Sasa nachokiona kwenye andiko ni extension ya tatizo wakati dhamila ya jambo siyo ambayo jamii imepokea.Tulitegemea UJENGE HOJA YA KUITAFUTA HAKI, BALI WEWE NA WENZIO MNACHOFANYA NI KUSHADADIA UDANGANYIFU WA KUVUNJA SHERIA KWA WIGO YA KUTUMIA DHAMILA YA NIA NJEMA KWA MATAKWA YA NJIA YA MATUMIZI YA UOVU.
Sijapenda bandiko lako kwa kuw LINA ADVOCATE UCHONGANISHI ambao sio lengo na matakwa ya PRESIDENTIAL WILL ya kujaribu kupunguza Matatizo ya Jamii kwa nia njema ambayo kwa Sheria HALISI zilizopo na zile zilizorekebisha zinatoa uhalali wa kinachofanyika,:Lakini wewe unachotaka tuadvoacate ni uchonganishi usio na msingi wa Ustaarbu wa jamii
 
Wale ambao watashindwa kukiri Makosa ya Money laundering na Uhujumu Uchumi kwa kuwa hawakufanya kweli hayo Makosa nao wanatakiwa kuomba radhi?

Kuna Uwezekano Mahabusu wakabaki wale waadilifu walioshindwa kukiri kosa na kulipa pesa kwa kuwa hawana pesa na Makosa yalibambikiwa kweli
Serikali ina taarifa muhimu kuliko unavyofikiri, waliobambikwa inawajua, wezi ambao hawajasingiziwa kwa maana ya wahujumu uchumi inawajua pia.

Nikwambie tu zoezi hili si LA kukurupuka, Lina lengo makini sana kwa taifa, wachache watanielewa.

Rais Magufuli alichotamka kimemfikia kitambo yeye alikiweka hadharani tu
 
Wanabodi
Hapa mimi ni mjumbe tuu na mjumbe hauwawi, hizi ni Salaam bona-fide na genuine za mahabusu kwa rais Magufuli.

Baada ya tangazo la Rais Magufuli la msamaha kwa watuhumiwa wa ufisadi la juzi Jumapili, jana asubuhi nimetembelea gereza fulani kuwasalamia jamaa zangu fulani ambao wako ndani huu mwaka wa 4 kwa kesi ya utakatishaji fedha, ili kwenda kuwapa habari njema ya Rais Magufuli kuwasamehe kwa lengo la kuwashauri wakiri tuu makosa hata kama wamesingiziwa tuu, na wakubali tuu kulipa hayo mabilioni hata kama hawana, ndugu tutachangishana na kama ni kuuza nyumba zetu, mashamba yetu na mali zetu alimradi wapendwa wetu wawe huru.

Kufika tuu ile kuwaona, japo hata msamaha bado, lakini tayari sura zimeanza kutabasamu kwa tabasamu la matumaini ya kuwa huru tena, kwa sababu kikawaida ziara za magerezani ni ziara za huzuni huzuni, this time ilikuwa ni ziara ya furaha na matumaini. Kiukweli Rais Magufuli atabarikiwa sana kuleta tumaini kwa watu kama hawa kwa sababu wengine tayari walikuwa na sura za kukata tamaa kabisa.

Kwa vile ni mwanahabari, nikajiona mjanja kuwahi kupeleka habari hiyo njema kwa watu wote, ile kukaa, badala ya mimi kutoa habari, mimi sasa ndio napewa habari!.

"Bwana Paskali, najua umekuja leo mapema hivi asubuhi kwa sababu ya lile tangazo la jana la rais Magufuli, hapa sisi wenyewe tumelisikia na kutazama live TBC, baada tuu ya Tangazo lile, geraza zima lililipuka kwa shangwe, vifijo na vigelegele kumshangilia rais Magufuli kwa huruma yake"
Nilielezwa.

