Mjue Simba mangu (caracal)

Mjue Simba mangu (caracal)

Kama sikosei anaitwa FUNGO. Huyo mnyama kama akinya leo ubungo kesho akipata haja kubwa hata kama yupo Tegeta atarudi pale pale Ubungo sehemu aliyojisaidia jana yake.
Kama akipata uhamisho kutoka Mikumi kwenda Brazil atafanyaje?
 
Huyu ndo kwanza namsikia na kumwona leo!

Dunia ni pana kweli kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom