ENDELEENI KUJIULIZA MTAELEWA NANI BORA KATIKA UWAKILISHI KIMATAIFA NA TOFAUTO=I KATI YA KANDAMBILI NA RAIZONI
namaanisha 50mph, 50K/H haiwezekani mkuu duh
ok sawa nimekupata mkuu na asanteBado mimi sijapaelewa hapo, 50mph (m ni mile au mita).
Mind you 50 mita ni nusu uwanja ambapa Usain Bolt anatumia sekunde 5 tu.
ok sawa nimekupata mkuu na asante
ufafanuzi ni
80.5 km/h (50.0 mph) na ndiye namba mbili kwa kasi miongoni mwa wanyama
Nimetafuta...nimekosa! hujasema kitu kuhusu simba kuwa na hirizi, ambayo tunaambiwa kabla hajala huwa anaitema, akimaliza kula anaimeza hirizi yake! Na kwamba hiyo hirizi ni dili sana kuipata!
Nimetafuta...nimekosa! hujasema kitu kuhusu simba kuwa na hirizi, ambayo tunaambiwa kabla hajala huwa anaitema, akimaliza kula anaimeza hirizi yake! Na kwamba hiyo hirizi ni dili sana kuipata!
hiyo niliikuta tu mahali mkuu, kideo sinahahaha aming! heb tupia kideo chake tuone alivoshuka huyu boya
Tuliomo Humu JF Hatuamini UCHAWI au USHIRIKINA Wako Hivyo Tafuta KIJIWE Chako MAALUM Cha WAPENDA ULOZI Watakuunga Mkono. Yaani Katika UTAFITI Wako Wote Juu Ya Mnyama Simba Wewe ULICHOKIBOBEA Ni HIRIZI Yake Tu. Kweli Donald Trump ANASTAHILI KUTUTUKANA Na KUTUDHARAU KUNAKOTUKUKA Waafrika.