Ndipo nikauliza kumbe magerezani siku hizi kuna mpaka TV!. Kumbe siku hizi wafungwa na mahabusu wanaruhusiwa kuangalia TV?. Kiukweli tumepiga hatua, japo sikuuliza mahabusu wanalala wapi, maana najua tuu watakuwa bado wanalala chini, au sikuuliza wanajisaidia wapi, maana najua watakuwa bado wana... debe.

Kumbe maboresho ya jela zetu sio tuu kutoka karandinga hadi mabasi ya hadhi, na nguo za madurufu hadi cotton za orange, bali magerezani kumbe siku hizi ni hadi TV!. Haya ni maendeleo makubwa.

Nikafanya majadiliano na jamaa yangu kuhusu taking advantage of this golden opportunity, akanimbia kiukweli yeye amesingiziwa tuu, kuukubali msamaha wa rais Magufuli, ni kukubali kosa ambalo sio la kweli, na after all the amount anayotuhumiwa nayo ni too substantial ambayo hawezi kui raise in his remaining life time, hivyo bora aendelee kuvumilia tuu mateso hadi haki itendeke, na isipotendeka, yuko tayari kufia jela halafu karma itamlipia.

Kiukweli nilimshauri, such an opportunity ni golden opportunity, comes once in blue moon, what is haki compared freedom, or what is money compared to his liberty?.

Nikamtolea mfano wa January Makamba, kwenye ile sauti kwa mlioisikia, ametukana wapi?. Kama waziri mzima, mbunge mzima, amekosewa kwa kudukuliwa na hajatukana chochote lakini kutumbuliwa na kuomba msamaha, what about him?. Nimemshauri, na huu ni ushauri kwa wana jf wote wenye ndugu watuhumiwa, washaurini ndugu zenu waandike barua za kuomba msamaha hata kama hawajakosa au wamesingiziwa, waombe tuu msamaha na kuahidi kulipa, kwani pesa ni nini compared, tutachangishana kulipa, barua iandikwe, msamaha uombwe, kwa sababu usipoandika barua, kutake advantage ya msamaha huu, kwa hoja ya kutafuta haki, huwezi kujua itachukua muda gani kuipata hiyo haki, nikitolea mfano yule wakili Medium Mwale wa Arusha, amekaa mahabusu miaka 8 hadi uchunguzi kukamilika, kesi ikasikilizwa kwa siku moja tuu, akakiri makosa na kuhukumiwa kulipa faini, akalipa, akatoka, unaweza kulinganisha angekubali kosa, hiyo miaka 8 gerezani angefanya mambo mangapi tena fani yenyewe ni uwakili?.

Pia mahabusu wengine ambao siwajui ila kwa kuniona zamani nilikuwa Mtangazaji wa TV hivyo wao wananijua, wakanituma niwafikishie salaam zao kwa rais Magufuli kuwa wanamshukuru sana, wanampenda sana, na kuna mmoja akaahidi siku ya kutoka, breki ya kwanza ni geti la Ikulu kumshukuru kwanza rais Magufuli, ndipo aende nyumbani kujiunga na familia yake.

Mahabusu wengine nao wakatuma maombi yao kwa rais Magufuli kuomba msamaha huo uwe extended kwa mahabusu wote wa kesi zote hadi mwizi wa kuku kuwa yuko tayari hata kulipa kuku wawili kwa hoja kuwa watuhumiwa wote ni Watanzania na binadamu wote ni sawa, hivyo kama sasa haki
inanunuliwa kwa pesa, na msamaha huo ni watuhumiwa wa uhujumu uchumi na utakatishaji fedha ambazo ni watu wazito na kiwango cha fedha ni fedha nyingi, wanaomba jicho la huruma ya rais Magufuli pia lielekezwe kwa watuhumiwa masikini na wa makosa yote ikiwemo makosa ya wizi, warudishe kile walichoiba akiwemo mwizi wa kuku, nao pia waununua uhuru wao wawe huru kuja kulijenga taifa, tena you can just imagine, baada ya msamaha huu wa rais Magufuli, unajua kabisa kura zao watampigia nani!.

Salaam kutoka kwa mahabusu wa kesi za ukwepaji kodi, wao wameomba huruma ya rais Magufuli, wasemehewe tuu hilo deni la kodi na hawatakwepa tena. Mahabusu mmoja akasema "kama serikali yetu imeweza kuwasamehe wale wazungu wa Acacia lile deni la kodi ya dola bilioni 190 ya Noah zetu, serikali hii inashindwaje kuwasamehe Watanzania wazawa na wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao walikwepa kodi kutokana na kubana kwa vyuma?".

Mjumbe hauwawi, kama rais Magufuli, kufuatia upendo wake kwa raia wake, na huruma yake kwa Watanzania wanaoteseka magerezan kwa kusubiria kutendewa haki, then haki hiyo itendeke kwa wote, sio mafisadi tuu, wahujumu na watakatishaji fedha, bali watuhumiwa wote bila ubaguzi, hata wenye tuhuma za mauaji, tuwapelekee pale wale wazee wa Gambosh, jamaa wakiri waliua na kuahidi kurudisha uhai wa waliokufa kwa msaada wa wazee wa Gambosh, nao wafutiwe kesi, mwizi wa kuku arudishe kuku, etc, Binadamu wote ni sawa na Tanzania ni moja.

Mungu Mbariki Rais Magufuli huruma yake pia iwaangazie watuhumiwa wengine.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Mkuu Paskali yaani wakati mwingine unaandika andiko murua kabisa kama hilo hapo juu.
 
Serikali ina taarifa muhimu kuliko unavyofikiri, waliobambikwa inawajua, wezi ambao hawajasingiziwa kwa maana ya wahujumu uchumi inawajua pia.

Nikwambie tu zoezi hili si LA kukurupuka, Lina lengo makini sana kwa taifa, wachache watanielewa.

Rais Magufuli alichotamka kimemfikia kitambo yeye alikiweka hadharani tu


Wewe hujui kuwa Serikal huwa inakosea kwa kuwashikilia watu kimakosa mpaka inaomba radhi na kulipa fidia

Wewe unadhan serikal huwa hazifanyi Makosa?
 
Kama wameweza kukaa miaka yote hiyo bila msaada, iweje leo? Ningefurahi kama rais angewataja waiba kuku na mbuzi tu na wale mashekh waliosota tangu wakati wa JK. Hapa kuna mkono wa mtu nadhani huwezi kutumia jina la Mungu kutisha watu eti wasamehewe. Kama huko Lupango kuna JF wasome na wanisikilize. ~Wakae huko mpaka kieleweke. Huyu Rais ana miaka kumi tu baada ya hapo ajaye anangojelewa.
 
Nchi zingine hizi ni kama 'zimelaaniwa'
badala ya kujadili why kusiwepo na dhamana kwa kesi zote tu
hadi za mauaji ili watu wasifungwe bila makosa
wasikae mahabusu miaka na kupoteza hela za walipa kodi nyingi
au why kusiwepo na fast track ya kusikilizwa hizo kesi
au why kusiwepo na sheria inayosema kesi kama haijasikilizwa ndani
ya mwaka kwa kukosekana ushahidi ifutike tu aotomatic

tunatumia mda mwingi mno kumsifu na kumsujudia mtu ambae ni sehemu ya tatizo

hii kweli 'Maandazi Republic'
 
Wanabodi
Hapa mimi ni mjumbe tuu na mjumbe hauwawi, hizi ni Salaam bona-fide na genuine za mahabusu kwa rais Magufuli.

Baada ya tangazo la Rais Magufuli la msamaha kwa watuhumiwa wa ufisadi la juzi Jumapili, jana asubuhi nimetembelea gereza fulani kuwasalamia jamaa zangu fulani ambao wako ndani huu mwaka wa 4 kwa kesi ya utakatishaji fedha, ili kwenda kuwapa habari njema ya Rais Magufuli kuwasamehe kwa lengo la kuwashauri wakiri tuu makosa hata kama wamesingiziwa tuu, na wakubali tuu kulipa hayo mabilioni hata kama hawana, ndugu tutachangishana na kama ni kuuza nyumba zetu, mashamba yetu na mali zetu alimradi wapendwa wetu wawe huru.

Kufika tuu ile kuwaona, japo hata msamaha bado, lakini tayari sura zimeanza kutabasamu kwa tabasamu la matumaini ya kuwa huru tena, kwa sababu kikawaida ziara za magerezani ni ziara za huzuni huzuni, this time ilikuwa ni ziara ya furaha na matumaini. Kiukweli Rais Magufuli atabarikiwa sana kuleta tumaini kwa watu kama hawa kwa sababu wengine tayari walikuwa na sura za kukata tamaa kabisa.

Kwa vile ni mwanahabari, nikajiona mjanja kuwahi kupeleka habari hiyo njema kwa watu wote, ile kukaa, badala ya mimi kutoa habari, mimi sasa ndio napewa habari!.

"Bwana Paskali, najua umekuja leo mapema hivi asubuhi kwa sababu ya lile tangazo la jana la rais Magufuli, hapa sisi wenyewe tumelisikia na kutazama live TBC, baada tuu ya Tangazo lile, geraza zima lililipuka kwa shangwe, vifijo na vigelegele kumshangilia rais Magufuli kwa huruma yake"
Nilielezwa.

Ndipo nikauliza kumbe magerezani siku hizi kuna mpaka TV!. Kumbe siku hizi wafungwa na mahabusu wanaruhusiwa kuangalia TV?. Kiukweli tumepiga hatua, japo sikuuliza mahabusu wanalala wapi, maana najua tuu watakuwa bado wanalala chini, au sikuuliza wanajisaidia wapi, maana najua watakuwa bado wana... debe.

Kumbe maboresho ya jela zetu sio tuu kutoka karandinga hadi mabasi ya hadhi, na nguo za madurufu hadi cotton za orange, bali magerezani kumbe siku hizi ni hadi TV!. Haya ni maendeleo makubwa.

Nikafanya majadiliano na jamaa yangu kuhusu taking advantage of this golden opportunity, akanimbia kiukweli yeye amesingiziwa tuu, kuukubali msamaha wa rais Magufuli, ni kukubali kosa ambalo sio la kweli, na after all the amount anayotuhumiwa nayo ni too substantial ambayo hawezi kui raise in his remaining life time, hivyo bora aendelee kuvumilia tuu mateso hadi haki itendeke, na isipotendeka, yuko tayari kufia jela halafu karma itamlipia.

Kiukweli nilimshauri, such an opportunity ni golden opportunity, comes once in blue moon, what is haki compared freedom, or what is money compared to his liberty?.

Nikamtolea mfano wa January Makamba, kwenye ile sauti kwa mlioisikia, ametukana wapi?. Kama waziri mzima, mbunge mzima, amekosewa kwa kudukuliwa na hajatukana chochote lakini kutumbuliwa na kuomba msamaha, what about him?. Nimemshauri, na huu ni ushauri kwa wana jf wote wenye ndugu watuhumiwa, washaurini ndugu zenu waandike barua za kuomba msamaha hata kama hawajakosa au wamesingiziwa, waombe tuu msamaha na kuahidi kulipa, kwani pesa ni nini compared, tutachangishana kulipa, barua iandikwe, msamaha uombwe, kwa sababu usipoandika barua, kutake advantage ya msamaha huu, kwa hoja ya kutafuta haki, huwezi kujua itachukua muda gani kuipata hiyo haki, nikitolea mfano yule wakili Medium Mwale wa Arusha, amekaa mahabusu miaka 8 hadi uchunguzi kukamilika, kesi ikasikilizwa kwa siku moja tuu, akakiri makosa na kuhukumiwa kulipa faini, akalipa, akatoka, unaweza kulinganisha angekubali kosa, hiyo miaka 8 gerezani angefanya mambo mangapi tena fani yenyewe ni uwakili?.

Pia mahabusu wengine ambao siwajui ila kwa kuniona zamani nilikuwa Mtangazaji wa TV hivyo wao wananijua, wakanituma niwafikishie salaam zao kwa rais Magufuli kuwa wanamshukuru sana, wanampenda sana, na kuna mmoja akaahidi siku ya kutoka, breki ya kwanza ni geti la Ikulu kumshukuru kwanza rais Magufuli, ndipo aende nyumbani kujiunga na familia yake.

Mahabusu wengine nao wakatuma maombi yao kwa rais Magufuli kuomba msamaha huo uwe extended kwa mahabusu wote wa kesi zote hadi mwizi wa kuku kuwa yuko tayari hata kulipa kuku wawili kwa hoja kuwa watuhumiwa wote ni Watanzania na binadamu wote ni sawa, hivyo kama sasa haki
inanunuliwa kwa pesa, na msamaha huo ni watuhumiwa wa uhujumu uchumi na utakatishaji fedha ambazo ni watu wazito na kiwango cha fedha ni fedha nyingi, wanaomba jicho la huruma ya rais Magufuli pia lielekezwe kwa watuhumiwa masikini na wa makosa yote ikiwemo makosa ya wizi, warudishe kile walichoiba akiwemo mwizi wa kuku, nao pia waununua uhuru wao wawe huru kuja kulijenga taifa, tena you can just imagine, baada ya msamaha huu wa rais Magufuli, unajua kabisa kura zao watampigia nani!.

Salaam kutoka kwa mahabusu wa kesi za ukwepaji kodi, wao wameomba huruma ya rais Magufuli, wasemehewe tuu hilo deni la kodi na hawatakwepa tena. Mahabusu mmoja akasema "kama serikali yetu imeweza kuwasamehe wale wazungu wa Acacia lile deni la kodi ya dola bilioni 190 ya Noah zetu, serikali hii inashindwaje kuwasamehe Watanzania wazawa na wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao walikwepa kodi kutokana na kubana kwa vyuma?".

Mjumbe hauwawi, kama rais Magufuli, kufuatia upendo wake kwa raia wake, na huruma yake kwa Watanzania wanaoteseka magerezan kwa kusubiria kutendewa haki, then haki hiyo itendeke kwa wote, sio mafisadi tuu, wahujumu na watakatishaji fedha, bali watuhumiwa wote bila ubaguzi, hata wenye tuhuma za mauaji, tuwapelekee pale wale wazee wa Gambosh, jamaa wakiri waliua na kuahidi kurudisha uhai wa waliokufa kwa msaada wa wazee wa Gambosh, nao wafutiwe kesi, mwizi wa kuku arudishe kuku, etc, Binadamu wote ni sawa na Tanzania ni moja.

Mungu Mbariki Rais Magufuli huruma yake pia iwaangazie watuhumiwa wengine.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Kesi za uhujumu uchumi zinatumika kisiasa kukandamiza watu, hakuna dhamana lakini maelekezo yakitoka ikulu tayari watu wanatolewa. Hizi kesi miaka yote zinaelezwa ushahidi ujakamilika Leo wanakiri vipi kwamba wametenda kosa? Walifanya huu mchezo wale jamaa wa madini Mwanza na pia mdogo wake Rostam, wakafanyiwa hivi Vodacom baada ya wakurugenzi wake kukamatwa na Sasa mchezo umenoga imekuwa uhujumu uchumi ni kesi za majadiliano ukiri ununue Uhuru wako...hii si sawa kabisa.
Nataman Mhe. Rais angesimamia kuviagiza vyombo vya dola kukamata watu baada ya uchunguzi kukamilika na kesi zikifika mahakaman ndani ya muda mfupi zisikilizwe hapa tungetenda haki. Tukiendelea kuwaweka na kuwatoa watu ndani kwa sbabu za kisiasa hatutendi vyema.
Lowasa kasifia juzi si kwamba anapenda ila anatamani mkwe wake apate Uhuru baada ya kuona ndani ya miaka mitatu hakuna uhakika wa mkwewe kusikilizwa. Kila kukicha uhujumu uchumi ukiangalia Nani kahujumu uchumi na hasara gani kasababisha upati majibu.
Serikali inatumia muhimili wa mahakama vibaya na kuufanya ushuke thamani, 4 yrs uchunguzi haujakamilika na mahakimu wanahairisha kesi uchunguzi gani huo au unafanyika mwezini? DPP anatakiwa kuwajibishwa siyo kubembelezwa au kushauriwa kuziondoa kesi mahakamani.
Mtu yuko mahabusu, mahakama haijamkuta na hatia yet, kesi inapigwa danadana upelelezi unaendelea mara ghafla anaambiwa aombe msamaha alipe na hela asamehewe! Kwa kosa lipi sasa?
CCM ACHENI MAZINGAOMBWE KWA KUPINDUA SHERIA ZETU.
 
Wanabodi
Hapa mimi ni mjumbe tuu na mjumbe hauwawi, hizi ni Salaam bona-fide na genuine za mahabusu kwa rais Magufuli.

Baada ya tangazo la Rais Magufuli la msamaha kwa watuhumiwa wa ufisadi la juzi Jumapili, jana asubuhi nimetembelea gereza fulani kuwasalamia jamaa zangu fulani ambao wako ndani huu mwaka wa 4 kwa kesi ya utakatishaji fedha, ili kwenda kuwapa habari njema ya Rais Magufuli kuwasamehe kwa lengo la kuwashauri wakiri tuu makosa hata kama wamesingiziwa tuu, na wakubali tuu kulipa hayo mabilioni hata kama hawana, ndugu tutachangishana na kama ni kuuza nyumba zetu, mashamba yetu na mali zetu alimradi wapendwa wetu wawe huru.

Kufika tuu ile kuwaona, japo hata msamaha bado, lakini tayari sura zimeanza kutabasamu kwa tabasamu la matumaini ya kuwa huru tena, kwa sababu kikawaida ziara za magerezani ni ziara za huzuni huzuni, this time ilikuwa ni ziara ya furaha na matumaini. Kiukweli Rais Magufuli atabarikiwa sana kuleta tumaini kwa watu kama hawa kwa sababu wengine tayari walikuwa na sura za kukata tamaa kabisa.

Kwa vile ni mwanahabari, nikajiona mjanja kuwahi kupeleka habari hiyo njema kwa watu wote, ile kukaa, badala ya mimi kutoa habari, mimi sasa ndio napewa habari!.

"Bwana Paskali, najua umekuja leo mapema hivi asubuhi kwa sababu ya lile tangazo la jana la rais Magufuli, hapa sisi wenyewe tumelisikia na kutazama live TBC, baada tuu ya Tangazo lile, geraza zima lililipuka kwa shangwe, vifijo na vigelegele kumshangilia rais Magufuli kwa huruma yake"
Nilielezwa.

Ndipo nikauliza kumbe magerezani siku hizi kuna mpaka TV!. Kumbe siku hizi wafungwa na mahabusu wanaruhusiwa kuangalia TV?. Kiukweli tumepiga hatua, japo sikuuliza mahabusu wanalala wapi, maana najua tuu watakuwa bado wanalala chini, au sikuuliza wanajisaidia wapi, maana najua watakuwa bado wana... debe.

Kumbe maboresho ya jela zetu sio tuu kutoka karandinga hadi mabasi ya hadhi, na nguo za madurufu hadi cotton za orange, bali magerezani kumbe siku hizi ni hadi TV!. Haya ni maendeleo makubwa.

Nikafanya majadiliano na jamaa yangu kuhusu taking advantage of this golden opportunity, akanimbia kiukweli yeye amesingiziwa tuu, kuukubali msamaha wa rais Magufuli, ni kukubali kosa ambalo sio la kweli, na after all the amount anayotuhumiwa nayo ni too substantial ambayo hawezi kui raise in his remaining life time, hivyo bora aendelee kuvumilia tuu mateso hadi haki itendeke, na isipotendeka, yuko tayari kufia jela halafu karma itamlipia.

Kiukweli nilimshauri, such an opportunity ni golden opportunity, comes once in blue moon, what is haki compared freedom, or what is money compared to his liberty?.

Nikamtolea mfano wa January Makamba, kwenye ile sauti kwa mlioisikia, ametukana wapi?. Kama waziri mzima, mbunge mzima, amekosewa kwa kudukuliwa na hajatukana chochote lakini kutumbuliwa na kuomba msamaha, what about him?. Nimemshauri, na huu ni ushauri kwa wana jf wote wenye ndugu watuhumiwa, washaurini ndugu zenu waandike barua za kuomba msamaha hata kama hawajakosa au wamesingiziwa, waombe tuu msamaha na kuahidi kulipa, kwani pesa ni nini compared, tutachangishana kulipa, barua iandikwe, msamaha uombwe, kwa sababu usipoandika barua, kutake advantage ya msamaha huu, kwa hoja ya kutafuta haki, huwezi kujua itachukua muda gani kuipata hiyo haki, nikitolea mfano yule wakili Medium Mwale wa Arusha, amekaa mahabusu miaka 8 hadi uchunguzi kukamilika, kesi ikasikilizwa kwa siku moja tuu, akakiri makosa na kuhukumiwa kulipa faini, akalipa, akatoka, unaweza kulinganisha angekubali kosa, hiyo miaka 8 gerezani angefanya mambo mangapi tena fani yenyewe ni uwakili?.

Pia mahabusu wengine ambao siwajui ila kwa kuniona zamani nilikuwa Mtangazaji wa TV hivyo wao wananijua, wakanituma niwafikishie salaam zao kwa rais Magufuli kuwa wanamshukuru sana, wanampenda sana, na kuna mmoja akaahidi siku ya kutoka, breki ya kwanza ni geti la Ikulu kumshukuru kwanza rais Magufuli, ndipo aende nyumbani kujiunga na familia yake.

Mahabusu wengine nao wakatuma maombi yao kwa rais Magufuli kuomba msamaha huo uwe extended kwa mahabusu wote wa kesi zote hadi mwizi wa kuku kuwa yuko tayari hata kulipa kuku wawili kwa hoja kuwa watuhumiwa wote ni Watanzania na binadamu wote ni sawa, hivyo kama sasa haki
inanunuliwa kwa pesa, na msamaha huo ni watuhumiwa wa uhujumu uchumi na utakatishaji fedha ambazo ni watu wazito na kiwango cha fedha ni fedha nyingi, wanaomba jicho la huruma ya rais Magufuli pia lielekezwe kwa watuhumiwa masikini na wa makosa yote ikiwemo makosa ya wizi, warudishe kile walichoiba akiwemo mwizi wa kuku, nao pia waununua uhuru wao wawe huru kuja kulijenga taifa, tena you can just imagine, baada ya msamaha huu wa rais Magufuli, unajua kabisa kura zao watampigia nani!.

Salaam kutoka kwa mahabusu wa kesi za ukwepaji kodi, wao wameomba huruma ya rais Magufuli, wasemehewe tuu hilo deni la kodi na hawatakwepa tena. Mahabusu mmoja akasema "kama serikali yetu imeweza kuwasamehe wale wazungu wa Acacia lile deni la kodi ya dola bilioni 190 ya Noah zetu, serikali hii inashindwaje kuwasamehe Watanzania wazawa na wazalendo wa kweli wa taifa hili ambao walikwepa kodi kutokana na kubana kwa vyuma?".

Mjumbe hauwawi, kama rais Magufuli, kufuatia upendo wake kwa raia wake, na huruma yake kwa Watanzania wanaoteseka magerezan kwa kusubiria kutendewa haki, then haki hiyo itendeke kwa wote, sio mafisadi tuu, wahujumu na watakatishaji fedha, bali watuhumiwa wote bila ubaguzi, hata wenye tuhuma za mauaji, tuwapelekee pale wale wazee wa Gambosh, jamaa wakiri waliua na kuahidi kurudisha uhai wa waliokufa kwa msaada wa wazee wa Gambosh, nao wafutiwe kesi, mwizi wa kuku arudishe kuku, etc, Binadamu wote ni sawa na Tanzania ni moja.

Mungu Mbariki Rais Magufuli huruma yake pia iwaangazie watuhumiwa wengine.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Yani watu wako mahabusu miaka minne afu unafurahia, badala ya kuhuzunika kua sheria iko wapi.
Nchi inataka iongozwe kwa matakwa ya mtu badala ya sheria unafurahia.
Kwa staili hii itafika hatua matajiri wanakamatwa kwa uhujumu uchumi wanakaa mahabusu miaka mitatu wataambiwa waombe msamaha walipe pesa hata kama hawakua na kosa lolote.
Je, ni nani kati ya hao wamehukumiwa kwa uhujumu uchumi hadi kwamba wafikie hatua waombe msamaha. Mungu itazame Tanzania.
Hata Mungu aliyona sio vyema kubwambia Musa nini afanye akaamua awaletee torati ambalo ndilo lilikua katiba na sheria za Israel.
Nchi bila missingi ya sheria na katiba hiyo sio nchi.
Haiwezekani nchi ikaogozwa kwa hisia za mtu badala ya katiba.
 
Huyo wa kumbaka sasa si atakuwa naye katenda kosa la ubakaji. Na yeye atafanywaje?Mbona Itakuwa ni vicious cycle!
Kwani mnyongaji ankauaga anatenda kosa gan zaid ya kutimiza wajibu wake kisheria apa nadhan utafutwe utaratibu tuwe na mbakaji wa taifa
 
Bro Pascal, wewe ni mwandishi mzuri na nguli ! Mimi nashauri uandike kitabu (riwaya) kama vya akina Shafi Adam Shafi au Shaaban Robert , prof. Ngugi wa Thion'go au prof. Wole Soyinka na uuze mtandaoni bro ! Utapiga hela sana ! Yaani mafumbo yako ni hatari sana bro, uko vizuri mno !!! Ushauri tuu ! Tafuta theme moja iandikie kaka yangu, yawezekana labda umeanza. Au hata uwe columnist kwenye magazeti makubwa kama alivyo kuwa marehemu prof. Abdulrahman Mohamed Babu kwenye Africa Now magazine enzi hizo !
Kilichomtokea columnist wa the economist unakikumbuka ?labda uchukue ukimbiz kwanza
 
.......... then haki hiyo itendeke kwa wote, sio mafisadi tuu, wahujumu na watakatishaji fedha, bali watuhumiwa wote bila ubaguzi, hata wenye tuhuma za mauaji, tuwapelekee pale wale wazee wa Gambosh, jamaa wakiri waliua na kuahidi kurudisha uhai wa waliokufa kwa msaada wa wazee wa Gambosh, nao wafutiwe kesi, mwizi wa kuku arudishe kuku, etc, Binadamu wote ni sawa na Tanzania ni moja. ............
Paskali

Mimi nimeelewa hapo tu. Pascal Mayalla ana akili sana!
 
Back
Top Bottom